Ushuhuda nikiwa mhudumu wa gesti kwa miaka 10

"Eti Kuna makubwa sana yanafanyika Guest hasa mchana" Mimi katika simulizi yako sijayaona hayo makubwa.Hayo uliyosema ni makubwa wala siyo makubwa, ni ya kawaida sana.

Mimi mwenyewe nimekuja mbio nikidhani kuna jambo jipya limejitokeza huko gesti.. kumbe ni kugegedana tu? Watu wanagegedana tangu kuumbwa kwa Adam na Eva sasa hapo kikubwa ni kipi..?
 
Sasa kama hamuwali vizuri hao wake zenu kwanini wasiliwe na watu wenye nguvu zao za kiume?
 
upo sahihi 100%.. ni hakika 98% ya mahusiano ya sasa hayako salama kabisa ni Mungu tu atusaidie.
 
"Eti mambo makubwa na ya kutisha yanafanyika guest"

Kwa kifupi hakuna jipya chini ya jua. Umalaya ulikuwepo tangu zamani, mfano Sodoma na Gomora, kahaba Rahabu wa Yeriko, kahaba aliyemfuta Yesu miguu kwa nywele zake na mafuta ya gharama hadi Yuda Iskarioti akashtuka n.k
 
Exactly

Ova
 
Kitambo gest moja,nilishuhudia jamaa kashikwa shati alipie usafi wa chumba,binti aliyekuwa nae kanya kwenye mashuka walikuwa wanafanya michezo ya mibaya...hapo kwako haijawahi tokea?
 
Dadako au mtu wako wa karibu walivyokuja kupata huduma hali ilikuaje?.
 
Ngono si jambo la kushangaza na kutisha. Binadamu tunafanya ngono sana ndo maana tunaongezeka. Hayo ya style, mke, boyfriend ni formalities tu za namna tulivyohalalisha ufanywaji wake.
 
actually, ukitaka kujua kuwa guest/lodges ni mahali pa uzinzi, nenda lala siku mbili au tatu. kuanzia usiku vilio vya mapenzi vitakavyosikiwa hivyo balaa. mamiguno ya ajabuajabu, uchafu mtupu. enzi zangu pia mimi nilikuwa naweza kulala na mwanamke hapa nikamwambia subiri kwanza naenda kuna mishe fulani anisubiri hapohapo chumbani lodge kumbe naenda lodge ingien kubandua mwingine na kumrudia yule. Mungu mkubwa sikupata magonjwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…