Wako akiwa kwako, ukifatilia utaumia tu.Kama unajua umeoa mwanamke asiye na bikra basi haya ni ya kawaida sana, najua tupo tusiokubaliana na ukweli huu ila tuishi nao tu.
NB; SISEMI WALIOOLEWA NA BIKRA HAWAWEZI KUFANYA HAYA ILA 90% WALIOOLEWA WAKIWA MAKOPO KUUZA MATCH KWA MA-EX ZAO NA KUKOSA AIBU NI KUGUSA TU.
Nimekaa palee nipopoeni!
Hasa ukioa malaya ni lazima akaliweSasa kama hamuwali vizuri hao wake zenu kwanini wasiliwe na watu wenye nguvu zao za kiume?
Vyote ni vilio vya wiziactually, ukitaka kujua kuwa guest/lodges ni mahali pa uzinzi, nenda lala siku mbili au tatu. kuanzia usiku vilio vya mapenzi vitakavyosikiwa hivyo balaa. mamiguno ya ajabuajabu, uchafu mtupu. enzi zangu pia mimi nilikuwa naweza kulala na mwanamke hapa nikamwambia subiri kwanza naenda kuna mishe fulani anisubiri hapohapo chumbani lodge kumbe naenda lodge ingien kubandua mwingine na kumrudia yule. Mungu mkubwa sikupata magonjwa.
Jamaa wanaota...HAKUNA BIKRA WA KUOA
Kama ni dakika 30 tuu labda hivo visichana vinaenda tu kujifunza kama tuisheni. Havifanyi kituNimefanya kazi kama mhudumu wa guest (ya kawaida) hapa DSM kwa miaka 10 mfululizo. Niseme tu kwamba, kuna makubwa sana yanafanyika hasa nyakati za mchana kwa wake/waume za watu, wafanyakazi wa Serikali na mashirika, vijana wa bodaboda (kwa wake za watu) na viongozi wa Serikali na vyama vya siasa!
Kwa siku 1 m-baba mume wa mtu na mwenye familia yake na kazi yake nzuri Serikalini anaagiza visichana 3 tofauti kwa muda tofauti. Ni kula tu maisha. Kati ya dakika 30 hadi saa 1 mtu anakuwa ameshamaliza kubandua.
Vijana wa bodaboda wanabatuliwa sana na wake za watu wenye 'maisha', wanawalipia guest na kila kitu ilimradi tu walale nao.
Nimeshuhudia sana couples zinakuja guest na michepuko kwa mida tofauti tofauti. Yaani wanachepukiana bila wao kujuana.
Umalaya, ufuska, uzinzi umetamalaki sana ndugu zangu. Yaani ugumu wa maisha /ukosefu wa nguvu za kiume/ uwezo mdogo wa kufanya umesababisha watu kuchepuka sana kwa gharama yoyote ile.
Mchana ni muda hatari sana kwa watu wenye familia zao. Muda huu unatumika vizuri sana kwa watu hawa. Ukitoka home, nyuma mama nae anatoroka, anaenda kubebwa na mwanaume anafyatuliwa kwa lisaa 1 then anarudi home mapema sana.
Tuwe makini sana. Mchana ni hatari sana.
Guests kuna mambo mengi sana makubwa ya hatari.
Huu ndio ukweli mchungu.Kama unajua umeoa mwanamke asiye na bikra basi haya ni ya kawaida sana, najua tupo tusiokubaliana na ukweli huu ila tuishi nao tu.
NB; SISEMI WALIOOLEWA NA BIKRA HAWAWEZI KUFANYA HAYA ILA 90% WALIOOLEWA WAKIWA MAKOPO KUUZA MATCH KWA MA-EX ZAO NA KUKOSA AIBU NI KUGUSA TU.
Nimekaa palee nipopoeni!
Hakuna uhusiano chanya kati ya kuolewa bikra na kutochepuka au kuolewa shimo wazi na uchepukaji.Kama unajua umeoa mwanamke asiye na bikra basi haya ni ya kawaida sana, najua tupo tusiokubaliana na ukweli huu ila tuishi nao tu.
NB; SISEMI WALIOOLEWA NA BIKRA HAWAWEZI KUFANYA HAYA ILA 90% WALIOOLEWA WAKIWA MAKOPO KUUZA MATCH KWA MA-EX ZAO NA KUKOSA AIBU NI KUGUSA TU.
Nimekaa palee nipopoeni!
Mkuu unaagwa sana mchana nini hahahMkuu kwa uzoefu wako wateja wengi wanakua kuanzia saa ngapi mida ya mchana
Mkuu nisome katikati ya mistari!Hakuna uhusiano chanya kati ya kuolewa bikra na kutochepuka au kuolewa shimo wazi na uchepukaji.
Wapo watu wengi tu waliolewa bikra ila n8 viwembe hatariii
Kuwa na heshima kabisa nakuambia jieshimu hilo tuKama unajua umeoa mwanamke asiye na bikra basi haya ni ya kawaida sana, najua tupo tusiokubaliana na ukweli huu ila tuishi nao tu.
NB; SISEMI WALIOOLEWA NA BIKRA HAWAWEZI KUFANYA HAYA ILA 90% WALIOOLEWA WAKIWA MAKOPO KUUZA MATCH KWA MA-EX ZAO NA KUKOSA AIBU NI KUGUSA TU.
Nimekaa palee nipopoeni!
Guest ni sehemu yakunyanduanaUnashauri nini kifanyike sasa? Unadhani Guest ni kanisani au msikitini