2 of Amerikaz most wanted
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 1,328
- 3,718
Ni miaka kadhaa imepita baada ya kunusurika kujitoa uhai wangu.
Chanzo cha hayo yote ni maisha duni Niliyoyapitia kipindi nipo pale cumpus, nilikuwa naipambania Diploma yangu ya kwanza.
Sasa baada ya kukosa msaada home yani kama nilisuswa hivi hasa ikanibidi niingie mtaani kusebenza nipate chochote kitu na hapo ikumbukwe nadaiwa kodi ya chumba pia college fees Sina.
Nikawa napita chumba by chumba kukusanya nguo chafu na kuziosha ili nipate ujira, sema sikutoboa msoto ulikuwa heavy ikapelekea mpaka kunijia wazo la kujiua.
Ili niepukane na kikombe cha msoto nikachagua njia mbili ya kwanza ni kwenda kujitupa ziwa Victoria na la pili ni Kujirusha Jengo La Mwanjonde pale Malimbe. Sema nikaona Kufa maji uongo, Nikaona bora nikajirushe kwa gorofa.
Bwana wewe nikatoka zangu ghetto boy mida asubuhi moja kwa moja mpaka Mwanjonde hadi floor ya mwsho tayari kwaajiri ya zoezi, lakini punde si punde baada ya kutana chini ile distance nilinyong'onyesha kila kitu na kuna kisauti kikawa kina "niaambia mkushi unaenda kuwa chapati dakika kadhaa".
Nikaona sio kweli nikasitisha zoezi na kuapa ya kwamba nitapambana na Hali yoyote ila sio kujiua.
Najiuliza hivi hawa wenzetu wanaokatika uhai wao Wanakuwa na ujasiri wa aje?🤔
NB: kujiua ni Unyonge kataa Unyonge
Chanzo cha hayo yote ni maisha duni Niliyoyapitia kipindi nipo pale cumpus, nilikuwa naipambania Diploma yangu ya kwanza.
Sasa baada ya kukosa msaada home yani kama nilisuswa hivi hasa ikanibidi niingie mtaani kusebenza nipate chochote kitu na hapo ikumbukwe nadaiwa kodi ya chumba pia college fees Sina.
Nikawa napita chumba by chumba kukusanya nguo chafu na kuziosha ili nipate ujira, sema sikutoboa msoto ulikuwa heavy ikapelekea mpaka kunijia wazo la kujiua.
Ili niepukane na kikombe cha msoto nikachagua njia mbili ya kwanza ni kwenda kujitupa ziwa Victoria na la pili ni Kujirusha Jengo La Mwanjonde pale Malimbe. Sema nikaona Kufa maji uongo, Nikaona bora nikajirushe kwa gorofa.
Bwana wewe nikatoka zangu ghetto boy mida asubuhi moja kwa moja mpaka Mwanjonde hadi floor ya mwsho tayari kwaajiri ya zoezi, lakini punde si punde baada ya kutana chini ile distance nilinyong'onyesha kila kitu na kuna kisauti kikawa kina "niaambia mkushi unaenda kuwa chapati dakika kadhaa".
Nikaona sio kweli nikasitisha zoezi na kuapa ya kwamba nitapambana na Hali yoyote ila sio kujiua.
Najiuliza hivi hawa wenzetu wanaokatika uhai wao Wanakuwa na ujasiri wa aje?🤔
NB: kujiua ni Unyonge kataa Unyonge