Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,055
- 8,540
Si ifakara?ni kupanda wakati wa mvua tu kaka..gharama sio kubwa..haizid 200k..had chini ya hapo..sie tulipata kwa 100k..unapenwa mtaalam wa kuchek udongo wako bure..na miche bure..ni ww kuchimba mashimo tu makubwa
Aaah hawa Watu Respect sana...Mabaharia lazima ujue nguvu ya dalali sokoni ni kubwa tena usidharau,
Aaah hawa Watu Respect sana...
Mwaka 2018 mwazon nilikuwa Nalima Ngogwe (nyanya Chungu) Kilosa. Sehemu moja wana ita Rudewa.. Ile nime ivisha tu, Madalali wana niambia shamba 10000 Kiroba.. Na kiroba huchukua Dembe nne
Nikawaona maboya, mwanaume nikachuma Roba zangu kumi nika sema hapa dar siwez kosa 20000 kwa kila kiroba.
Nikasafirisha.. Kila kiloba kilikuwa kina Cost 12000 kufika dar, kisha kuna hrla ya usafi wa soko na ushuru 2000 , picha lime anza ile nimefika.. Naambiwa.. Kwanza siruhusiwi uza mwenyewe kuna madalali walisha sajiliwa ndio wana vibali vya kuuza.. So ikabidd nitafute dalali hapo twn wa kuniuzia mzigo wangu...
Maliza ya yote siku nimepeleka mie.. Kuna kama gari manne toka iringa nayo yalileta.. Nyanya chungu..
Mwanaume nikaanza ona mauza uza.. Kutoka na wingi wa mzigo siku ile nyanya chungu nzuri zilikuwa 15000 kwa 18000 Sokon... Zangu nikapata 15000
Dalali kwa kila roba analo uza ana dai 3000, hapo nikabaki na 12000 kwa kila roba.
Toka hapo madalali nika wa heshimu..
bebe nang'oooo; uleniitaa mkuu: haha Dada bana.Ndyo mkuu
bebe nang'oooo; uleniitaa mkuu: haha Dada bana.
Hii ifakara soon nikitulia toka mbarali; itabidi niende nikapa research maana msimu unaokuja nimepanga Lima mpunga; nikienda ntakushtua uniunganishe nao hao jamaa wanao facilitate nipate shule ya kutosha na hatimae kufanya maamuzi.
Hahaha umenifanya nitabasamu na nicheke mkuu kwenye hili tukio lako.Aaah hawa Watu Respect sana...
Mwaka 2018 mwazon nilikuwa Nalima Ngogwe (nyanya Chungu) Kilosa. Sehemu moja wana ita Rudewa.. Ile nime ivisha tu, Madalali wana niambia shamba 10000 Kiroba.. Na kiroba huchukua Dembe nne
Nikawaona maboya, mwanaume nikachuma Roba zangu kumi nika sema hapa dar siwez kosa 20000 kwa kila kiroba.
Nikasafirisha.. Kila kiloba kilikuwa kina Cost 12000 kufika dar, kisha kuna hrla ya usafi wa soko na ushuru 2000 , picha lime anza ile nimefika.. Naambiwa.. Kwanza siruhusiwi uza mwenyewe kuna madalali walisha sajiliwa ndio wana vibali vya kuuza.. So ikabidd nitafute dalali hapo twn wa kuniuzia mzigo wangu...
Maliza ya yote siku nimepeleka mie.. Kuna kama gari manne toka iringa nayo yalileta.. Nyanya chungu..
Mwanaume nikaanza ona mauza uza.. Kutoka na wingi wa mzigo siku ile nyanya chungu nzuri zilikuwa 15000 kwa 18000 Sokon... Zangu nikapata 15000
Dalali kwa kila roba analo uza ana dai 3000, hapo nikabaki na 12000 kwa kila roba.
Toka hapo madalali nika wa heshimu..
Hahaha ile cheko la kheri kweliWewe naye kwa kulima..hv huelewi eh??hahaha haya
Hahaha ile cheko la kheri kweli
Dada Mimi nataka nifuate nyayo zakoNaona unaamini sana kwenye kilimo
Dada Mimi nataka nifuate nyayo zako
Nipite pote mule ulipopita nione.
Maisha ni kujaribu na kwenye kujaribu
Kuna kupata na kukosa. Ila
I promise you, mitiki lazima niipande maana calculation ya 70 * 3000 imenitoa udenda kiukweli lazima tuwe sote mvua za masika.
ubarikiwe sanaWakuu , pole na hongereni na weekend !
Mimi nimeamua kudeal na kilimo cha mazao ya mbogamboga kwenye eneo langu lenye ukubwa wa moja ninalolimiliki mwenyewe baada ya kulima kwa kukodi mashamba ya watu.
Nalimia Chekereni - Moshi Vijijini Mkoani Kilimanjaro.Kandolando ya barabara kuu ya Moshi - Dsm. Ni mbele kidogo ya Njia Panda ya Himo (Kwa wale wenyeji).
Niliacha kazi niliyokuwa nimeajiliwa baada ya kutofautiana na mwajiri wangu (TPC - Moshi) na kuamua nilime tu.
Nilianza Kwa kukodi shamba la ekari 1 kwa TZS 300,000 kwa msimu nikapanda pilipili Hoho aina ya F1.Zao hili huhitaji roughly siku 100 na huendelea kuzaa na ukachuma hata michumo 10 endapo unaendelea kutoa huduma nzuri. Roba 1 la hoho ni kati ya 80 mpaka 100k. Hapa nilipiga hela nzuri sana, zaidi ya 2 mil.
Msimu uliofuata nikaweka cabbage na kuipa matunzo vizuri.Mungu si athumani nikapatamo hela nzuri tu.
Misimu miwili iliyofuata nikalima kitunguu maji aina ya Neptune. Hii mbegu inatoa vitinguu vikubwa na vizuri sana , hupendwa sana na wafanyabishara wa Kenya.
Kifupi ndo hivyo , mambo yanaenda.
Tujikite na kilimo.
Start with small but very smart !
Hahaha uko ndo hapafai kabisa ujue?. Unazifanyia wapi shinyanga? Ama GeitaPanda kaka....maana ni sawa na bure ...usisahΓ u bas kuja na hukuπππππππ
Hahaha uko ndo hapafai kabisa ujue?. Unazifanyia wapi shinyanga? Ama Geita
Uko palimfilisi mzee wangu; sema nahisi alikosea kwenye usimamizi,aliamini watu ambao hawakupaswa amini wa. Kwa unavyozulula Lula na wewe na wasiwasi, au upo site mwenyewe.hahahhaa....huku niache tu..nitazikwa huku kakake
π₯π₯π₯Majibu unayo na umejijibu...lol...huku hela ya kustaafu mtu alofanya miaka 40 watu wanaipata within 4mthsππ....huku ww hufai..niache mie aiseeππππππ...Uko palimfilisi mzee wangu; sema nahisi alikosea kwenye usimamizi,aliamini watu ambao hawakupaswa amini wa. Kwa unavyozulula Lula na wewe na wasiwasi, au upo site mwenyewe.
Sema ukija piga mshindo hata humu hatutakuona dada
Wakuu , pole na hongereni na weekend !
Mimi nimeamua kudeal na kilimo cha mazao ya mbogamboga kwenye eneo langu lenye ukubwa wa ekari moja ninalolimiliki mwenyewe baada ya kulima kwa kukodi mashamba ya watu.
Nalimia Chekereni - Moshi Vijijini Mkoani Kilimanjaro.Kandolando ya barabara kuu ya Moshi - Dsm. Ni mbele kidogo ya Njia Panda ya Himo (Kwa wale wenyeji).
Niliacha kazi niliyokuwa nimeajiliwa baada ya kutofautiana na mwajiri wangu (TPC - Moshi) na kuamua nilime tu.
Nilianza Kwa kukodi shamba la ekari 1 kwa TZS 300,000 kwa msimu nikapanda pilipili Hoho aina ya F1.Zao hili huhitaji roughly siku 100 na huendelea kuzaa na ukachuma hata michumo 10 endapo unaendelea kutoa huduma nzuri. Roba 1 la hoho ni kati ya 80 mpaka 100k. Hapa nilipiga hela nzuri sana, zaidi ya 2 mil.
Msimu uliofuata nikaweka cabbage na kuipa matunzo vizuri.Mungu si athumani nikapatamo hela nzuri tu.
Misimu miwili iliyofuata nikalima kitunguu maji aina ya Neptune. Hii mbegu inatoa vitinguu vikubwa na vizuri sana , hupendwa sana na wafanyabishara wa Kenya.
Kifupi ndo hivyo , mambo yanaenda.
Tujikite na kilimo.
Start with small but very smart !
Hiyo biashara haina tofauti na mtu ananunua kiwanja anasubiri kipande bei auze.10yrs kuna biashara nyingi tu unaikuza huku unakula hela. Kukaa miaka kumi unasubiri mti ukue si kazi ndogo
Mkuu tulime tu tutaviuza kwa jirani zetu 254, ikishindikana tutauza nje ya Afrika mashariki.Kila mtu akilima huoni kama tutasababisha market saturation??
Haina namna.. Wape chao maisha ya songe...Hahaha umenifanya nitabasamu na nicheke mkuu kwenye hili tukio lako.
Apa nina kibamvua siku si nyingi cha kutafuta nyumba kila nikiwafikiria hawa jamaa wa naenda kula kodi yangu ya mwezi mmoja, hahaha nabaki kujisemea mjini chuo kikuu