Ushuhuda: Tunaposema Shetani hana rafiki hatudanganyi

Una maono mapana sana bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii siasa ya kununua wapinzani huko nchini kwetu tunaita punieto ya kisiasa sijui hapa Bongo mnaitaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tarehe 9 December Chadema walienda ku deliver message.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpeni salaam, habari zake tunazo. Nyumba yake imebomoka atalala wapi
Serikali imepata maficho. Uzuri wake akili za watanzania wengi ni kama za mnyama ngiri. Anapowindwa akakimbia na kumuacha tuseme mbwa, hujisahau na kuanza kula nyasi.
Ndivyo watanzania tulivyo wasahaulifu:
° mivutano ya nchi yetu ilianza mara tu baada ya uchaguzi mkuu,
° ZK ana uwezo gani wa kusababisha tunyimwe mikopo,
° uongo gani aliosema ZK? na
° viongozi wakuu ws nchi wanajichanya:
- mara mabeberu, mara wafadhili,
- tunajenga miradi kwa pesa zetu,
- Tanzania ni nchi tajiri, nk.
 
MSISAHAU Lowasa alikuwa adui na fisadi namba moja kwenye ORODHA YA CHADEMA. Lakini ghafla akaaminiwa akapewa unahodha wa chama na akasifiwa sana "rais wa watu " Leo yuko wapi? The only thing that is constant is change!
 
Mkuu 'Karne', kama sio kupotosha kwa maksudi, wewe utakuwa umetafsiri vibaya maana nzima ya uwepo wa CHADEMA kwenye sherehe hizo.

Hizo sherehe sio za CCM, ni sherehe za Tanzania. CHADEMA hawawezi hata siku moja wakaigomea Tanzania.

Licha ya hilo, na hasa kama unaona gumu kwako kulielewa; CHADEMA waliitumia vizuri sana fursa hiyo kufikisha ujumbe mhimu kwa waTanzania.

Kama wewe hukuelewa ujumbe uliowasilishwa ni bora ukaomba uelezwe na walioelewa ujumbe huo.

CHADEMA hawakuhudhuria sherehe zile kuwaunga mkono CCM kwa aina yoyote ile. Huo ndio ujumbe mhimu kwako uuelewe; pamoja na kwamba mimi sio msemaji wao.
 
Mkuu ni maamuzi ya Baraza la mawazili na sio tu unapewa pesa untishwa pia ukikataa utauwawa. Sasa hata kama ni mimi bora nipokee hizo pesa na niokoe uhai wangu.
 
Mkuu ni maamuzi ya Baraza la mawazili na sio tu unapewa pesa untishwa pia ukikataa utauwawa. Sasa hata kama ni mimi bora nipokee hizo pesa na niokoe uhai wangu.
Aiseeee !!!
 
Sio kweli, CDM walikuwa kimkakati pale CCM Kirumba, dunia iliona na wenye akili waliona!
 
Mkuu! Hapa ndo huwa sipati jawabu ni kwanini Maalim Seif akajiunga na ACT Wazalendo ambayo kiongozi wake mkuu ni Zitto. Naomba tafakuri ya kina.
 
Nina hofu hata kwa yule meya wa dar huenda jamaaa alikataa kununulika,nnapata hofu huenda pia akawa katikati ya manati
 
Kingine cha kujifunza ni "maskini haaminiki lakini mwanasiasa haaminiki zaidi"... Zito naye alibaki bungeni akichekelea Seif kupokwa ushindi saiv wako pamoja baadae utaskia mengine !!
 
Mkuu! Hapa ndo huwa sipati jawabu ni kwanini Maalim Seif akajiunga na ACT Wazalendo ambayo kiongozi wake mkuu ni Zitto. Naomba tafakuri ya kina.
nimeomba tangu mapema kwamba tusimjadili Zitto , tujadili hoja ya kwamba SHETANI HANA RAFIKI
 
Nina hofu hata kwa yule meya wa dar huenda jamaaa alikataa kununulika,nnapata hofu huenda pia akawa katikati ya manati
Mfano mzuri sana uliotoa hapa.
Erythro, weka kwenye 'list' mhimu huyo meya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…