Kuchitimbo
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 439
- 366
Ahahahahahah,hii nchi Ni ngumuasingejipambanua kwamba hayuko nao wangemuua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahahah,hii nchi Ni ngumuasingejipambanua kwamba hayuko nao wangemuua
Kuna kitu ndani ya kabisa ya akili za Zitto kinamwambia kwamba yeye ni rais wa awamu ya sita.Zitto na JPM wamegeukana kwa kasi sana!Nimeelewa hivyo,hao madiwani ni casualties of war!
Hapana,huyo ni wewe wala sidhani Zitto anauwaza huo urahisi maana anajua wazi hawezi kutoboa mbele ya magiant CCM na CDM!Kuna kitu ndani ya kabisa ya akili za Zitto kinamwambia kwamba yeye ni rais wa awamu ya sita.
Ni mawazo mazuri sana, tatizo yeye ni mbunge pekee wa ACT, najaribu tu kuwaza kwa sauti namna atakavyoingia ikulu ikiwa huku chini misingi ni mibovu.
Kuna raia mmoja wa Kenya anauliza mbona watanzania wamepoa kama vile sio mwaka wa uchaguzi ?Tutaendelea kufundisha
Mkuu sijamjadili Zitto. Nomejaribu kufanya tafakuri ya tukio la kisiasa ambalo linagusa hisia na maisha ya Watanzania.nimeomba tangu mapema kwamba tusimjadili Zitto , tujadili hoja ya kwamba SHETANI HANA RAFIKI
Haya mambo haya jamani nyieeee !!Erythrocyte,
Hakika. Mungu ashukuriwe