Ushuhuda: Tusirudie makosa ya wazazi wetu kukariri elimu ni ufunguo wa maisha, ufunguo wa uhakika ni kumfundisha mtoto biashara ama kujiajiri mapema.

Ushuhuda: Tusirudie makosa ya wazazi wetu kukariri elimu ni ufunguo wa maisha, ufunguo wa uhakika ni kumfundisha mtoto biashara ama kujiajiri mapema.

Kwangu mm elimu nikumuwezesha kijana awe na uwezo mpana wakufikiria,kuna jamaa mmoja alisoma computer science udsm alipata gpa 3.8 alipomaliza tu kwa bahati nzuri mzee wake akawa anastaafu akachukua mtaji kwa mzee (mafao ya użeeni)akanunua trekta lakulimia nakubebea mazao jamaa sasa ni tajiri mkubwa kule kwao nahela aliochukua kwa mzee ameirejesha sasa anajiendesha mwenyewe
 
Kariiibuuu mwaaalimuuu elimu ni ufunguo wa maisha shikamooo mwaliiimuuu daah maisha haya. Hongera mkuu
 
Ulimwengu wa sasa mfunze vyote mpe elimu mfunze na ujasiliamali
 
Watu mmekariri kwamba elimu ni ile inayopatikana kwa kwenda shule na kufanya mtihani wa cheti, that is very shallow mindset, chochote unachojifunza katika mazingira ni elimu na bila elimu huwezi kufanikisha chochote.
 
Sijui ni member gani humu aliwahi leta ushuhuda. Alisoma na watoto wa kihindi hadi kidato cha nne. Japo walifaulu ila hawakuendelea na elimu ya juu wala chuo.


Yeye aliendelea. Kuja kukutana nao baadae wale jamaa ni wafanya biashara wakubwa wa spare za magari. Muda huo yeye bado hajajipata vzr.
 
Elimu ni nini au maana yake ni nini kwanza?

Una watoto wangapi? Na wana umri gani?

Je hao watoto wanasoma?
 
Watu mmekariri kwamba elimu ni ile inayopatikana kwa kwenda shule na kufanya mtihani wa cheti, that is very shallow mindset, chochote unachojifunza katika mazingira ni elimu na bila elimu huwezi kufanikisha chochote.
Ndio nmemuuliza elimu ni nini, maana kuna mahali anazungumza mambo ya kulipa mapato, mara tax clearance kwa watoto, lakini anashindwa kujua hiyo nayo ni elimu vile vile
 
Tumebadilika wazazi, lengo la awali ilikuwa ni kuajiriwa, ajira zimekuwa ngumu, sasa hivi tunasoma kwa malengo ya kuwa mwanasiasa msomi, tunalenga kuongoza serikali. Ajira tunayo, tumejiajiri
 
Kwangu mm elimu nikumuwezesha kijana awe na uwezo mpana wakufikiria,kuna jamaa mmoja alisoma computer science udsm alipata gpa 3.8 alipomaliza tu kwa bahati nzuri mzee wake akawa anastaafu akachukua mtaji kwa mzee (mafao ya użeeni)akanunua trekta lakulimia nakubebea mazao jamaa sasa ni tajiri mkubwa kule kwao nahela aliochukua kwa mzee ameirejesha sasa anajiendesha mwenyewe
Kwenye jamii yangu hawa watu siwaoni nawakutaga hapa Jamiiforums

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
ni kweli familia za wahindi walilifahamu hili mapema sana
Kabisa
Mfano lawalawa toka mwaka 1895...mpaka leo..
Sambamba na wale Patel...Jandu...ni vizazi vinaendeleza hata hawa Dewji....toka Gulam...Azim...Sasa yupo Mo.
 
Kwa fani za STEM(science, tech, engineering, math) elimu ni ufunguo aisee....

Hiyo aya ya mwisho nimependa.
Ndio mnadanganyana mkiwa chuo mkiingia mtaani mnakuta Mambo yako tofauti Sasa ivi elimu inatusaidia kusoma na kuandika na kutoa ujinga lakini elimu sio ufunguo wa maisha na hakuna mwalimu anafundisha maisha ni wewe mwenyewe umtangulize mungu na kufanya kazi kwa bidii
 
Tumebadilika wazazi, lengo la awali ilikuwa ni kuajiriwa, ajira zimekuwa ngumu, sasa hivi tunasoma kwa malengo ya kuwa mwanasiasa msomi, tunalenga kuongoza serikali. Ajira tunayo, tumejiajiri
Wengine hawataki kubadilika na ndio maana watu wengi wenye mafanikio hawana elimu ya degree
 
Elimu sio ya kuibeza lakini ni vipi kama mzazi/mlezi una biashara ama umejiajiri kwanini umkazanie mtoto awe anasoma tu wakati wewe una formula ya uhakika ya kupiga pesa ? inasahangaza kuona mzazi anaingiza almost milioni 3 na kuendelea kila mwezi lakini anamkazania mtoto awe anasoma tu ili aje "KUJARIBU BAHATI YA KUAJIRIWA" (ni bahati kwasababu ajira zimekuwa ngumu na huenda mtoto shule ikamshinda), Kuna haja gani ya kusubiria mtoto apitie msoto ndio uanze kumshirikisha kwenye biashara wakati unaweza kuanza nae tangu ana miaka 10 ? mbaya zaidi ukiondoka mapema hata watoto hawana idea ya kusimamia mambo yako watauza mali zako kwa bei za kutupa na biashara kufilisika.

Na hapa kuna wazazi wanawafundisha watoto biashara ama kujiajiri ndivyo sivyo, Biashara kama duka unakuta mtoto tangu mdogo anachojua ni kuuza tu wala hajui faida inayopatikana, mzigo unaponunuliwa, vibali, kodi, n.k. Na mzazi anajisifu na kujipiga kifua kwamba anamfundisha mtoto biashara, LA HASHA !! Unamwandaaa aje auzie wengine maduka kwa mshahara wa laki 1.

Nao waliojiajiri mfano wakulima na wafugaji unakuta wanachofundisha watoto ni kuchunga ngombe na kulima tu, wala hawajawahi kwenda nao mnadani ama sokoni kutafuta wateja, kumfundisha mtoto kunegotiate, kumpa mtoto iridha ya wateja, n.k. mtoto akiulizia mzazi anamwambia soma kwanza !! ni kweli kusoma ni muhimu lakini kuna ubaya gani kumuongezea elimu ya kujipatia kipato cha uhakika ? kumyima mtoto haya maarifa ni kumuandaa awe shamba boy au mchungaji wa mbuzi.


Mimi binafsi kama mzazi nilipomaliza chuo nilipitia msoto nikimaliza soli kutafuta ajira, nilipewa kamtaji kufungua duka langu ila ugeni wangu katika biashara ulizifanya changamoto nazokutana nazo kwa mara ya kwanza zinilambe mitama huku nikipata faida ndogo sana, baada ya miaka kadhaa nikapata ajira stable lakini nikaona kazini pekee kutegemea mshahara ni kuridhika, sikukomaa vizuri kwa uzoefu kwenye biashara niliyofanya kabla sijaajiriwa lakini baada ya kuajiriwa bado nilikuwa na kiu kiu kuendelea na biashara, kama kawaida changamoto zilinilamba mitama ila kwa with time nimekuwa mzoefu na nina biashara kadhaa zinazonipa faida, nipo na confidence kubwa kwenye biashara na ndio imenibadilisha hata kiuchumi, account inasoma visifuri vya ziada.

Nilipostuka nimefungua kaduka ka mahitaji kwa mtaji wa kawaida kabisa kwa lengo la kusimulate watoto, nimeweka binti wa kuuza, ila watoto nilienda nao TRA kukata tax clearance, Niliwashirikisha closely kupata Tin namba ya eneo la biashara, niliwaonesha namna ya kulipia leseni ya biashara, wao ndio watakuwa wanalipia kodi ya makadirio kila baada ya miezi minne, kufanya stock kila siku litakuwa jukumu lao, n.k. Baada ya mwaka au miezi 6 nimepanga kuifunga hii biashara kisha nifungue upya kwa lengo la kuwazoesha wazoee process za kufungua na vibali.

Mwakani hivi naona watakuwa wamezoea zoea ndio ntaanza kuwashirikisha kwenye biashara zangu kuu.
Elimu unayoizingumzia wewe ni ipi? Tafakari nchi zilizopiga hatua kubwa familia ni tajiri lakini watoto wanasoma.Hoja sio elimu ni aina ya Elimu.Wakati utakuja waliosoma elimu ya biashara ndio watapeta.Jiulize tajiri Namba Moja duniani Elimu yake ni kiwango Gani?.Kwenye nchi zilizoendelea matajiri wameenda shule.Sema kwetu huku Bado tupo kwenye level ya uchuuzi tu lakini wenzetu biashara inafanyika kisayansi na kisasa zaidi
 
Kwangu mm elimu nikumuwezesha kijana awe na uwezo mpana wakufikiria,kuna jamaa mmoja alisoma computer science udsm alipata gpa 3.8 alipomaliza tu kwa bahati nzuri mzee wake akawa anastaafu akachukua mtaji kwa mzee (mafao ya użeeni)akanunua trekta lakulimia nakubebea mazao jamaa sasa ni tajiri mkubwa kule kwao nahela aliochukua kwa mzee ameirejesha sasa anajiendesha mwenyewe
Hio ndio elimu na tumuombe mungu Sana atupe elimu ya maisha sio atupe elimu ya darasan
 
Asante sana kwa kutufundisha biashara mzee, sisi wenyewe tunasubiri biashara hapa zikue, tukufyeke , tubaki tunapiga mpunga kwa kujinafasi maana umezidisha masheriti...🥱🥱🤣
 
Elimu sio ya kuibeza lakini ni vipi kama mzazi/mlezi una biashara ama umejiajiri kwanini umkazanie mtoto awe anasoma tu wakati wewe una formula ya uhakika ya kupiga pesa ? inasahangaza kuona mzazi anaingiza almost milioni 3 na kuendelea kila mwezi lakini anamkazania mtoto awe anasoma tu ili aje "KUJARIBU BAHATI YA KUAJIRIWA" (ni bahati kwasababu ajira zimekuwa ngumu na huenda mtoto shule ikamshinda), Kuna haja gani ya kusubiria mtoto apitie msoto ndio uanze kumshirikisha kwenye biashara wakati unaweza kuanza nae tangu ana miaka 10 ? mbaya zaidi ukiondoka mapema hata watoto hawana idea ya kusimamia mambo yako watauza mali zako kwa bei za kutupa na biashara kufilisika.

Na hapa kuna wazazi wanawafundisha watoto biashara ama kujiajiri ndivyo sivyo, Biashara kama duka unakuta mtoto tangu mdogo anachojua ni kuuza tu wala hajui faida inayopatikana, mzigo unaponunuliwa, vibali, kodi, n.k. Na mzazi anajisifu na kujipiga kifua kwamba anamfundisha mtoto biashara, LA HASHA !! Unamwandaaa aje auzie wengine maduka kwa mshahara wa laki 1.

Nao waliojiajiri mfano wakulima na wafugaji unakuta wanachofundisha watoto ni kuchunga ngombe na kulima tu, wala hawajawahi kwenda nao mnadani ama sokoni kutafuta wateja, kumfundisha mtoto kunegotiate, kumpa mtoto iridha ya wateja, n.k. mtoto akiulizia mzazi anamwambia soma kwanza !! ni kweli kusoma ni muhimu lakini kuna ubaya gani kumuongezea elimu ya kujipatia kipato cha uhakika ? kumyima mtoto haya maarifa ni kumuandaa awe shamba boy au mchungaji wa mbuzi.


Mimi binafsi kama mzazi nilipomaliza chuo nilipitia msoto nikimaliza soli kutafuta ajira, nilipewa kamtaji kufungua duka langu ila ugeni wangu katika biashara ulizifanya changamoto nazokutana nazo kwa mara ya kwanza zinilambe mitama huku nikipata faida ndogo sana, baada ya miaka kadhaa nikapata ajira stable lakini nikaona kazini pekee kutegemea mshahara ni kuridhika, sikukomaa vizuri kwa uzoefu kwenye biashara niliyofanya kabla sijaajiriwa lakini baada ya kuajiriwa bado nilikuwa na kiu kiu kuendelea na biashara, kama kawaida changamoto zilinilamba mitama ila kwa with time nimekuwa mzoefu na nina biashara kadhaa zinazonipa faida, nipo na confidence kubwa kwenye biashara na ndio imenibadilisha hata kiuchumi, account inasoma visifuri vya ziada.

Nilipostuka nimefungua kaduka ka mahitaji kwa mtaji wa kawaida kabisa kwa lengo la kusimulate watoto, nimeweka binti wa kuuza, ila watoto nilienda nao TRA kukata tax clearance, Niliwashirikisha closely kupata Tin namba ya eneo la biashara, niliwaonesha namna ya kulipia leseni ya biashara, wao ndio watakuwa wanalipia kodi ya makadirio kila baada ya miezi minne, kufanya stock kila siku litakuwa jukumu lao, n.k. Baada ya mwaka au miezi 6 nimepanga kuifunga hii biashara kisha nifungue upya kwa lengo la kuwazoesha wazoee process za kufungua na vibali.

Mwakani hivi naona watakuwa wamezoea zoea ndio ntaanza kuwashirikisha kwenye biashara zangu kuu.
Huko kumfundisha mtoto ndio elimu yenyewe, tatizo.umekariri kwamba elimu lazima uende shule ukae darasani

Hata kuishi na walimwengu ni elimu tosha, inakua na maana kama utaitumia vizuri
 
Back
Top Bottom