Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ndani sitalala hakika. Lakini mahusiano hayawezi kufa kamwe na hili na ongea Mimi mwenyew nikiwa nilizaa na dada mmoja na akaolewa na mfanyabiashara mkubwa tu Kuna muda Hela natumiwa pia Mimi nikihitaji Wala sirudishi. Jamaa ananijua na ashaniambia issue yoyote ya mtoto lazima aniambie yeye na mzazi mwenzangu.Mtoto wako utapewa utajua wewe unaenda naye wapi coz ww unabaki kuwa mzazi tu.
Lakini sio kwenda kwenye nyumba ya wenyewe ukakatike viuno kama vile....
Thubutuuu
Mimi nanunuaPeace, (Mods naomba msibadili tittle ya uzi huu pia nitashukuru kama hamta uunganisa. Asante)
Wakuu, (hasa vijana) ardhi bado zipo nyingi sana maeneo tofauti na za kila aina, unapotaka kununua ardhi KAMWE usinunue ardhi yenye makaburi...
Sema Mama Watoto
Tatizo sio makaburi na maua yake, Pesa ndio tatizo. Kibenten hakiwezi kuweka sauti ya kukoroma kama hakina pesa🤣Sio mwanamke aliyezaa Bali mwanamke mwenye baba watoto mwenye hela kukuzidi...
We tafuta hela acha kuota ndoto za alinacha na kujifariji 😂😂😂😂Sawa ndani sitalala hakika. Lakini mahusiano hayawezi kufa kamwe na hili na ongea Mimi mwenyew nikiwa nilizaa na dada mmoja na akaolewa na mfanyabiashara mkubwa tu Kuna muda Hela natumiwa pia Mimi nikihitaji Wala sirudishi. Jamaa ananijua na ashaniambia issue yoyote ya mtoto lazima aniambie yeye na mzazi mwenzangu.
Kuhusu kula tunda ni Mimi tu nikitaka hata kesho.
Inshort usioe mwanamke mwenye mtoto wa mwanaume mwenzio
litutumbweMimi nanunua
Nimerudi Jela sio kuzuriUmerudi ba mtu..?
Wananionea walinipiga Mwezi na siku kadhaa mod's washenzi sanaUlipewa ya muda gani..? Mbn m nilishatoka kitamboo..?
Walikupendelea Mimi napigwa ndefuBasi kuwa mpole...mi nilipigwa ya wiki 2
Kibenten kinakoromaje wakati kinalishwa?. Jukumu la kibenten ni kumaliza upwiru wa mama mtu Basi.Tatizo sio makaburi na maua yake, Pesa ndio tatizo. Kibenten hakiwezi kuweka sauti ya kukoroma kama hakina pesa🤣
Haha 😃 Sawa nimekujaJamvi lilikumisi...karibu Tena..
Mod's washenzi sanaUngetafuta fekero😂
Sawa leo acha nipoe kidogoHahahaha kuwa mpole kwa Leo basi..
Hatari kidogo 😃Mm nna nyumba 3 nkichomewa hii nakuja na ingine ..😂😂
Umesema kwamba?Karibu utajionea mwenyewe 🤣...Kuna vocha za Bure siku hizi....
Astaghfirullah!Kibenten kinakoromaje wakati kinalishwa?. Jukumu la kibenten ni kumaliza upwiru wa mama mtu Basi.