Ushuhuda: Usinunue ardhi yenye makaburi kamwe

Mjane pia tusioe!
 
Nikadhani makaburi kabisa Og!

Nikawa nawaza, tatizo ni nini, kumbe ni mambo yetu yale?

Mbona hiyo issue inafahamika na iko wazi sana mazee?

Marehemu Matona aliwahi kuporomosha bonge la taarabu 'shamba usipolilima, watalilima wenzako'

Nadhani alilenga 'kulima' shamba lililotelekezwa na siyo 'kulinunua' na kulimiliki kama unavyorai wewe, kumbe ni bora kulitumia tu na kuliacha.
 
Naona mnatupiga kwenye mishono tunaodate Single mamaz ,huyu nlonae alizalishwa akiwa kidato cha 2 na jamaa miaka 5 iliyopita na jamaa kashaoa zake huko sasa sjui nachapiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…