Ushuhuda wa dada yangu: Ukioa mdada wa chuoni ambae kwao anaweza kurudi kirahisi tegemea kusingiziwa unamfanyia ubaya akiona majukumu ya ndoa magumu

Ushuhuda wa dada yangu: Ukioa mdada wa chuoni ambae kwao anaweza kurudi kirahisi tegemea kusingiziwa unamfanyia ubaya akiona majukumu ya ndoa magumu

Wewe naye ni lijinga sana sasa mambo ya dada yako yanakuhusu nini ?

Tafuta demu uende uoe ili ujue ukweli wa mambo sio kuishi kwenye nadharia mshenzi .

Mkuu nisamehe tu ila ni vile sipendi watu wambea kama wewe .

Vipi lakini Yanga atashinda kweli ? [emoji3]
Msipende kujiona smart sana, hili ni jukwaa huru, kama alichokileta hukielewi pita tu, kwani hao wanaoleta mambo yao humu wewe yanakuhusu?

£@€ √•~
 
Wewe naye ni lijinga sana sasa mambo ya dada yako yanakuhusu nini ?

Tafuta demu uende uoe ili ujue ukweli wa mambo sio kuishi kwenye nadharia mshenzi .
Mkuu nisamehe tu ila ni vile sipendi watu wambea kama wewe.
Wewe ndiye wa ovyo sasa!.

Kijana kaleta kama case study, kumbuka hii ni elimu kuna mnaotakiwa kujifunza kutokana na hii mada.

Ndiyo maana hata mahakama huwa inaleta tukio mfanano ili kutoa hukumu kulingana na yako.
 
Wewe ndiye wa ovyo sasa!.

Kijana kaleta kama case study, kumbuka hii ni elimu kuna mnaotakiwa kujifunza kutokana na hii mada.

Ndiyo maana hata mahakama huwa inaleta tukio mfanano ili kutoa hukumu kulingana na yako.
Mimi mtu akishanijibu alafu akaleta vingereza uwa sipendi kuendelea kujibizana maana hushindwi kuandika kingereza tu hapa .

Unataka majadiliano basi tutumie lugha yetu sio nimalize Mb zangu kutafuta maana ya maneno yako

Sitaki
 
Ila kama na dada na yeye alikua anafanya kazi means alikua anachoka

Asa cha ajabu nini nguo za huyo bwana akafua house girl??

Afu maji hivi huyo bwana natumaini ana gesi hapo kwake yaan kitendo cha jubadika sufuria uchemshe maji ya kuoga mpaka afanye mkewe kwamba mkewe anatumia petroli au robot??

Binafsi hii ishu haiendani na usomi wala nini huyo bwana anakosea domestic chores zingine anapaswa na yeye afanye.
Kabisa,kuna baadhi ya wanaume wana mambo ya ajabu kweli. Uskute alikua hata hajali mwenzie amechoka anaforce mwenzie apigike zaidi badala ya kumpa msaada ukizingatia kasema ana mtoto mdogo.
 
Hapa ndio huwa nawashangaa baadhi ya wanawake, they are very busy kusambaza chuki dhidi ya mmewe kuanzia kwenye familia yake mpaka kwa mtoto anaekua. Huo muda wa kumjaza mtoto maneno asiyoweza kuyamudu ungemfundisha upendo na mengineyo ya kumjenga na sio kumjaza chuki dhidi ya mzazi mwenza.

"Bwana yule anatoa laki 3 ya kumtunza mtoto kila mwezi lakini dada hakuwahi kusema hili alikuwa anasema hapewi chochote, na hii nikaja kugundua ni mbinu ya kumfanya aliekuwa mme wake tumuone ni mkatili nae apate points za kujitetea."
 
Sina maana ya kuwa mmbea ama kumkandia dada yangu ila hii ndio hali halisi ya matatizo haya ya sasa yanayofanya ndoa nyingi kubomoka, mimi nimeleta case study.



Mifano ipo mingi sana juu ya wanawake wasomi wa vyuoni kuwa wasumbufu kwenye ndoa ila wacha niweke kisa cha mtu naemjua kabisa wala si wa kihadithiwa.


Ni dada yangu huyu kabisa, aliitafuta sana ndoa na akaipata kimbebe kikawa kwenye maisha halisi ya ndoa.

Dada alikuwa kakariri sana maisha ya miss independent, haki sawa, ndoa za kitamthilia, n.k kwa bahati mbaya ama nzuri mme wake alikuwa hawezi vumilia haya mambo, kapata kazi hapa mjini na ni msomi ila kakulia sana maisha ya kijijini.

Dada alianza kuchoka kumfulia mme wake nguo akashauri watafte house girl, mme wake akamwambia hata wakimleta house girl bado nguo zake haziwezi fuliwa na house girl inabidi afue dada maana ni majukumu yake.

Dada alianza kuchoka kuamka asubuhi kumpashia mme wake maji, anamwambia mme wake apashe, walikuwa wanakorofishana sana.

Dada alitaka kuendelea tabia zake za kukutana na kutoka out na anaowaita marafiki zake wa kiume, mme wake alikataa hii hasa pale alipokuwa anaona ni kama vile bado hajui nini maana ya ndoa.

Vitimbwi vilikuwa ni vingi sana ila kwa moyo wa kipekee wa yule bwana, dada hakuwahi kupigwa hata kibao, ingekuwa hata mimi angekuwa ashachezea sana tu.


Baada ya miezi minne ya ndoa nikaanza kuona dada anapost status za kimafumbo kuashiria anateswa, nikimpigia anadai anatishiwa maisha lakini kwa akili yake navyomjua ni rahisi kumjua anaposema uwongo, nikawa kimya tu.

Alirudi nyumbani na mpaka sasa yupo nyumbani, mzazi hawakuwa na tatizo lolote kwa yeye kuridi na hata anavyoondoka chumba chake kilifungwa asilale mti mwengine.

vikao kama viwili hivi haonyeshi nia ya kurudi, nyumbani karudi na mtoto kuna house girl, anapikiwa, n.k.

Bwana yule anatoa laki 3 ya kumtunza mtoto kila mwezi lakini dada hakuwahi kusema hili alikuwa anasema hapewi chochote, na hii nikaja kugundua ni mbinu ya kumfanya aliekuwa mme wake tumuone ni mkatili nae apate points za kujitetea.

Majukumu ya ndoa kwa mabinti wengi wa vyuoni ni tatizo, wanataka kuendelea na lifestyle za vyuoni ambazo haziwezi kuendana na maisha ya ndoa, wanataka haki sawa bila kutekeleza majukumu yao, wamekuwa brain washed na tamthilia, n.k.
.......elimu ndio mkombozI pekee wa fikra Kwa binadamu yeyote lakini Kwa afrika elimu na utawazi vimekua ni toxic hata Kwa Mila na desturi nzuri tulizonazo, taasisi ya ndoa ndo muathirika wa kwanza ktk elimu, Kwa kiasi kikubwa ndoa inaanzishwa na mwanaume lakini inaimarishwa na mwanamke, hivyo basi kama elimu Kwa mwanamke itapelekea alone ndoa sio kitu Cha thamani basi ndoa hivyo itakufa
Nb: ni jambo la muhimu sana mtoto wa kike asome sababu yeye ndio victim naomba moja wa all threats of the world ranging from social, economic and psychological.......
 
Wewe naye ni lijinga sana sasa mambo ya dada yako yanakuhusu nini ?

Tafuta demu uende uoe ili ujue ukweli wa mambo sio kuishi kwenye nadharia mshenzi .

Mkuu nisamehe tu ila ni vile sipendi watu wambea kama wewe .

Vipi lakini Yanga atashinda kweli ? [emoji3]
😂😂 Umemng'ata na Kumpuliza Boya wewe
 
Huezi m-treat vibaya anybody ukitegemea atakupamba somewhere even if you were too good.l

Huyo bwana apart na hizo hela alipaswa amsaidie mkewe ahakikishe mkewe achoki sana

Kuna baadhi ya majukumu angegawa kwa housegirl mfano usafi wa nyumba in general huko room kwake ilibidi ndo awe anafanya mkewe

Kuhusu nguo zake hata housegirl anafua mbona ukitoa nguo sensitive ziingine apewe housegirl afue, mama akiwa home basi ndo walau afanye fanye kazi
Alichokosea ni kumfanyisha makazi mkewe ili hali sio a 'housewife'
upo ndani ya mada lakini nilichangia kwenye ishu ya mume kutoa matumizi lakini mke kudai kuwa hapewi chochote.
 
Wewe naye ni lijinga sana sasa mambo ya dada yako yanakuhusu nini ?

Tafuta demu uende uoe ili ujue ukweli wa mambo sio kuishi kwenye nadharia mshenzi .

Mkuu nisamehe tu ila ni vile sipendi watu wambea kama wewe .

Vipi lakini Yanga atashinda kweli ? [emoji3]
Umemtukana Bure mleta mada pengine una bifu nae au unatafuta bifu la kijinga. Huyu kaleta mada km somo kwa wengine. Mbona watu wanaleta mada juu ya maisha Yao humu ya ndoa na huwaambii wawaache wakaoe wengine. Tuwe na busara tunapojibizana. Majibu yako ni ishara ya makuzi ya single mother au wazazi waliosahau malezi badala yake wakakimbilia kukukuza tu.
 
Back
Top Bottom