Ushuhuda wa dada yangu: Ukioa mdada wa chuoni ambae kwao anaweza kurudi kirahisi tegemea kusingiziwa unamfanyia ubaya akiona majukumu ya ndoa magumu

Msipende kujiona smart sana, hili ni jukwaa huru, kama alichokileta hukielewi pita tu, kwani hao wanaoleta mambo yao humu wewe yanakuhusu?

£@€ √•~
 
Wewe naye ni lijinga sana sasa mambo ya dada yako yanakuhusu nini ?

Tafuta demu uende uoe ili ujue ukweli wa mambo sio kuishi kwenye nadharia mshenzi .
Mkuu nisamehe tu ila ni vile sipendi watu wambea kama wewe.
Wewe ndiye wa ovyo sasa!.

Kijana kaleta kama case study, kumbuka hii ni elimu kuna mnaotakiwa kujifunza kutokana na hii mada.

Ndiyo maana hata mahakama huwa inaleta tukio mfanano ili kutoa hukumu kulingana na yako.
 
Wewe ndiye wa ovyo sasa!.

Kijana kaleta kama case study, kumbuka hii ni elimu kuna mnaotakiwa kujifunza kutokana na hii mada.

Ndiyo maana hata mahakama huwa inaleta tukio mfanano ili kutoa hukumu kulingana na yako.
Mimi mtu akishanijibu alafu akaleta vingereza uwa sipendi kuendelea kujibizana maana hushindwi kuandika kingereza tu hapa .

Unataka majadiliano basi tutumie lugha yetu sio nimalize Mb zangu kutafuta maana ya maneno yako

Sitaki
 
Kabisa,kuna baadhi ya wanaume wana mambo ya ajabu kweli. Uskute alikua hata hajali mwenzie amechoka anaforce mwenzie apigike zaidi badala ya kumpa msaada ukizingatia kasema ana mtoto mdogo.
 
Hapa ndio huwa nawashangaa baadhi ya wanawake, they are very busy kusambaza chuki dhidi ya mmewe kuanzia kwenye familia yake mpaka kwa mtoto anaekua. Huo muda wa kumjaza mtoto maneno asiyoweza kuyamudu ungemfundisha upendo na mengineyo ya kumjenga na sio kumjaza chuki dhidi ya mzazi mwenza.

"Bwana yule anatoa laki 3 ya kumtunza mtoto kila mwezi lakini dada hakuwahi kusema hili alikuwa anasema hapewi chochote, na hii nikaja kugundua ni mbinu ya kumfanya aliekuwa mme wake tumuone ni mkatili nae apate points za kujitetea."
 
.......elimu ndio mkombozI pekee wa fikra Kwa binadamu yeyote lakini Kwa afrika elimu na utawazi vimekua ni toxic hata Kwa Mila na desturi nzuri tulizonazo, taasisi ya ndoa ndo muathirika wa kwanza ktk elimu, Kwa kiasi kikubwa ndoa inaanzishwa na mwanaume lakini inaimarishwa na mwanamke, hivyo basi kama elimu Kwa mwanamke itapelekea alone ndoa sio kitu Cha thamani basi ndoa hivyo itakufa
Nb: ni jambo la muhimu sana mtoto wa kike asome sababu yeye ndio victim naomba moja wa all threats of the world ranging from social, economic and psychological.......
 
😂😂 Umemng'ata na Kumpuliza Boya wewe
 
upo ndani ya mada lakini nilichangia kwenye ishu ya mume kutoa matumizi lakini mke kudai kuwa hapewi chochote.
 
Umemtukana Bure mleta mada pengine una bifu nae au unatafuta bifu la kijinga. Huyu kaleta mada km somo kwa wengine. Mbona watu wanaleta mada juu ya maisha Yao humu ya ndoa na huwaambii wawaache wakaoe wengine. Tuwe na busara tunapojibizana. Majibu yako ni ishara ya makuzi ya single mother au wazazi waliosahau malezi badala yake wakakimbilia kukukuza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…