Ushuhuda wa dada yangu: Ukioa mdada wa chuoni ambae kwao anaweza kurudi kirahisi tegemea kusingiziwa unamfanyia ubaya akiona majukumu ya ndoa magumu

Ushuhuda wa dada yangu: Ukioa mdada wa chuoni ambae kwao anaweza kurudi kirahisi tegemea kusingiziwa unamfanyia ubaya akiona majukumu ya ndoa magumu

Nyumba zenye washing machine hazifiki 1% bongo?[emoji16]
Japo sijafanya research ila kaa ukijua hiyo kitu ni kawaida sana siku hizi, kawaida saaana.
Yaani umeiweka kavile ni kitu ajabu sana m-bongo kua nacho.
Nikitu cha ajabu kwasababu wengi wetu tunajua watanzania ni sisi tunaoishi mjini tu tena kwaujumla Dar. Kipimo halisi ni watanzania kulalamikia gharama za bima ya afya kwa wote ambayo ilikuwa ni 384,000/= ila watu walitaka ishuke hadi 50,000/= mpaka 60,000/=. Usifanye mchezo maisha halisi ya mtanzania ni ya chini sana na ya watumishi ambao hawafiki 20% ya watanzania ni ya chini maana wengi ni serikari kuu ndio muajiri hivyo mishahara yao wengi haifiki hata 800,000/=, kwa wafanyabiashara ambao kweli wafanyabiashara sio wajasiriamali na wakwenye taasisi au makumpuni makubwa ni chini ya 5% ndio wanamaisha ya kawaida ila wale wenye maisha above standard ni less than 1%. Hivyo mtu akitoka chuo anawaza maisha ya washing machine atakufa kwa njaa na sonona mapema sana. It's a 3rd world country madam.
 
Jamani jamani kuna watu wakoloni balaa bado wanaishi enzi za mawe. Afuliwe nguo,achemshiwe maji,atengewe chakula,vyombo atolewe,akitoka kuoga apokelewe ndoo au taulo,awashiwe tv ,apelekewe maji ya kunywa. Halafu kwenye kutoa mahari analalamika kubwa mno mara ya kazi gani.
 
Jamani jamani kuna watu wakoloni balaa bado wanaishi enzi za mawe. Afuliwe nguo,achemshiwe maji,atengewe chakula,vyombo atolewe,akitoka kuoga apokelewe ndoo au taulo,awashiwe tv ,apelekewe maji ya kunywa. Halafu kwenye kutoa mahari analalamika kubwa mno mara ya kazi gani.

Sasa watu wa Mungu malalamiko ya nini?

Si muachane na hizo Ndoa ili usifanye lolote kwa yeyote.

#YNWA
 
Umemtukana Bure mleta mada pengine una bifu nae au unatafuta bifu la kijinga. Huyu kaleta mada km somo kwa wengine. Mbona watu wanaleta mada juu ya maisha Yao humu ya ndoa na huwaambii wawaache wakaoe wengine. Tuwe na busara tunapojibizana. Majibu yako ni ishara ya makuzi ya single mother au wazazi waliosahau malezi badala yake wakakimbilia kukukuza tu.
Something might be wrong
 
Wewe naye ni lijinga sana sasa mambo ya dada yako yanakuhusu nini ?

Tafuta demu uende uoe ili ujue ukweli wa mambo sio kuishi kwenye nadharia mshenzi .

Mkuu nisamehe tu ila ni vile sipendi watu wambea kama wewe .

Vipi lakini Yanga atashinda kweli ? [emoji3]
Umekosea kumuita jamaa Lijinga...Ni mwanaume mwenzio anayehitaji heshima na hoja nzuri za kujenga sio dharau...
 
Back
Top Bottom