Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Khantwe nipo kwenu tangu wiki hii (South zone) nimekufata uje unielekeze tamthilia za Kikorea [emoji3]Ila jamani twende mbele turudi nyuma...au basi, twendeni tu mbele
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nikitu cha ajabu kwasababu wengi wetu tunajua watanzania ni sisi tunaoishi mjini tu tena kwaujumla Dar. Kipimo halisi ni watanzania kulalamikia gharama za bima ya afya kwa wote ambayo ilikuwa ni 384,000/= ila watu walitaka ishuke hadi 50,000/= mpaka 60,000/=. Usifanye mchezo maisha halisi ya mtanzania ni ya chini sana na ya watumishi ambao hawafiki 20% ya watanzania ni ya chini maana wengi ni serikari kuu ndio muajiri hivyo mishahara yao wengi haifiki hata 800,000/=, kwa wafanyabiashara ambao kweli wafanyabiashara sio wajasiriamali na wakwenye taasisi au makumpuni makubwa ni chini ya 5% ndio wanamaisha ya kawaida ila wale wenye maisha above standard ni less than 1%. Hivyo mtu akitoka chuo anawaza maisha ya washing machine atakufa kwa njaa na sonona mapema sana. It's a 3rd world country madam.Nyumba zenye washing machine hazifiki 1% bongo?[emoji16]
Japo sijafanya research ila kaa ukijua hiyo kitu ni kawaida sana siku hizi, kawaida saaana.
Yaani umeiweka kavile ni kitu ajabu sana m-bongo kua nacho.
Samahani mkuu, wao ni wao ni bro wangu so please have some respect. Ni men huyu na kaoaWe MBWA ni ME, KE au SHOGA?
😳😳😳
#YNWA
Samahani mkuu, wao ni wao ni bro wangu so please have some respect. Ni men huyu na kaoa
Jamani jamani kuna watu wakoloni balaa bado wanaishi enzi za mawe. Afuliwe nguo,achemshiwe maji,atengewe chakula,vyombo atolewe,akitoka kuoga apokelewe ndoo au taulo,awashiwe tv ,apelekewe maji ya kunywa. Halafu kwenye kutoa mahari analalamika kubwa mno mara ya kazi gani.
Sasa watu wa Mungu malalamiko ya nini?
Si muachane na hizo Ndoa ili usifanye lolote kwa yeyote.
#YNWA
Sasa watu wa Mungu malalamiko ya nini?
Si muachane na hizo Ndoa ili usifanye lolote kwa yeyote.
#YNWA
[emoji16][emoji16] nikuelekeza nini sasa...kukutafsiria au..?Khantwe nipo kwenu tangu wiki hii (South zone) nimekufata uje unielekeze tamthilia za Kikorea [emoji3]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
[emoji16][emoji16] nimewaza mengi sana[emoji23] umewaza nini
Eti jamani..kweli?? Kwamba ukijiwekea maji uanaume wako utapungua?Basi tuzidi kulalamika. sasa kettle ni shingapi? Kwamba nikiamka asubuhi seriously nishindwe kujiwekea maji ya kuoga kwa kettle???
Yaweke kwenye maandishi
Nitapopolewa hadi nikufe [emoji16][emoji16] ngoja niyamezee tu maadam yameshasemwa na wenzanguYaweke kwenye maandishi
😂Sawa KhantweNitapopolewa hadi nikufe [emoji16][emoji16] ngoja niyamezee tu maadam yameshasemwa na wenzangu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kuna sehemu nimekuquote kukulalamikia?
Kwa nini isikuume nani anataka mtoto wake au ndugu yake arudi nyumbani eti ndoa imemshinda?Nachelea kukataa maana wewe dada yako aachane na bwana ake kinakuuma nini ikiwa una maisha yako .?
Asante,Wewe ndiye wa ovyo sasa!.
Kijana kaleta kama case study, kumbuka hii ni elimu kuna mnaotakiwa kujifunza kutokana na hii mada.
Ndiyo maana hata mahakama huwa inaleta tukio mfanano ili kutoa hukumu kulingana na yako.
Something might be wrongUmemtukana Bure mleta mada pengine una bifu nae au unatafuta bifu la kijinga. Huyu kaleta mada km somo kwa wengine. Mbona watu wanaleta mada juu ya maisha Yao humu ya ndoa na huwaambii wawaache wakaoe wengine. Tuwe na busara tunapojibizana. Majibu yako ni ishara ya makuzi ya single mother au wazazi waliosahau malezi badala yake wakakimbilia kukukuza tu.
Umekosea kumuita jamaa Lijinga...Ni mwanaume mwenzio anayehitaji heshima na hoja nzuri za kujenga sio dharau...Wewe naye ni lijinga sana sasa mambo ya dada yako yanakuhusu nini ?
Tafuta demu uende uoe ili ujue ukweli wa mambo sio kuishi kwenye nadharia mshenzi .
Mkuu nisamehe tu ila ni vile sipendi watu wambea kama wewe .
Vipi lakini Yanga atashinda kweli ? [emoji3]