Ushuhuda wa dada yangu: Ukioa mdada wa chuoni ambae kwao anaweza kurudi kirahisi tegemea kusingiziwa unamfanyia ubaya akiona majukumu ya ndoa magumu

Mume ni mstaarabu mpaka hapo....karudi kwao bado anatoa laki 3 kuhudumia mtoto.Lakini Dunia ndivyo ilivyo ...huenda huyo jamaa ameumiza mtu kumpata mtu aliyekosa utu
 
Umemshambulia bure.....aisee🤔
 
Mambo mengine yashapitwa na wakati....kwanini huyo shemeji yako asinunue washing machine na geyser.

Kama anafanya kazi kumfulisha mwanamke....kuchemshiwa maji kila asubuhi kutesana. Hawezi kujichemshia maji?
Washing machine haitakatishi nguo
 
Nyie mnaomponda mleta uzi ni feminised males kiufupi ni wanawake wenye penis. Hongera bro kwa kuwa mwanaume na kuona uovu licha ya kua ni ndugu yako
 
Imagine maisha ya leo wanawake wamefika point wanakataa kufua na kupika! yaani utafute hela afu upike na ujifulie, worker droid sio? Vijana wapo sahihi kukataa ndoa, mwanamke kazi za nyumbani zinampa feminine values, vinginevyo ni chombo cha starehe hupatikana hata bila kuoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…