Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
Wakuu,
Hapa ninavyoandika ni kuwa harusi inanguruma kanisani na ni karibu na maeneo ya shoga yangu kipenzi. Alinipigia simu nikambembeleze maana mwanaume aliyekuwa naye alimuacha kwa kuwa alimnyima 'utamu' .
Ananiambia huyo jamaa walikaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi ila jamaa alikuwa anataka abebe mimba ndio amuoe. Dada wa watu ni mlokole akamwambia asubiri kwanza mpaka wafunge ndoa.
Jamaa akamuacha akaanza mahusiano na mtu mwingine kwa siri. Akapewa tamu mimba ikaingia. Jamaa fasta kamvisha pete na leo ndio ndoa yenyewe.
Dada alipo hapa anamwaga chozi...
Hapa ninavyoandika ni kuwa harusi inanguruma kanisani na ni karibu na maeneo ya shoga yangu kipenzi. Alinipigia simu nikambembeleze maana mwanaume aliyekuwa naye alimuacha kwa kuwa alimnyima 'utamu' .
Ananiambia huyo jamaa walikaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi ila jamaa alikuwa anataka abebe mimba ndio amuoe. Dada wa watu ni mlokole akamwambia asubiri kwanza mpaka wafunge ndoa.
Jamaa akamuacha akaanza mahusiano na mtu mwingine kwa siri. Akapewa tamu mimba ikaingia. Jamaa fasta kamvisha pete na leo ndio ndoa yenyewe.
Dada alipo hapa anamwaga chozi...