Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
[emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Inasikitisha sana.
Vuta picha outlook aliyokuwa nayo ex wa Prince Harry weekend iliyopita pale chapel.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Inasikitisha sana.
Vuta picha outlook aliyokuwa nayo ex wa Prince Harry weekend iliyopita pale chapel.
Hiyo ni choice ya mtu sasa, just respect that. Akiolewa/ asiolewe ni suala lake binafsiSasa wataendelea kupigwa na viongozi wao wa makanisa hamna namna wakifika 35 wataanza kumtafuta yeyote atakayekuja mbele yao
[emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Akifikisha 35 akaleta thread humu anatafuta mume wa kumuoa mnaanza kumkebehi.
Kama umemind hivi mama vipi unaelekea 40 nn waoaji hawapoHiyo ni choice ya mtu sasa, just respect that. Akiolewa/ asiolewe ni suala lake binafsi
My binamu my lav[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] nailed it mwaa[emoji108] [emoji108] [emoji108]Inauma kwa muda tu then atapoa tu, kuna ile mtu ulimpenda + mazoea ndo yanaumiza. Inawezekana kabisa yeye angebeba mimba na hata asiolewe, akaishia kuwa single mom tu. Wapo wanawake wengi tu walikuwa wanabembelezwa wazae, now hawaamini kilichowakuta after kubeba mimba, kuzaa sio kuolewa.
Kama anachokifanya, anakifanya kwa ajili ya Mungu wake, she is doing the best thing na Mungu anayemtumania wala hatomuacha aaibike. God has something very amazing in store for her, awe tu mvumilivu, atalia machozi ya furaha na kusema Mungu ahsante nilipita tu kule. Nampa hongera, maana wengi wetu huwa tunachagua tamaa zetu, tunamuweka Mungu wa pili; na huwa tunavuna tunachopanda kwa kweli
Daah pole mshkaji wangu. I thought tunabadilishana tu mawazo, kumbe dooh. Chukulia poa tuKama umemind hivi mama vipi unaelekea 40 nn waoaji hawapo
Nisamehe bhana
Haha miss you binaMy binamu my lav[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] nailed it mwaa[emoji108] [emoji108] [emoji108]
Africa kufuatilia maisha ya watu ni moja ya majukumu ya watu [emoji2][emoji2]Hiyo ni choice ya mtu sasa, just respect that. Akiolewa/ asiolewe ni suala lake binafsi
Haha unakuta mtu hajaolewa, ila mimi ndo nakuwa bothered na situation yake utadhani ndo maisha yangu. Live and let liveAfrica kufuatilia maisha ya watu ni moja ya majukumu ya watu [emoji2][emoji2]
Me too binaa!busy sanaa siku hizi!Haha miss you bina
Mmoja ananizingua mpaka natamani nikamtupilie mbali..!Ukweli mchungu wasichana wakilokole huwa wanazingua sana.
Hawa waolewage na walokole wenzao ambao mpaka kumpata ni lazima upite kwa Mzee wa Kanisa naye Mzee Wa Kanisa aende kwanza kwa Mchungaji aseme kuwa "fulani kashukiwa" hapo Mchungaji naye mpaka atoe Baraka zake (maana mwingine unaweza kukuta ni kifaa cha Mchungaji)
Yote yanasababishwa na idle mind.Haha unakuta mtu hajaolewa, ila mimi ndo nakuwa bothered na situation yake utadhani ndo maisha yangu. Live and let live
Heaven Sent hawezi kumind vitu vidogo hivyo. Anachokifanya ni kuchangia mawazo yake kama wewe vile unavyochangia mawazo yako[emoji2]Kama umemind hivi mama vipi unaelekea 40 nn waoaji hawapo
Nisamehe bhana
Bina nipo, nilitingwa kidogo ila nimerudiMe too binaa!busy sanaa siku hizi!
Kazi ipoYote yanasababishwa na idle mind.
Ahsante bff. Tunatofautiana mawazo jamaniHeaven Sent hawezi kumind vitu vidogo hivyo. Anachokifanya ni kuchangia mawazo yake kama wewe vile unavyochangia mawazo yak[emoji2]
Welkam bak bina...Bina nipo, nilitingwa kidogo ila nimerudi
Haha anakufanyaje mpendwa?Mmoja ananizingua mpaka natamani nikamtupilie mbali..!