Ushuhuda wadada: Ulijisikiaje siku mpenzi wa zamani alipooa wakati wewe bado hujaolewa?

Ushuhuda wadada: Ulijisikiaje siku mpenzi wa zamani alipooa wakati wewe bado hujaolewa?

Tatizo hawa wa kujiita walokole hawana tofauti na watu wengine
Una nia naye ya dhati kabisa kumuoa analeta vikwazo mixer sijui mchungaji kasema kile mara vile kumbe kuna vijemba kanisani vinajipigia tu tena kwa zamu
Kama atakuwa hajatembea na mwanaume na nikathibitisha ntamsubiri miaka 100 ila kama wameshatoboa baaaas hakuna kitu hapo
Kwamba vijeba wanajipigia kwa zamu[emoji23]
 
Inasikitisha sana.

Vuta picha appearance aliyokuwa nayo ex wa Prince Harry weekend iliyopita pale chapel.
Hivi ndiyo ilivyokuwa hahaaaa....
FB_IMG_1527349399505.jpg
 
dah nyie acheni tu,naweza kusema ni zaidi ya kuumia kupenda ni mtihani nyie.Mie nilikaa week kama chizi yani dah,acha tu mtu anakuja anaingia moyoni mnakuwa mnapendana na kuzoeana then mwisho wa siku ana change unaweza kujinyonga,thanks god niko salama lakini kwa kilichonikuta dah mungu ndo anajua
Pole kwa yaliyokutokea ni sehemu ya maisha, pamoja na kuwa si kila mmoja atapitia matukio ambayo mwengine anapitia.
 
Wanawake wengi hua wanapoteza potential husbands kwa vigezo vyao vya kijinga.

Kupewa utam hadi siku ya ndoa ndio ujinga ambao siwezi kufanya maisha yangu yote hata kama mwanamke ni malaika alieshuka toka kusikojulikana.
Mi nashukuru sana uwepo Wa jf,kuna msichana alinipa sharti kama hlo afu sio bikira,ila nkakutana na Uzi tofaut tofaut humu wengi wanasema ni ujinga kusubir ndoa,hatimae nmeamua kumkaushia huyo demu
 
Wanawake wengi hua wanapoteza potential husbands kwa vigezo vyao vya kijinga.

Kupewa utam hadi siku ya ndoa ndio ujinga ambao siwezi kufanya maisha yangu yote hata kama mwanamke ni malaika alieshuka toka kusikojulikana.
Utakuwa ni taahira kama utakubali kusubiria wakati mtu mwenyewe ni "USED" tayari
 
hahaha kama analia kweli basi huyo ulokole wake ni wa maigizo tu.
 
Inauma kwa muda tu then atapoa tu, kuna ile mtu ulimpenda + mazoea ndo yanaumiza. Inawezekana kabisa yeye angebeba mimba na hata asiolewe, akaishia kuwa single mom tu. Wapo wanawake wengi tu walikuwa wanabembelezwa wazae, now hawaamini kilichowakuta after kubeba mimba; kuzaa sio kuolewa.

Kama anachokifanya, anakifanya kwa ajili ya Mungu wake, she is doing the best thing na Mungu anayemtumania wala hatomuacha aaibike. God has something very amazing in store for her, awe tu mvumilivu, atalia machozi ya furaha na kusema Mungu ahsante nilipita tu kule. Nampa hongera, maana wengi wetu huwa tunachagua tamaa zetu, tunamuweka Mungu wa pili; na huwa tunavuna tunachopanda kwa kweli
[emoji122][emoji122][emoji122]

Kinachonishangaza mm kwann analiaa!!?
hapo ndio alitakiwa kujipa moyo wa ushindi maana amekuwa jasiri na kuweza kuisimamia imani,

Kulia kwake inawezekana anajutia kwann hakubeba mimba ya huyo mtu.
 
Back
Top Bottom