Ushuhuda wadada: Ulijisikiaje siku mpenzi wa zamani alipooa wakati wewe bado hujaolewa?

Ushuhuda wadada: Ulijisikiaje siku mpenzi wa zamani alipooa wakati wewe bado hujaolewa?

Nilikuwa siwaelewi wanawake lakini miska miwili baada ya kuoa nikanza kuwasiliana kirafiki na ma ex wangu... nilikua na kama girlfriends Sita (6) Hivi ambao nilifkia stage ya kufikiria kuwaoa, kati yao kuna ambaye nilikaa naye miaka kumi ....yupo aliyekua bikira na nilihakikisha .. na yuko ambaye Alibeba mimba ( moja ikawa miscarriage na nyingine akaitoa baada ya kusikia nimeoaa ...maskini hana mtoto hadi Sasa )
All to say baada ya kureconcile na kumove On wanne kati ya hao waliolewa ambaye nilimuoa mimi ni yule ambaye sikumpa umuhimu Sana yaaani
Lakini wote wakinieleza uchungu waliopitia siku nilipoooa ,kuugua, pressure , ulcers etc
Toka wakati Huo huwa nawawaeleza wadogo zangu wasicheze na hisia za wanawake
At times wanaonekana kutokujali hivi mbele za watu Lakini kama hawa kwakua waliishia kuja Ndugu zangu walinieleza pain waliyoipitia hasa wakiwa chumbani .. ni kujifungia na kulia tu !!!
Ni watu wachache Sana huwa wanabahatika kuoa au kuolewa na love of his or her life
Na mtu akishapitia ile pain huwa haji kupenda tena kwa namna ile anaweza kuoa au kuolewa na akapenda Lakini lile chozi na kwikwi hutaweza kumwaga Kwa mtu tena
Sometimes kwa vijana ile pain inakukomaza , mtu aliyeipitia akavuka hataweza kuja kujiuwa kwa ajili ya mpenzi tena !!! Au hata kuuwa mpenzi kwa ajili ya mapenzi ...It’s a necessary pain at times
 
Na mimi hapa ndo Nashida kuwaelewa wanawake, unakuta kisumbufu mpaka unafanya maamuzi ya kukiachia halafu baada ya kuona una donge nono anaanza kukufuatilia.
Mie tukishaachana ndio basi yaan inakuwa imetoka, ht huwa sihitaji kujua ex anaendelea na ht tukikutana njiani huwa sihitaji kbs ajifanye kunijua jua. Salam ya kishkaji tu inatosha ikibidi ht salam yake si ya lazima Sana
 
Kama ni bikira na nikathibitisha we ni bikira sintakugusa hadi tuoane ina make sense ila kama ulishatawanywa halafu mi ndo unaniletea habari za hakuma sex hadi ndoa trust me nakuacha leo sisubiri kesho..
 
Wakuu,

Hapa ninavyoandika ni kuwa harusi inanguruma kanisani na ni karibu na maeneo ya shoga yangu kipenzi.

Alinipigia simu nikambembeleze maana mwanaume aliyekuwa naye alimuacha kwa kuwa alimnyima 'utamu' .

Ananiambia huyo jamaa walikaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi ila jamaa alikuwa anataka abebe mimba ndio amuoe.

Dada wa watu ni mlokole akamwambia asubiri kwanza mpaka wafunge ndoa.

Jamaa akamuacha akaanza mahusiano na mtu mwingine kwa siri. Akapewa tamu mimba ikaingia.

Jamaa fasta kamvisha pete na leo ndio ndoa yenyewe.

Dada alipo hapa anamwaga chozi...
Analilia nn sasa?!! Alivyokuwa anamnyima alitegemea nn?
Acha aendelee kuibania mpaka atakapoenda nayo kaburin..

Ulokole ulokole si aoane na walokole wenzie.. Anaibani usikute hana hata bikra
 
Dadeq acha machoz yamtoke...kachezea shiling kwenye choo...waoaji wachache halaf yy analeta mbwembwe
 
Wewe ndo unaona tatizo, kwake yeye ndo maisha yake aliyoyachagua. Kila watu wana taratibu zao wanazozifuata ukitaka kuoa/kuolewa kwao, na ni sawa kabisa. Wewe ukiona zinakushinda, tafuta ambaye choices na formalities zake zinaendana na wewe

Kama mtu alisex ila akaona ni ubatili tu akaamua kurudi kwa Mungu wake, who are you to judge her? Tafuta mtu anayeamini kile unachokiamini, ukiona ya walokole huyawezi, kausha tu
Sasa kama kaamua maisha aliyochagua analilia nn ? Si aende hukohuko kwa walokole!!??
 
Inauma kwa muda tu then atapoa tu, kuna ile mtu ulimpenda + mazoea ndo yanaumiza. Inawezekana kabisa yeye angebeba mimba na hata asiolewe, akaishia kuwa single mom tu. Wapo wanawake wengi tu walikuwa wanabembelezwa wazae, now hawaamini kilichowakuta after kubeba mimba; kuzaa sio kuolewa.

Kama anachokifanya, anakifanya kwa ajili ya Mungu wake, she is doing the best thing na Mungu anayemtumania wala hatomuacha aaibike. God has something very amazing in store for her, awe tu mvumilivu, atalia machozi ya furaha na kusema Mungu ahsante nilipita tu kule. Nampa hongera, maana wengi wetu huwa tunachagua tamaa zetu, tunamuweka Mungu wa pili; na huwa tunavuna tunachopanda kwa kweli
Kwenye uzi wa kumiliki PM ya member wa JF, kuna mtu alisema anapenda kumiliki PM yako ili aone jinsi unavyowashauri watu.
Hakika nimeamini kwa asilimi nyingi japo sio zote. Ahsante kwa post hii
 
Nilikuwa siwaelewi wanawake lakini miska miwili baada ya kuoa nikanza kuwasiliana kirafiki na ma ex wangu... nilikua na kama girlfriends Sita (6) Hivi ambao nilifkia stage ya kufikiria kuwaoa, kati yao kuna ambaye nilikaa naye miaka kumi ....yupo aliyekua bikira na nilihakikisha .. na yuko ambaye Alibeba mimba ( moja ikawa miscarriage na nyingine akaitoa baada ya kusikia nimeoaa ...maskini hana mtoto hadi Sasa )
All to say baada ya kureconcile na kumove On wanne kati ya hao waliolewa ambaye nilimuoa mimi ni yule ambaye sikumpa umuhimu Sana yaaani
Lakini wote wakinieleza uchungu waliopitia siku nilipoooa ,kuugua, pressure , ulcers etc
Toka wakati Huo huwa nawawaeleza wadogo zangu wasicheze na hisia za wanawake
At times wanaonekana kutokujali hivi mbele za watu Lakini kama hawa kwakua waliishia kuja Ndugu zangu walinieleza pain waliyoipitia hasa wakiwa chumbani .. ni kujifungia na kulia tu !!!
Ni watu wachache Sana huwa wanabahatika kuoa au kuolewa na love of his or her life
Na mtu akishapitia ile pain huwa haji kupenda tena kwa namna ile anaweza kuoa au kuolewa na akapenda Lakini lile chozi na kwikwi hutaweza kumwaga Kwa mtu tena
Sometimes kwa vijana ile pain inakukomaza , mtu aliyeipitia akavuka hataweza kuja kujiuwa kwa ajili ya mpenzi tena !!! Au hata kuuwa mpenzi kwa ajili ya mapenzi ...It’s a necessary pain at times
Hao ma ex zako kuna yeyote uliyekuwa na plan za kumuoa hakakutaa ?
 
Hyo jamaa akuwa na nia ya kuoa,haiwezekani MTU ubebe mimba ndipo hakuoe lkn hyo Dada akaze atampata wa kumuoa .akilia sana msikilizishe wimbo unaitwa bado mrembo atanyamaza japo jina la msanii limenitoka.
Mbna kaoa huyo mwngne alompachika mimba ,, na pia kwann isiwezekane mtu kubebeshwa mimba afu ndo uoe,, watu wanatest mitambo.....
Aendelee kutukazia tu, asijl atakuja kupata mzee alofiwa na mke
 
Analilia nn sasa?!! Alivyokuwa anamnyima alitegemea nn?
Acha aendelee kuibania mpaka atakapoenda nayo kaburin..

Ulokole ulokole si aoane na walokole wenzie.. Anaibani usikute hana hata bikra
Izo zilikua enz za kina bikira maria, ndo ilikua hulii mzgo had ndoaa,, sasa huyu anataka amrudishe mzee baba miaka 2k nyuma[emoji16][emoji16] wadada dunia imebadilkaa
 
Kusema kweli nilifurahi kusikia ameoa ila nilimlaumu kwa sababu kama angenipa taarifa mapema ningempa zawadi.
kwani zawadi inatakiwa siku ya ndoa tu si hata leo unaweza kumpa tu Thad [emoji3][emoji3]
 
Halafu unakua lilishatobolewa kitambo ila baada ya kuwa maisha magumu linaenda kuokoka huku linaanza kuweka masharti
 
Back
Top Bottom