The Dark Father
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 1,144
- 1,408
Huyo dada, asiwaze.
Hata kama alimpenda huyo jamaa, the fact still is kulikuwa na conflict of interests.
Wewe kama unaamini ni sahihi kusubiri mpaka ndoa, dont settle for any less, do what you think is damn right.
Kama mlipishana hapo, hata ungekubali, mngepishana kwingine tena.
Ni bora uwe na mtu unayeendana nae kuliko unayempenda. Coz lemme tell y'all one thing; mapenzi hufa. Hivyo ni bora atleast uwe na mtu mtakayeweza vumiliana.
Narudia tena, Usibadili unachotaka kisa kuna ulichotamani.
Chill.
Hata kama alimpenda huyo jamaa, the fact still is kulikuwa na conflict of interests.
Wewe kama unaamini ni sahihi kusubiri mpaka ndoa, dont settle for any less, do what you think is damn right.
Kama mlipishana hapo, hata ungekubali, mngepishana kwingine tena.
Ni bora uwe na mtu unayeendana nae kuliko unayempenda. Coz lemme tell y'all one thing; mapenzi hufa. Hivyo ni bora atleast uwe na mtu mtakayeweza vumiliana.
Narudia tena, Usibadili unachotaka kisa kuna ulichotamani.
Chill.