Ushuhuda wadada: Ulijisikiaje siku mpenzi wa zamani alipooa wakati wewe bado hujaolewa?

Ushuhuda wadada: Ulijisikiaje siku mpenzi wa zamani alipooa wakati wewe bado hujaolewa?

Yakinikuta Ndo ntakuja changia naona wengi mnaongea kirahc rahc tu lakn moyo kichaka hujui umpendae nn anakiwaza....
 
Yakinikuta Ndo ntakuja changia naona wengi mnaongea kirahc rahc tu lakn moyo kichaka hujui umpendae nn anakiwaza....

Roho by fid q. Alisemaga unajua unaempenda lakini hujui anaekupenda, kama kungelikuwepo kujua anaekupenda it could easy.
 
Mwenye haki ya kusema hivyo ni mwanamke bikra kwamba anamtunzia mumewe
Tunatofaufiana imani, mimi nime base upande wa Mungu wangu, Biblia yangu inasema usitende dhambi tena, ukiponywa usitende dhambi tena,

Na kutokuwa bikira haisemi kuwa ukimrudia Mungu mwanaume akija uwe mzinzi tu,
Ni sidhani kama kuna dini inaruhusu uzinzi

Mimi kwetu hawaruhusu uzinzi, wazinzi hawaingii mbinguni

Hao walio okoka na bado wanazini bado hawajajitambua vzr
 
Kwenye uzi wa kumiliki PM ya member wa JF, kuna mtu alisema anapenda kumiliki PM yako ili aone jinsi unavyowashauri watu.
Hakika nimeamini kwa asilimi nyingi japo sio zote. Ahsante kwa post hii
Hahaha huu uchochezi sasa
 
Wakuu,

Hapa ninavyoandika ni kuwa harusi inanguruma kanisani na ni karibu na maeneo ya shoga yangu kipenzi.

Alinipigia simu nikambembeleze maana mwanaume aliyekuwa naye alimuacha kwa kuwa alimnyima 'utamu' .

Ananiambia huyo jamaa walikaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi ila jamaa alikuwa anataka abebe mimba ndio amuoe.

Dada wa watu ni mlokole akamwambia asubiri kwanza mpaka wafunge ndoa.

Jamaa akamuacha akaanza mahusiano na mtu mwingine kwa siri. Akapewa tamu mimba ikaingia.

Jamaa fasta kamvisha pete na leo ndio ndoa yenyewe.

Dada alipo hapa anamwaga chozi...
Rafiki anasali kanisa gani? Linaonekana liko vizuri
 
Inauma kwa muda tu then atapoa tu, kuna ile mtu ulimpenda + mazoea ndo yanaumiza. Inawezekana kabisa yeye angebeba mimba na hata asiolewe, akaishia kuwa single mom tu. Wapo wanawake wengi tu walikuwa wanabembelezwa wazae, now hawaamini kilichowakuta after kubeba mimba; kuzaa sio kuolewa.

Kama anachokifanya, anakifanya kwa ajili ya Mungu wake, she is doing the best thing na Mungu anayemtumania wala hatomuacha aaibike. God has something very amazing in store for her, awe tu mvumilivu, atalia machozi ya furaha na kusema Mungu ahsante nilipita tu kule. Nampa hongera, maana wengi wetu huwa tunachagua tamaa zetu, tunamuweka Mungu wa pili; na huwa tunavuna tunachopanda kwa kweli

one of the best comments. niongezee hapo ni vema kudate na mtu mnayefanana misimamo ya kiimani tangu mwanzo kuepusha matatizo kama hayo.
 
one of the best comments. niongezee hapo ni vema kudate na mtu mnayefanana misimamo ya kiimani tangu mwanzo kuepusha matatizo kama hayo.
Kabisa, from the very beginning unajua mwenzangu anataka na kusimamia nini. Kama haviendani basi kila mtu anashika 50 zake
 
Nilikuwa siwaelewi wanawake lakini miska miwili baada ya kuoa nikanza kuwasiliana kirafiki na ma ex wangu... nilikua na kama girlfriends Sita (6) Hivi ambao nilifkia stage ya kufikiria kuwaoa, kati yao kuna ambaye nilikaa naye miaka kumi ....yupo aliyekua bikira na nilihakikisha .. na yuko ambaye Alibeba mimba ( moja ikawa miscarriage na nyingine akaitoa baada ya kusikia nimeoaa ...maskini hana mtoto hadi Sasa )
All to say baada ya kureconcile na kumove On wanne kati ya hao waliolewa ambaye nilimuoa mimi ni yule ambaye sikumpa umuhimu Sana yaaani
Lakini wote wakinieleza uchungu waliopitia siku nilipoooa ,kuugua, pressure , ulcers etc
Toka wakati Huo huwa nawawaeleza wadogo zangu wasicheze na hisia za wanawake
At times wanaonekana kutokujali hivi mbele za watu Lakini kama hawa kwakua waliishia kuja Ndugu zangu walinieleza pain waliyoipitia hasa wakiwa chumbani .. ni kujifungia na kulia tu !!!
Ni watu wachache Sana huwa wanabahatika kuoa au kuolewa na love of his or her life
Na mtu akishapitia ile pain huwa haji kupenda tena kwa namna ile anaweza kuoa au kuolewa na akapenda Lakini lile chozi na kwikwi hutaweza kumwaga Kwa mtu tena
Sometimes kwa vijana ile pain inakukomaza , mtu aliyeipitia akavuka hataweza kuja kujiuwa kwa ajili ya mpenzi tena !!! Au hata kuuwa mpenzi kwa ajili ya mapenzi ...It’s a necessary pain at times
Niliwahi kuumia sana sana na kupitia maumiv ambayo naweza kusema kwa jinsi nyingine yalinitesa sana lakin pia yamenibadilisha na kuwa bora zaidi.

Nilimpenda sana, hata wkt ambao sikuwa na pesa.. nilimsaidia kazi yake. Kwao walijua na nilikaribia kutoa mahari maana ndio nilikuwa kwenye hatua za mwisho.
I can say , yule dada alikuja kupata mimba kutoka kwa mchepuko, mbaya zaidi hakusema. Alianza kunifanyia vituko ili niachane nae. Alianza kinifanyia vituko ili nimuache, lakin nilijikaza kutokana na kuwa nampenda.

Aliniumiza mno, siku moja nilikubali kuachana nae maana alishinikiza sana. Japo niliumia ilibidi nikubali, nikaenda zangu mbali kabisa kusikia habar yake. Mbaya zaidi hakuwah kunitafuta ili kukiri kosa kuchepuka..
Baada ya mwez nasikia anaolewa, na picha nikaona fb. Niliumia kuliko unavyodhani.

Ila nilijikaza, nikaendelea na maisha. Nilijua ni mtihani Mungu amenipa, ila sikujua kwa nn mimi.
Baada ya muda nikawa vizur, ila mpaka leo bado kidonda hakijapona. It is so painful nikikumbuka.
 
Niliwahi kuumia sana sana na kupitia maumiv ambayo naweza kusema kwa jinsi nyingine yalinitesa sana lakin pia yamenibadilisha na kuwa bora zaidi.

Nilimpenda sana, hata wkt ambao sikuwa na pesa.. nilimsaidia kazi yake. Kwao walijua na nilikaribia kutoa mahari maana ndio nilikuwa kwenye hatua za mwisho.
I can say , yule dada alikuja kupata mimba kutoka kwa mchepuko, mbaya zaidi hakusema. Alianza kunifanyia vituko ili niachane nae. Alianza kinifanyia vituko ili nimuache, lakin nilijikaza kutokana na kuwa nampenda.

Aliniumiza mno, siku moja nilikubali kuachana nae maana alishinikiza sana. Japo niliumia ilibidi nikubali, nikaenda zangu mbali kabisa kusikia habar yake. Mbaya zaidi hakuwah kunitafuta ili kukiri kosa kuchepuka..
Baada ya mwez nasikia anaolewa, na picha nikaona fb. Niliumia kuliko unavyodhani.

Ila nilijikaza, nikaendelea na maisha. Nilijua ni mtihani Mungu amenipa, ila sikujua kwa nn mimi.
Baada ya muda nikawa vizur, ila mpaka leo bado kidonda hakijapona. It is so painful nikikumbuka.
Pole sana mpendwa. Time is the best healer
 
Tunatofaufiana imani, mimi nime base upande wa Mungu wangu, Biblia yangu inasema usitende dhambi tena, ukiponywa usitende dhambi tena,

Na kutokuwa bikira haisemi kuwa ukimrudia Mungu mwanaume akija uwe mzinzi tu,
Ni sidhani kama kuna dini inaruhusu uzinzi

Mimi kwetu hawaruhusu uzinzi, wazinzi hawaingii mbinguni

Hao walio okoka na bado wanazini bado hawajajitambua vzr
Utakuta single mother wewe.
Lkn upo sahihi
 
Shake well before used
Screenshot_20230329-102521_Chrome.jpg
 
Niliwahi kuumia sana sana na kupitia maumiv ambayo naweza kusema kwa jinsi nyingine yalinitesa sana lakin pia yamenibadilisha na kuwa bora zaidi.

Nilimpenda sana, hata wkt ambao sikuwa na pesa.. nilimsaidia kazi yake. Kwao walijua na nilikaribia kutoa mahari maana ndio nilikuwa kwenye hatua za mwisho.
I can say , yule dada alikuja kupata mimba kutoka kwa mchepuko, mbaya zaidi hakusema. Alianza kunifanyia vituko ili niachane nae. Alianza kinifanyia vituko ili nimuache, lakin nilijikaza kutokana na kuwa nampenda.

Aliniumiza mno, siku moja nilikubali kuachana nae maana alishinikiza sana. Japo niliumia ilibidi nikubali, nikaenda zangu mbali kabisa kusikia habar yake. Mbaya zaidi hakuwah kunitafuta ili kukiri kosa kuchepuka..
Baada ya mwez nasikia anaolewa, na picha nikaona fb. Niliumia kuliko unavyodhani.

Ila nilijikaza, nikaendelea na maisha. Nilijua ni mtihani Mungu amenipa, ila sikujua kwa nn mimi.
Baada ya muda nikawa vizur, ila mpaka leo bado kidonda hakijapona. It is so painful nikikumbuka.
Bila shaka umeshasahau machungu yote, na unajishangaa namna ulivyokuwa unaumia.
 
Back
Top Bottom