DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeMafungu mengne yanapga mateke, mitama pamoja na vifuti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeMafungu mengne yanapga mateke, mitama pamoja na vifuti
Basi subiri kama karma mkuuHapana wote walikua tayari
Hahhaahah wewe kama mimiMe tukiachana nakuhesabia kama marehemu.
Ndoa yetu lini?Hahhaahah wewe kama mimi
Ntakutafuta tuongee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji6]
Hilo ni fungu la kukosa bhana haikuwa ridhiki yake ila inachoma kama umekanyaga mkaa wa moto doihhWakuu,
Hapa ninavyoandika ni kuwa harusi inanguruma kanisani na ni karibu na maeneo ya shoga yangu kipenzi.
Alinipigia simu nikambembeleze maana mwanaume aliyekuwa naye alimuacha kwa kuwa alimnyima 'utamu' .
Ananiambia huyo jamaa walikaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi ila jamaa alikuwa anataka abebe mimba ndio amuoe.
Dada wa watu ni mlokole akamwambia asubiri kwanza mpaka wafunge ndoa.
Jamaa akamuacha akaanza mahusiano na mtu mwingine kwa siri. Akapewa tamu mimba ikaingia.
Jamaa fasta kamvisha pete na leo ndio ndoa yenyewe.
Dada alipo hapa anamwaga chozi...
Nakamilisha mipango fulani na mshenga wangu ili aje anitambulishe na kupanga trh ya ndoa yetu.Ndoa yetu lini?
ni kweli mkuu, ni kutakiana kheri tu hata kinafiki heheMbona fresh tu, inakuwa sio riziki yako muhimu umtakie heri huko aendako
hapa kwenye rangi ndo penye uhalisia mkuu.hhhaHilo ni fungu la kukosa bhana haikuwa ridhiki yake ila inachoma kama umekanyaga mkaa wa moto doihh
Sikia kwa jirani yako usiombe kabisa ikukute yani ni balaa mnoohapa kwenye rangi ndo penye uhalisia mkuu.hhha
Hahaaa wewe chelewa tu.Nakamilisha mipango fulani na mshenga wangu ili aje anitambulishe na kupanga trh ya ndoa yetu.
na mbaya zaidi kama ulisubject akili yako yote kwake ukahisi bila yeye huwezi inakuwa hard time kurudi kwenye ground level. but inawezekana ikishatokea ni kuvumilia na kusubiria ujio mwingine hasa nyie mnaosubiri mufwate.Sikia kwa jirani yako usiombe kabisa ikukute yani ni balaa mnoo
Usiruhusu mtu mwingine akurubuni. Nipo kwa ajili yako hadi ukamilifu wa dahari.Hahaaa wewe chelewa tu.
Kabisa yani mapenzi ni magumu sana ingewezekana kuyaacha na kufanya mengine ingekua nafuu sana sema kuingia humo ni automaticna mbaya zaidi kama ulisubject akili yako yote kwake ukahisi bila yeye huwezi inakuwa hard time kurudi kwenye ground level. but inawezekana ikishatokea ni kuvumilia na kusubiria ujio mwingine hasa nyie mnaosubiri mufwate.
Hahaas hutaki kuhalalisha sasa.Usiruhusu mtu mwingine akurubuni. Nipo kwa ajili yako hadi ukamilifu wa dahari.
Nusu ya mwaka huu haitaisha kabla sjakuweka ndani [emoji23][emoji23][emoji23]Hahaas hutaki kuhalalisha sasa.
😀😀 hayaa bnaNusu ya mwaka huu haitaisha kabla sjakuweka ndani [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni ngumu balaa ila ukiweza kuteki a deep breath kuwa ni changamoto za kawaida sawa na mtu anapopata hasara ya biashara utarelaxKabisa yani mapenzi ni magumu sana ingewezekana kuyaacha na kufanya mengine ingekua nafuu sana sema kuingia humo ni automatic
Changamoto zipo lazima tujue kupambana nazo zinapotutokeaKabisa yani mapenzi ni magumu sana ingewezekana kuyaacha na kufanya mengine ingekua nafuu sana sema kuingia humo ni automatic