Ushuhuda: wanawake wajita na wasukuma wanajua kupenda hadi raha

Ushuhuda: wanawake wajita na wasukuma wanajua kupenda hadi raha

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Hello JF,
nimeonja utamu wa kupendwa na wanawake mjjita na msukuma kwa hakika wanamaanisha hawa viumbe wananipea full shazi, nitashiriki harakati zote za kuwajengea minara,

Popote mlipo wenye shuhuda hizi tushiriki kuwatambua tuwape nishani za kipekee.

Uwiano wa ahadi na matendo yao wako juu sana sana.

Mungu awaongezee wema na sifa njema.

Wadiz.
 
Hello JF,
nimeonja utamu wa kupendwa na wanawake mjjita na msukuma kwa hakika wanamaanisha hawa viumbe wananipea full shazi, nitashiriki harakati zote za kuwajengea minara,

Popote mlipo wenye shuhuda hizi tushiriki kuwatambua tuwape nishani za kipekee.

Uwiano wa ahadi na matendo yao wako juu sana sana.

Mungu awaongezee wema na sifa njema.

Wadiz.
Mjita? Jitajita kabisa?
 
Kwa msukuma hapo naunga hoja nnakamsukuma kangu ni hatari kananpenda hatari na kananiskiliza na kufanya yale nkakokaambia hata kapo mbal....kwenye mahaba nako ni hatar kanajua kuililia...!! Msukuma akikuweka moyon amekuweka kuna vitu huwa namtega nione kama atafanya na anafanya kwel [emoji1487][emoji1487] Msukuma wangu popote subiria muamala wako
 
Hello JF,
nimeonja utamu wa kupendwa na wanawake mjjita na msukuma kwa hakika wanamaanisha hawa viumbe wananipea full shazi, nitashiriki harakati zote za kuwajengea minara,

Popote mlipo wenye shuhuda hizi tushiriki kuwatambua tuwape nishani za kipekee.

Uwiano wa ahadi na matendo yao wako juu sana sana.

Mungu awaongezee wema na sifa njema.

Wadiz.
Msukuma [emoji1487][emoji1487]
 
Hello JF,
nimeonja utamu wa kupendwa na wanawake mjjita na msukuma kwa hakika wanamaanisha hawa viumbe wananipea full shazi, nitashiriki harakati zote za kuwajengea minara,

Popote mlipo wenye shuhuda hizi tushiriki kuwatambua tuwape nishani za kipekee.

Uwiano wa ahadi na matendo yao wako juu sana sana.

Mungu awaongezee wema na sifa njema.

Wadiz.
Kwenye wajita umekosea sana .Wale ni pasua kichwa
 
Back
Top Bottom