Ushuhuda: wanawake wajita na wasukuma wanajua kupenda hadi raha

Ushuhuda: wanawake wajita na wasukuma wanajua kupenda hadi raha

Hello JF,
nimeonja utamu wa kupendwa na wanawake mjjita na msukuma kwa hakika wanamaanisha hawa viumbe wananipea full shazi, nitashiriki harakati zote za kuwajengea minara,

Popote mlipo wenye shuhuda hizi tushiriki kuwatambua tuwape nishani za kipekee.

Uwiano wa ahadi na matendo yao wako juu sana sana.

Mungu awaongezee wema na sifa njema.

Wadiz.
Binafsi nawaheshm sana.

Ila Kuna mmja ajira mpya ofsin anaonekana kabjsa anatafuta kolon.

Namhurumia Kwa Sabanmb sisi wanaunmme hatufai
 
Hivi unawajua wajita kweli? Ndani ya mkoa wa mara wanawake wanaoogopwa ni wajita, koz ni wajuaji,waongeaji sana,na ukicheza anakutanguliza mbele za haki ila kukatikia na kuililia hawajambo lakn be carefull.
 
Hivi unawajua wajita kweli? Ndani ya mkoa wa mara wanawake wanaoogopwa ni wajita, koz ni wajuaji,waongeaji sana,na ukicheza anakutanguliza mbele za haki ila kukatikia na kuililia hawajambo lakn be carefull.
Kuna jamaa mjita alikuwa anapigwa na mkewe mjita pia, saiv kaoa msukuma anajinenepea tu
 
Jasiri haachi asili

Bado wadada wa kaskazini ni undisputed vile viumbe Mungu awape maisha marefu.

Wanajua kupenda, wanajua maisha, spirit ya utafutaji, wanajua kulea na wameumbika vilivyo!

Dada zangu wa kimasai, kimeru, bila kusahau kule babati, Moshi na kule upareni mna nafasi yenu
 
Jasiri haachi asili

Bado wadada wa kaskazini ni undisputed vile viumbe Mungu awape maisha marefu.

Wanajua kupenda, wanajua maisha, spirit ya utafutaji, wanajua kulea na wameumbika vilivyo!

Dada zangu wa kimasai, kimeru, bila kusahau kule babati, Moshi na kule upareni mna nafasi yenu
Kweli jamaa yangu tusiwapake matope aki na cheupe tuwape na sifa yao ya uchakarikaji. Tatizo wanafanya kazi kwa muda mrefu wanachoka ndo maana wakifika kitandani wanakwambia itafute mwenyewe, itumie na ukimaliza nifunike.
 
Kweli jamaa yangu tusiwapake matope aki na cheupe tuwape na sifa yao ya uchakarikaji. Tatizo wanafanya kazi kwa muda mrefu wanachoka ndo maana wakifika kitandani wanakwambia itafute mwenyewe, itumie na ukimaliza nifunike.
🤣🤣Kula ukimaliza ufunike!

Sema hlo ni hasa hasa ipo kule Kwa kina "team December" lkn wengine ni nadra sana kua na hzo, we wamama wa kipare wanavopenda kufakamiwa hawawezi kwambia hvo!
 
Huyo hajakupenda.....wasukuma wanajua kupenda na hawana gharama ya matunzo.....akikupenda unarelax na uzur wake wanabidii katika kaz so ni msaidiz mzur sana.......!!
WASUKUMA wapo mikoa mitano ila mimi naongelea wasukuma wa Shinyanga, mimi ni mzaliwa wa huko na nimekulia huko nilichokisema nina uhakika nacho.
 
WASUKUMA wapo mikoa mitano ila mimi naongelea wasukuma wa Shinyanga, mimi ni mzaliwa wa huko na nimekulia huko nilichokisema nina uhakika nacho.
Me now npo usukuman huku shy napiga mishe zangu kuna katoto kamodo tako la kofi......kamezimika atari....kanataka nkape mtoto....Now npo mbal nako mana kapo Mwanza kanamalizia chuo ila nkikaambia kitu kanafanya na wakat mwingne namwambia afanye kitu flan il tukosane duuuu kanafanya utasikia kanasema..."mi nmefanya kwa sababu nakupenda eeeti"
Msukuma wangu ntakutunuku nishan soon[emoji1487][emoji1487]
 
Back
Top Bottom