Ushuhuda wangu kuhusu Single Mothers

Ushuhuda wangu kuhusu Single Mothers

Candela

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2021
Posts
817
Reaction score
2,180
Habari wadau. Moja kwa moja kwenye hoja.

Mwaka jana nikaingia kwenye penzi na single mother mmoja hivi, mapenzi yalikuwa mubashara mwanzo lakini ghafla akawa haeleweki, kufatilia nikagundua ana mahusiano na mtu mwingine nikajaribu kumuhoji akawa mkali nikasema sio kesi. Ghafla yakaanza masharti nikitaka kutoka nae mara yupo bize.

Katika kutafakari nikaona atanisumbua niachane nae lakini siku nimeamua kuachana nae nikamsikia akikopa pesa kwa mtu kwa ajili ya mwanae shule. Basi imani ikaniingia nikampa kile kiasi cha pesa. Nikashangaa mahaba yamerudi kama mwanzo. Nikabaini uzaifu wake ni mwanae.

Basi weekend moja nikamchukua mpaka mall flan ya watoto nikamwambia amchagulie mwanae anachotaka. Halooo, week 2 badae jamaa aliyetetelesha penzi langu nikaona anatuma meseji na kupiga simu kila mara anabembeleza penzi.

Ebana mie huyu mwanamke sasa hivi sina time nae na deal na mwanae tu, akiamka nishamuiliza mahitaji ya shule, akikaa vibaya nishamwambie nimelipia twisheni atampeleka basi hata mzigo siku hizi siombi napewa tu popote ntapokutwa tofauti na zaman mpaka niombe tupange lini tunatoka.
 
Habari wadau. Moja kwa moja kwenye hoja.
Mwaka jana nikaingia kwenye penzi na single mother mmoja hivi, mapenzi yalikuwa mubashara mwanzo lakini ghafla akawa haeleweki, kufatilia nikagundua ana mahusiano na mtu mwingine nikajaribu kumuhoji akawa mkali nikasema sio kesi. Ghafla yakaanza masharti nikitaka kutoka nae mara yupo bize.
Katika kutafakari nikaona atanisumbua niachane nae lakini siku nimeamua kuachana nae nikamsikia akikopa pesa kwa mtu kwa ajili ya mwanae shule. Basi imani ikaniingia nikampa kile kiasi cha pesa. Nikashangaa mahaba yamerudi kama mwanzo. Nikabaini uzaifu wake ni mwanae. Basi weekend moja nikamchukua mpaka mall flan ya watoto nikamwambia amchagulie mwanae anachotaka. Halooo, week 2 badae jamaa aliyetetelesha penzi langu nikaona anatuma meseji na kupiga simu kila mara anabembeleza penzi. Ebana mie huyu mwanamke sasa hivi sina time nae na deal na mwanae tu, akiamka nishamuiliza mahitaji ya shule, akikaa vibaya nishamwambie nimelipia twisheni atampeleka basi hata mzigo siku hizi siombi napewa tu popote ntapokutwa tofauti na zaman mpaka niombe tupange lini tunatoka.

Sio kila mzinzi ni singomama, wapo wengi tuu wanazinihadi kuvunja ndoa lakini sio singomama

Sio kila anayetafuta mahitaji ya watoto ni singomama, wapo wanawake wengi wenye waume wasiotoa mahitaji ya chakula, mavazi wala malazi kwa watoto zao

Sio kila singomama ana shida ya pesa, wengine wanajitosheleza sana tuu kiuchumi
 
Masingle maza wengi huachika kwasababu ya 1. uzinzi. 2. Tabia mbaya

98% afya zao huwa sio nzuri though kwà muonekano wa nje huwa hawajionyeshi.

90% huwa wanapenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile

85% ni walevi
Hapana si asilimia kubwa hivyo,kuna masi gle mother wajane kama mimi na sina HIV,kuna wengine pia hawakuachwa bali waliamua kuondoka wenyewe.
 
Hapana si asilimia kubwa hivyo,kuna masi gle mother wajane kama mimi na sina HIV,kuna wengine pia hawakuachwa bali waliamua kuondoka wenyewe.
watu wanatabia sana ya ku-generalize mambo. Afu kabisa mtu anasema eti 90% utafkiri ana ushahidi..... Ni ujinga mtu anaongea tu bila kufikiria afu hii inaleta dharau kubwa single mothers.....
 
Back
Top Bottom