MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,967
Wakati unakutana nae hukujua kama huyo Mwanaume ni Kichaa? Je, Unaweza kumvulia chupi Mwanaume Kichaa?Muongo sana wewe,sijui hii research yako umeifanyia wapi,kuna single mother wanajiheshimu sana tu, na a unakuta amekuwa single kwa sababu alikutana na mwanaume kichaa asiyejuelewa,Sasa walivyoachana akabaki yeye kama yeye,sio kila s m ni Malaya,acheni kupotosha watu kwa vi research vyenu uchwara
Kuna wanaume mwanzoni wanakuwa malaika,ila badae wanageuka kuwa mashetani,kadiri siku zinavyoenda anabadilika,kitabia sio kama uliyoikuta mwanzo,unaamua kuivumilia lkn habadiliki ndo anazidiWakati unakutana nae hukujua kama huyo Mwanaume ni Kichaa? Je, Unaweza kumvulia chupi Mwanaume Kichaa?
Mbona wakati wa mwanzoni mliishi vizuri tu na haukuuona ukichaa wake? Kuweni wakweli? Hayupo Mwanaume ambaye anaweza kumvumilia mwanamke mwenye tabia za kikahaba unless ametaka tu aishi nae hivyo
We utakuwa Dr shika Junior. Hakuna docta wa type yako.Kuna jamaa , alifundishwa kupewa matako na single maza,...mpaka sasa afya yake changamoto ila huwezi kumjua. Akija ofisini kwangu nampa Azuma zimsaidie kukata mtiririko wa usaa kwenye mrija wa uume wake. Single maza keshaliharibu dudu lake halitamaniki kabisa.
Kijana handsome, mwanamke yeyote akimuona mtaani anatamani aolewe nae. Anatembelea gari zuri...ana Kazi nzuri...lakini ndo vile tena...Matako yamempa maradhi...
Inategemea unavyomtreat. Ukishindwa kukaa kwenye position Yako ,.lazima awe mbogo. Iko hivyo yaani.Kuna wanaume mwanzoni wanakuwa malaika,ila badae wanageuka kuwa mashetani,kadiri siku zinavyoenda anabadilika,kitabia sio kama uliyoikuta mwanzo,unaamua kuivumilia lkn habadiliki ndo anazidi
Mkuu inaonekana umewachukia sana Single Mothers, ila sio wote wenye shida.Huna akili....hapa tunawazungumzia singo maza, mimi nimezaliwa kwenye ndoa na sikuwahi kuona singo maza kwa kizazi kile...
Hata useme vipi,kuingia kwenye mahusiano na singo maza ni bora ukalale kituo cha polisi
Nipe lipa namba niilipie hiyo..Juisi baridiiiiii ya ukwaju
Hapana bana... Ila nimemiss hekaheka zako katika groups za WhatsApp...Yes,kwani kuna tatizo?
Mimi sipo kwenye group lolote la WhatsApp.Hapana bana... Ila nimemiss hekaheka zako katika groups za WhatsApp...
Sijui bado tupo huko au ndio huku kubadili namba.
Kumbe wewe single mother.Hapana si asilimia kubwa hivyo,kuna masi gle mother wajane kama mimi na sina HIV,kuna wengine pia hawakuachwa bali waliamua kuondoka wenyewe.
Yes and iam proud.Kumbe wewe single mother.
Elimu yako ninamashaka nayo sana ulikoipatia [emoji848],au basi ila siku nyingine uwe unauliza kwanza vitu vingine unajiaibisha, kwamba group gani hawafanyi nini?[emoji23]Najivunia Mimi ni Blood Group AB+,....hatupatagi ngoma Sisi. So ninao uwezo wa kusex na mtu mwenye Ukimwi na nisiupate UGONJWA huo.
Kwà bahati mbaya , watu tulio na aina hii ya group la Damu sisi huwa sio wazinzi...