Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Kaka imenibidi nirudi nisome kwa utulivu hii comment yako! Vipi umeniona huko kwenye list? Tuambizane Kaka nikamtafute Paroko nianze kutubu
Kaka wewe kausha tu.
Kuna watu wengi sana wanatembea na waathirika ila hawaathiriki.
 
Mwee kwahiyo na yule prof anaekusomesha nje ya nchi nae umeshamgawia ?
 
Nilitaka Kutoa Poleee.... Ila nilivyosoma Comments za Wadau nimeona Huyu Dada ni MUONGO! Ametunga Story! Siku zote Mtu akiamua Ku declare kwamba Ni Muathirika Hawezi Kuficha Identity yake! Ila Jamii ijifunze na Ielemike kupitia Yeye! Lakini huyuu Amekuwa Sio Mkweli

ID Yake mpya kawa Member 9/11 Tarehe 11/11 kapandisha post yupo anakula maisha na Profesor wa Chuo mpaka ajenge ndio atamuacha! Sijajua hapo kati kati post zake, Leo Tarehe 28/11 Kapost kuwa ni Muathirika baada ya kupata shika kwa muda fulanii Nikipiga hesababu toka tarehe 11/11 alipo post kuwa anakula maisha na Profesa hadi leo ni siku 17 sawa na Wiki 2 Ambazo kwa Maelezo yake ndio Alikuwa anaumwa typhoid! Kwanini uliwahauri wenzio wadate na wanaume wenye pesaa na Wazee kama Wewe unavyodate na Profesa?

Huu ni Uongo mkubwa hivyo hata story yako haielimishi Tena! kwasababu ya Uongo!

UKIMWI upo lakini usiwatishe Vijana wa Humu waliokutana na Wadada Wa humu na Kula Tunda kimasihara kwa kuanza kuogopa kudhani ni Wewe! Kumbei Sio na Nimuongo.........

Nawasilisha
 
Daah nimekuja hapa kwa niaba ya wadau wakubwa wa Uzi wa kula kimasihara ,machimbo,nilmtumia nauli sjui kama atafika ,biashara za badoo,nk niseme tu hatujapendezwa na huu Uzi wa kitisho unaoendelea hapa jamvini nimepende kuwahakikishia wanachama wenzangu wasivunjike moyo huu ugonjwa siku hizi haupo

Mwisho nitoe rahi kwa wana matukio yaendelee kwa wingi nyuzi zetu pendwa zizidi kujaa wana wapata mafunzo mbalimbali ila kinga muhimu


Daah ila kwa nzia Leo nimeamini ubaharia sio ishu wala nini salamu za majozi ziwaendee Mendez wote wazamiaji piemu mshaskia mwenyewe amesema alikuwa na I'd nyengine na mabaharia wamesababisha najua kuna watu wanaumiza kichwa sjui atakuwa ni nani
 
ESPRESSO COFFEE, pWewe ndio hujaelewa!

Kwa mujibu wa mleta mada aliyemwambukiza ukimwi ni huyo profesa wake wa chuo na wadau wameshaunganusha dot hapa kwamba huyo profesa anajulikana ni mwathirika alifiwa na Mkewe!

Mimi nikiangalia huu uzi na ule alikuwa a nashangaa wenzie kutembea na wasio na hela naona hii stori ina ukweli 100%
 
ID aliyotumia kwenye uzi ule wa kujimwambafai ni hii hii.

Worse enough atakuwa amemgawia ngwengwe na yule prof, prof nae kwa uzembe atagawia wanafunzi wake wakati wakimpatia Coursework allowance, wakirudi likizo vijana nao wanapigana vikumbo kula vipapatio vyao.

Baadae finance wa tuition fee nae anapewa kutoka home mama watoto home anapelekewa.

Maisha matamu sana ila ni mafupinsana
Kaandika ana I'd mbili usijipe moyo kusema nawe haupo kwani I'd nyingine huijui.
 
Thank you dear. Na imani watu watajifunza kitu na watakuwa makini katika mahusiano yao
Umakini unatakiwa uanzie kwako af ndio ushauri wengine.

-Sijaelewa nia yako ya kutembea na wana jf kadhaa humu ilikua nini?
Angekua mmoja ts ok, ila wengi inamaanisha kitu kibaya sana. Kwanini unashidwa kujizuia na kua na mahusiano na mtu mmoja?
Yani unawatega alafu unawashauri wawe makini wasitegeke[emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…