Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Like, serious Mwanamke unaejielewa unapata guts za kutoka/kudate na Wasanii, tena Wasanii wenyewe hawa wa Tanzania njaa zinawasumbua kweli kutwa nzima kutembea wamepaka poda huko mtaani kumbe nyuma ya pazia wanafugwa na sugar ladies na sugar dadies

Ndio maana niko zangu nimetulia na Professa wa Chuo Kikuu, mtoto nadakezwa mpaka basi hapa na mpango kabla sijambwaga nahikisha kwanza nishajenga ndio namwachia au hata ikatokea ameniacha safi tu maana hadi sasa nimehudumiwa vya kutosha
Huyu P anaumwa mavi......whether awe KE au ME akiendelea hivi hakika mawaya atayapata,bado kidogo tu.
 
Crimea,

Anakwambia Alimblock Huyo Profesa Mwisho wakaachana baada ya kukua kuwa ndio alimuambukiza UKIMWI! Hapa Hamna Ukweliii matukio hayo yapoo ila sio kwa huyuu Muongoo

Anapenda Uzi wake Uwe na Comment kibaooo...!!! Mpe Wiki 1 atasahau hata kama alipost huu Uzi
 
Priscallia,
Asante kwa ushauri mzuri kwa vijana wote kike na kiume.

Ila inaelekea na wewe unapenda sana ngono. Umesex na wanaume wengi sana hapa JF. Ushahidi ni pale uliposema ~WANAJIJUA.~ Hebu tujuze ni wangapi JF walitaka peku au walivua ndomu
 
Hajakataaa
Asante kwa ushauri mzuri kwa vijana wote kike na kiume.

Ila inaelekea na wewe unapenda sana ngono. Umesex na wanaume wengi sana hapa JF. Ushahidi ni pale uliposema ~WANAJIJUA.~ Hebu tujuze ni wangapi JF walitaka peku au walivua ndomu
 
Kaka mimi ni mshabiki wako, ila haujafanya poa
ondoa mashaka,si kila nikisemacho unatakiwa ukipende ndugu yangu

si unajua hauwezi nipenda kwenye kila kitu? ila wewe uliona kafanya poa kusema

vijana/wanaume wa jf wote hatuna maadili? hilo ulilichukuliaje eti ndugu?
 
Itakua ulienda PM
Mimi jamani sijui nibebwe na trekta gani kwenda kupima HIV nahisi nikikutwa na maambukizi nitaishi maisha mafupi sana bora nikae tuu hivihivi mpaka nianguke wanipeleke hospitali.kitajulikana hukohuko kama ipo au haipo.
 
Back
Top Bottom