Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Like, serious Mwanamke unaejielewa unapata guts za kutoka/kudate na Wasanii, tena Wasanii wenyewe hawa wa Tanzania njaa zinawasumbua kweli kutwa nzima kutembea wamepaka poda huko mtaani kumbe nyuma ya pazia wanafugwa na sugar ladies na sugar dadies

Ndio maana niko zangu nimetulia na Professa wa Chuo Kikuu, mtoto nadakezwa mpaka basi hapa na mpango kabla sijambwaga nahikisha kwanza nishajenga ndio namwachia au hata ikatokea ameniacha safi tu maana hadi sasa nimehudumiwa vya kutosha
Hahahaha ndio tambo za mwenye vvu hizo,
Lol
 
Dah kama nakuona vile. Itabid na mim nikapime mana huu ukimwi sasa kama malaria na nitumie kinga kila tendo
 
Teh teh kwahiyo mkuu licha ya kujua unaonila ukaona ngoja uwape collabo na vijana wa humu..Ahahaha
 
Back
Top Bottom