Kibabu chenye pesa ndefu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2019
- 309
- 205
Bebi ile siku ya gemu tulikumbuk kinga kwel? yan na zile pombe daaah! Tuombe mungu tuYaani acha tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bebi ile siku ya gemu tulikumbuk kinga kwel? yan na zile pombe daaah! Tuombe mungu tuYaani acha tu
[emoji28][emoji28]ogopa DHAMBI sio H.I.VKwa story yako nilikuwa nahis kuchepuka leo ila I have to stop it suddenly
Kibaya zaidi amesema ametafunana na innocent souls za humu ndaniUshajijua ni muathirika wa HIV, kwanini bado unaendelea kufanya ngono hovyo?? Huoni unajiweka kwenye hatari wewe na hao unaofanya nao?
Hahahaha ndio tambo za mwenye vvu hizo,Like, serious Mwanamke unaejielewa unapata guts za kutoka/kudate na Wasanii, tena Wasanii wenyewe hawa wa Tanzania njaa zinawasumbua kweli kutwa nzima kutembea wamepaka poda huko mtaani kumbe nyuma ya pazia wanafugwa na sugar ladies na sugar dadiesHivi nyie Wanaume mpewe nini mridhike? Wanawake wenzangu kuna la kujifunza kwa hili tukio la Ebitoke
Yaani unakuta Mwanaume unampikia, unamfulia, unamuogesha na mapenzi unampa kama yote. Lakini sasa hizo dharau wanazotuletea hadi unatamani kulia. Ndio maana mimi mwenzenu natoka na Wanaume wanaojielewa sio hao wenye njaa njaa za hovyo kama hao wasanii wa huko nyumbani Tanzania. Like, serious...www.jamiiforums.com
Ndio maana niko zangu nimetulia na Professa wa Chuo Kikuu, mtoto nadakezwa mpaka basi hapa na mpango kabla sijambwaga nahikisha kwanza nishajenga ndio namwachia au hata ikatokea ameniacha safi tu maana hadi sasa nimehudumiwa vya kutosha
Hata mm nmemkumbuka profesa ila msamehe[emoji4]alisema wanaume wote wa JF hatuna adabu/maadili/tabia zetu mbovu
namkumbuka sana huyu dada mtoka na profesa
Povu linawatoka watu
Mwisho wa siku unakuta mtoa mada ni njemba imekaa imetulia [emoji23][emoji23][emoji23]
Babe hata usipaniki, stori ya kutunga hiiUshajijua ni muathirika wa HIV, kwanini bado unaendelea kufanya ngono hovyo?? Huoni unajiweka kwenye hatari wewe na hao unaofanya nao?
Nikiwa mkubwa nataka niwe kama Zurri
Mkuu Nitag kwenye uzi wa kula tunda kimasihara maana kuna mafunzo mengi sana paleHuko PM Leo watu watakula blocks za kutosha. Haya kwa wale mabaharia wa kula tunda kimasihara.....View attachment 1275169
Jipe moyo na Wadau wenzio mnaokulaga tunda kimasihara [emoji23]
Bebii
Nimeamini babe, she is attention seeker.Babe hata usipaniki, stori ya kutunga hii
Of course ila age imeenda ni mmama mature kabisa nlijua mdada
Haswaaa...jaribu kupitia michango yake kwenye nyuzi zingine utaonaNimeamini babe, she is attention seeker.
Broh mbona kama unateseka saaaaana[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wewe tuambie ukweli bwana... Si useme unatupa tu funzo ... Lakini hujaathirikaView attachment 1275127