Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Priscallia, Aisee ni kupe pole ndugu lkn pia hongera kwa kujitambua Na kufata njia sahih pia
Lkn umeacha maswali meng kwa baadhi ya ndgu zetu uliopita nao humu jf saiz wapo on fleak mana hawajui ni nan alykuja Na I'd hii
 
Jipe moyo Mungu yupo nawewe

Mabinti wa Chuo wapo simpleSimplesana
Ujumbe utawafikia
 
Wachache tu jamani, hata hivyo na watakuwa Negative huko walipo
Kwa namna hii dada angu inaonekana unakigawa sanaaa,na bado uaendelea kukigawa,dhambi hyo itakutafuna na ugonjwa wako huo...wachache tuu ndo nin,inamana unajijua na bado unakubalia watu,polen ndugu zangu ,ndomana mim yaan kondom chache navaa mbili mamaee
 
ESPRESSO COFFEE, Mambo mengine sio lazima upaniki, wewe una uhakika gani kati ya nyuzi zake hizi mbili ipi ya ukweli? Sijui anafanyakazi nnje anakula maisha na professor na hii ya leo, hapa suala la msingi tufuate ushauri maana ni mzuri tu kama mtu unahisi ushaharibu au huna uhakika na afya yako unakausha tu.
 
Mambo mengine sio lazima upaniki, wewe una uhakika gani kati ya nyuzi zake hizi mbili ipi ya ukweli? Sijui anafanyakazi nnje anakula maisha na professor na hii ya leo, hapa suala la msingi tufuate ushauri maana ni mzuri tu kama mtu unahisi ushaharibu au huna uhakika na afya yako unakausha tu.

unajua Maana Ya kuwaambia Watu Ukweli Ili wajifunze kupitia Wewe? Huwezi Kusema Kwa Story ya Kutunga
 
Back
Top Bottom