Priscallia
JF-Expert Member
- Nov 9, 2019
- 496
- 2,449
- Thread starter
- #381
amenGod bless u my sister!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
amenGod bless u my sister!!
Toto kama hili kulipiga kwandom nikuizurumu nafsiWachawi hatuishi!
View attachment 1275153
Stop deluding yourselfAsante kwa kushare experience yako, it is sad but hongera kwa kujikubali na kuendelea na maisha kama kawaida. HIV is not a life sentence.
Pole sana mkuu, mimi kitu cha cha kwanza kabla sijakugegeda lazma nikupime damu Aiseee.
na pia una ujasiri sana mdada, hivi mimi nikiambiwa muathirika si nitaanza kutembea uchi barabarani, inahitaji moyo wa ziada aisee
Hahaha unakera watu ujue ElliHuko PM Leo watu watakula blocks za kutosha. Haya kwa wale mabaharia wa kula tunda kimasihara.....View attachment 1275169
Asante sana. Wakati nakua nilivuka mikiki ya kutongonzwa na mibaba. Nilikuwa nakataa. Then baada ya muda wanaanza kuugua na kufa kumbe Ngoma. Namshukuru sana Mungu kwa kunipa hekima. Na nilipokuwa chuo boifrendi ni condom tu.Huwa naheshimu sana michango yako humu nikiri wazi nimekuwa nikikufuatilia sana. Kama unatumia kinga ni jambo la kheri sana.
Hongera sana
[emoji19] hapana sio mimi. UmenifananishaMwanao hajambo? Unakumbuka siku ile nilikununulia bia night ,then ukanipeleka kwako
Huyu ni yule Priscillah wa ile idara yenye makao makuu yake pale kurasini.Pole sana duuh.!Ww ni yule mpenzi wa professor
Pole
Na ahsante kwa ushauri
Poa,upokee tu simu yanguSaa 0900am tukutane angaza muhimbili
Clear kabisa. HIV hii wengi watakufa.
Uhamiaji.Huyu ni yule Priscillah wa ile idara yenye makao makuu yake pale kurasini.Pole sana duuh.!
Mimi nalia sana na hawa wanafunzi ukiangalia takwimu mpya za maambukizi unaona kabisa vijana wenye umri wa miaka 16-26 hawa ndio wanaongoza kwa kuwa na maambukizi.Asante sana. Wakati nakua nilivuka mikiki ya kutongonzwa na mibaba. Nilikuwa nakataa. Then baada ya muda wanaanza kuugua na kufa kumbe Ngoma. Namshukuru sana Mungu kwa kunipa hekima. Na nilipokuwa chuo boifrendi ni condom tu.
Hey baby boy Miss you.Wee jamaa ni falaa sanaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Hahaha unakera watu ujue Elli
Halafu mtu mmoja smart kichwa ipo sawa yaani hawajakosea kukuajiri ila kama ni wewe, utauwa wengi pole sana.but WHY.?Uhamiaji.
Ukimwi bado ni hatari lakini watu bado Hawachi ngono zembe!Pole best nakumbuka kwenye uzi wa mshana picha Zako zilikuwa ni moto