Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
@kapeace unaitwahuyu atakuwa kapeace au joanah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@kapeace unaitwahuyu atakuwa kapeace au joanah
Sijakuelewa,nitakufisha wengi kivipi?Au ulikuwa unamquote mwingine ?Halafu mtu mmoja smart kichwa ipo sawa yaani hawajakosea kukuajiri ila kama ni wewe, utauwa wengi pole sana.but WHY.?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wala tunda kwa masihara sauti inatosha au sound engineer aongezee...
Hapana mkuuu...Hii beat ni ya motooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
wrong kits sorry nilikuwa nime Ku kwots we we.Sijakuelewa,nitakufisha wengi kivipi?Au ulikuwa unamquote mwingine ?
Siwaombei mabaya ila nikirudi nitajua hali ikoje maana nipo nafanya kazi katika taasisi moja kubwa tu ya sayansi hapo nyumbani.Kwa sasa takwimu zilizopo ni Watanzania 200 kila siku wanapata VVU.
pm wanakuja pia?Mmmmh. Na Mimi hapa nna homa na mafua ya kufa mtu saivi..
atakuwa kakosea, relax my dada nahisi alitaka ni quote mimiSijakuelewa,nitakufisha wengi kivipi?Au ulikuwa unamquote mwingine ?
Aiseee inaogopeshaKwa sasa takwimu zilizopo ni Watanzania 200 kila siku wanapata VVU.
Naandaa kufungua uzi, so sad kwa kweliClear kabisa. HIV hii wengi watakufa.
asante na barikiwa sana.Pole sana mtoa mada ila ndo maisha yalivyo uzuri umeshakubalumiana na hali ni hatua kubwa mno na wewe umeonesha ni mwanamke mwenye moyo mgumu keep up live a healthy life!!
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Weee umenijuliaa wapi mimi???? Sijawahii gonga demu wa jf hata kiamsiharaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]