monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Mungu ni mwema!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
May God be with you prisca.. Ila mimi siku nikijua nina ukimwi nahisi na papuchi nitaitia lock. I can't bear the guilt ya kumuambukiza mtu ukimwi hata kama ni kwa bahati mbaya tu, hata condom sitoiamini tena
Hata kama, mimi na wewe hatuna uhakika sana na nyuzi zake ila nimependa ushauri wake ametukumbusha dhidi ya kulinda afya zetu sababu hizi mambo zipounajua Maana Ya kuwaambia Watu Ukweli Ili wajifunze kupitia Wewe? Huwezi Kusema Kwa Story ya Kutunga
Kesho twende tukapimeWw ni yule mpenzi wa professor
Pole
Na ahsante kwa ushauri
asante kwa kuwakumbusha humu ndani wamo waathirika wengi tu na nimekuwa nawasiliana nao tukibadilishana mambo mawili matatu. Ila leo wamekuwa wa kwanza kuninyooshea kidole.Asee kuna member mmoja alibanaaa badae akaniambia anao
Amenibania sababu ananipenda
Nikashukuru now tuna wasiliana tuu
Angetaka angeniambukiza
asante mpenzi wengi wanadhani natania, ningeweka baadhi ya vithibitisho vyangu hapa lakni hapana mwenye kuamini na amamini asiye amini sawa pia.Hata kama, mimi na wewe hatuna uhakika sana na nyuzi zake ila nimependa ushauri wake ametukumbusha dhidi ya kulinda afya zetu sababu hizi mambo zipo
thank you so much sweetheart, nimepoa tayari na maisha nayaona ya kawaida tu. Sijaona mabadiliko yoyote makubwa tangu nipate ugonjwa huuMay God be with you prisca.. Ila mimi siku nikijua nina ukimwi nahisi na papuchi nitaitia lock. I can't bear the guilt ya kumuambukiza mtu ukimwi hata kama ni kwa bahati mbaya tu, hata condom sitoiamini tena
Huwa naheshimu sana michango yako humu nikiri wazi nimekuwa nikikufuatilia sana. Kama unatumia kinga ni jambo la kheri sana.Safi sana.Afya ndo kila kitu.
Kumbe katika waliokua wana kuzingua baadhi wamewaka?asante kwa kuwakumbusha humu ndani wamo waathirika wengi tu na nimekuwa nawasiliana nao tukibadilishana mambo mawili matatu. Ila leo wamekuwa wa kwanza kuninyooshea kidole.
Ubarikiwe sana kwa kutoa angalizo kwa wengine
usinielewe vibaya sijamtaja mtu. Muhimu tutumie mipira pale tunapokutana huko mtaani. Mtanishukuru baadaeKumbe katika waliokua wana kuzingua baadhi wamewaka?
Saa 0900am tukutane angaza muhimbiliKesho twende tukapime
Kuna watu siwaoni kabisa hapa kwenye huu uziusinielewe vibaya sijamtaja mtu. Muhimu tutumie mipira pale tunapokutana huko mtaani. Mtanishukuru baadae
AsantePole sanaa Prisca
Thanks. Linda sana afya yako mpendwa ipo siku itakuwa na msaada mkubwa sana kwako. UbarikiweMoja kati ya nyuzi nmesoma ambayo bi educative this year so far thanks for sharing.....sharing is Caring [emoji120][emoji120]