Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Hizo ndio takwimu latest kwa mwaka huu...

Ile mikoa iliuokuwa na maambukizi machache miaka ya nyuma, imeanza nayo kuwa vibaya
Siwaombei mabaya ila nikirudi nitajua hali ikoje maana nipo nafanya kazi katika taasisi moja kubwa tu ya sayansi hapo nyumbani.
 
Hii thread ishaanza kuleta hekaheka aisee hali ya taharuki watu washavurugika muupumzishe mnafanya thread zianzishwe nyingi sana nje na hapa
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Weee umenijuliaa wapi mimi???? Sijawahii gonga demu wa jf hata kiamsiharaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahahahaaaa, mkuu unataka kukataa,!!
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Weee umenijuliaa wapi mimi???? Sijawahii gonga demu wa jf hata kiamsiharaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha kumkana mpenzi wako mkuu, siyo poa!au kwa sababu amekuja na ID mpya?
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Weee umenijuliaa wapi mimi???? Sijawahii gonga demu wa jf hata kiamsiharaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikukumbushe wa jf ndio wa mtaani au wako unawatoa sayari gani?
 
Hizo ndio takwimu latest kwa mwaka huu...

Ile mikoa iliuokuwa na maambukizi machache miaka ya nyuma, imeanza nayo kuwa vibaya
Na hii imeonekana baada ya vijana kukosa ajira/kujishughulisha katika miaka ya hivi karibuni hivyo kupelekea vijana hawa kuwaza ngono masaa 24.

Lawama yote yaishushia serikali ya awamu hii, kwa wale researchers topic nzuri hii kufanyia thesis.

Vijana wengi ambao hawana ajira ndio wanaongoza kuwa na maambukizi
 
Nawato huko dunianii... ila sio kupitia jf[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Demu pekee wa mtandaoni niliowahi kula ni fb
Huyo wa fb ndio huyu ila umesahau yeye anakukumbuka😁😁
 
Priscallia, Maneno yako yana uzito sana kwa sisi ambao tumebarikiwa kuwa na watoto wa kiume na wakike. They are in danger. Sote tunafahamu changamoto za umri wa balehe kama, ulinusurika kufanya ngono kizembe ni kwa neema tu ya Mwenyezi MUNGU sio kwamba wewe ni mjanja sana; hii ni kwa wote, wake kwa waume.
 
Back
Top Bottom