Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,194
Maisha bora kwa kila Mtanzaniauzi unaitwaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha bora kwa kila Mtanzaniauzi unaitwaje
huyu mama wa location yuko wapi siku hizimtoa mada ni Demiss, yule mwenye mwili kama dildo.
hahahaha unazinguaMaisha bora kwa kila Mtanzania
Nikweli mkuu, japo nasisi male tunatakiwa kuwa makini piaasante vijana hasa wakike wawe makini sana maana wengi ndio hukumbwa na hadhia hii
Sorry sijakuelewa umemaanisha nini?Pole P,ila kubwa ni HONGERA KWA UJASIRI NA KUJITAMBUA MASOMO MEMA!
Hawakutoa michubuko?Wachache tu jamani, hata hivyo na watakuwa Negative huko walipo
Pole sana. Hii para pia imenistua sana (si kwa sababu ni mmoja wao). Ina maana vijana wa humu wengi umeshawaonja? Unasema "WAnajijua".Lastly, kuna vijana baadhi nilikutana nao humu ndani they were good guys lakni niligundua wengi wao hawajali afya zao na wanaongozwa sana na sexual desire, maana unakuta mwanaume mko nae faragha baada ya mzunguko wa kwanza from nowhere anataka muende peku au katikati ya tendo anavua mpira kwa makusudi, wanajijua watakuwa mashahidi nilikuwa nawakatilia katukatu maana nilikuwa nawajali sana.
hujatwambia...vipi Magonjwa nyemelezi yaliendelea kukuandama?Ndio mwanzo unapopokea majibu ya positive unahisi umebebeshwa mzigo mkubwa mno na inakuwa vigumu kukabiliana na hali husika.
Ila mwisho wa siku utakubaliana na hali husika na maisha yataendelea kama kawaida.
Hey, kumbuka they are my family sikuwa na jinsi ilibidi iwe hivyo. Namshukuru Mungu walipokea vizuri tu na tupo na furaha kama ya siku zoteKwahiyo ukaikusanya familia yenu yote kuwatangazia kuwa umegongwa na mtu mwenye ukimwi
Cheka sana, tania sana, simulia sana lakini omba yasikukuteAsante kwa kushare experience yako, it is sad but hongera kwa kujikubali na kuendelea na maisha kama kawaida. HIV is not a life sentence.
Kwa nini usipime nao kwanza au kuwaelezea hali yako kiafya. Huoni unazidi kuusambaza (sorry)Wachache tu jamani, hata hivyo na watakuwa Negative huko walipo
Rafiki niambie ukweli, umelala na kama wangapi hivi?Wachache tu jamani, hata hivyo na watakuwa Negative huko walipo
Thank you dear. Na imani watu watajifunza kitu na watakuwa makini katika mahusiano yaoAsante kwa kushare experience yako, it is sad but hongera kwa kujikubali na kuendelea na maisha kama kawaida. HIV is not a life sentence.
Asante best, mimi ni wa kawaida lakni. [emoji3526]Pole best nakumbuka kwenye uzi wa mshana picha Zako zilikuwa ni moto
mtoa mada ni Demiss, yule mwenye mwili kama dildo.
Hahah be careful, usichezee afya yako please.hebu acha basi, hebu nioneshe hizo nikajitoe mhanga ....kwani HIV kitu gani bwana hahahah