Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Pole. Na pia naweza sema wewe hujielewi. Unasema mtu ana upendo wa dhati kwako alafu anakuambukiza ukimwi kwa makusudi. Huyo jamaa ana roho mba sana na hafai kuishi kwenye jamii. Hivi mtu unajua kabisa unaumwa alafu unaenda kumuambukiza mwenzio kwa makusudi kabisa. Dah binadamu tunatofautiana kwa kweli
 
Lastly, kuna vijana baadhi nilikutana nao humu ndani they were good guys lakni niligundua wengi wao hawajali afya zao na wanaongozwa sana na sexual desire, maana unakuta mwanaume mko nae faragha baada ya mzunguko wa kwanza from nowhere anataka muende peku au katikati ya tendo anavua mpira kwa makusudi, wanajijua watakuwa mashahidi nilikuwa nawakatilia katukatu maana nilikuwa nawajali sana.
Pole sana. Hii para pia imenistua sana (si kwa sababu ni mmoja wao). Ina maana vijana wa humu wengi umeshawaonja? Unasema "WAnajijua".

Lakini asante kwa ushuhuda wako, naamini wengi watajifunza kitu....sio wadogozako tu...hata watu wazima pia. Nashauri uendeleze kidogo ushuhuda wako kwa kutushirikisha namna unavyomudu maisha katika hali Hiyo na changamoto unazopitia? Unakosa nini kwa kuwa na hali hiyo ya maambukizi? Kwa mfano, una mtoto/watoto, nk? Maisha yako kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom