Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijali siyo mwisho wa maisha yako,ukifuata masharti vizuri, kila kitu kitakuwa poa tu kwakoHakika sema tu sisi wanawake huwa tunawaamini sana sasa inapotokea unashindwa kuwa mkweli ndio kama hivi ilivyonikuta.
Hapana baada ya kuanza dose sikuwahi sumbuliwa na magonjwa nyemelezi ya aina yoyote ile. Na ukibahatika kuniona wala hutoamini nikikuambia mimi ni HIV+hujatwambia...vipi Magonjwa nyemelezi yaliendelea kukuandama?
Mimi siamini kwa zile picha Zako ngozi nyororo aiseeHapana baada ya kuanza dose sikuwahi sumbuliwa na magonjwa nyemelezi ya aina yoyote ile. Na ukibahatika kuniona wala hutoamini nikikuambia mimi ni HIV+
unasema tu mkuu unaweza kuta kwa hii ID mpya watu wameshaenda PM.Ulisema hauwezi tembea na vijana wa humu JF kwa sababu umegundua hatuna adabu na maadili
na sisi tuna sema kwa umoja wetu hatuwezi tembea na muathirika/muishi na VVU,ujana wetu ni wa thamani sana.
Kwann jamanila huyu dada ni kama attention seeker
Wengi unawagusia lakni wanakuwa wagumu kuelewa, pia nadhani unafahamu mkiwa katika mazingira fulani automatically mnajikuta mko kitandani but huwa niko aware wa kila kitu ndio maana huwa nasisitiza matumizi ya mpira.Kwa nini usipime nao kwanza au kuwaelezea hali yako kiafya. Huoni unazidi kuusambaza (sorry)
Haah, ni siri yangu hiyo.Rafiki niambie ukweli, umelala na kama wangapi hivi?
Aisee kuna watu wanabet uhai, pole sana.Wengi unawagusia lakni wanakuwa wagumu kuelewa, pia nadhani unafahamu mkiwa katika mazingira fulani automatically mnajikuta mko kitandani but huwa niko aware wa kila kitu ndio maana huwa nasisitiza matumizi ya mpira.
Wala tunda kwa masihara sauti inatosha au sound engineer aongezee...
Nimeona vijana wanavyojipongeza, ni vyema wajilinde mno maana taifa bado linawahitajiHuu uzi uwe chini ya kila coment za kwenye ule uzi wa kula tunda kirahisi
[emoji23][emoji23] mpumzishe bwana kahLike, serious Mwanamke unaejielewa unapata guts za kutoka/kudate na Wasanii, tena Wasanii wenyewe hawa wa Tanzania njaa zinawasumbua kweli kutwa nzima kutembea wamepaka poda huko mtaani kumbe nyuma ya pazia wanafugwa na sugar ladies na sugar dadiesHivi nyie Wanaume mpewe nini mridhike? Wanawake wenzangu kuna la kujifunza kwa hili tukio la Ebitoke
Yaani unakuta Mwanaume unampikia, unamfulia, unamuogesha na mapenzi unampa kama yote. Lakini sasa hizo dharau wanazotuletea hadi unatamani kulia. Ndio maana mimi mwenzenu natoka na Wanaume wanaojielewa sio hao wenye njaa njaa za hovyo kama hao wasanii wa huko nyumbani Tanzania. Like, serious...www.jamiiforums.com
Ndio maana niko zangu nimetulia na Professa wa Chuo Kikuu, mtoto nadakezwa mpaka basi hapa na mpango kabla sijambwaga nahikisha kwanza nishajenga ndio namwachia au hata ikatokea ameniacha safi tu maana hadi sasa nimehudumiwa vya kutosha
ni kweli hali hiyo inatokea, ila malengo ya kuwa na familia si yapo mkuu?Wengi unawagusia lakni wanakuwa wagumu kuelewa, pia nadhani unafahamu mkiwa katika mazingira fulani automatically mnajikuta mko kitandani but huwa niko aware wa kila kitu ndio maana huwa nasisitiza matumizi ya mpira.