Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mimi ni ke,, naona kale kauzi kako ka kula tunda kimasihara kanavyokimbia kwa speed ya jet.. mie nipo kule kwa mshana naselfika na JF tu karibu sana nawe utupie picha yako (siyo ile ya kale kapaja)
Ule Uzi unaongoza kwa i'd feki mpaka unajiuliza kwenye ule uzi watu wanafunguka kwa feki I'd.
 
Pole sana, na Hongera kwa ujasiri wa kusema hapa kwa ID mpya!
Hapo bado hajawa shujaa angetumia ID yake tuliyoizoea ili tumjue. Lakin pia pole kwa hayo yote yaliyokupata.

Ukimwi upo kikubwa tuwe makin, ngoja kwanza nikachungulie kwenye uzi wetu pendwa nione nani kaliwa kimasihara Leo.
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Weee umenijuliaa wapi mimi???? Sijawahii gonga demu wa jf hata kimasiharaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]raha ya fake ya fake id, mwingine anakufahamu kwa id nyingine wewe humjui...mmekulana nyie
Hey baby boy Miss you.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huwa nasoma mbona,, naonaga tu watu wanavyofunguka mule..
 
Goddes kesho tukapime ili tucheze salama[emoji28]
Hii thread ishaanza kuleta hekaheka aisee hali ya taharuki watu washavurugika muupumzishe mnafanya thread zianzishwe nyingi sana nje na hapa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe?? Basi ndiyo maana wanajiachia hivyo sababu wanajua wanatumia fekero!!
Ndio dear kule asilimia 95 wanaotoa shuhuda ni wageni [emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…