Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Asante kwa neno Dada yangu mzuri zuri, Mungu akupe furaha ya moyo wako
 
Kutumia condom ni sawa na kuogelea kwenye bwawa lenye mamba mmoja possibility ya kuliwa ni kubwa ila kutokutumia condom ni sawa na kuogelea kwenye bwawa lenye mamba wengi possibility ya kuliwa ni kubwa zaidi.
 
 
kulingana na watafiti kwa sasa Tanzania kila siku watu 200 wanaambukizwa HIV, Kwa maana hiyo siku unavyoshiriki moja kwa moja unaingia kwenye "Number of Sample Space" inabakia issue ya Probability tu...haijalishi unashiriki na nani unaweza kuambukiza au kuambukizwa bila kujijua sababu network ya haya mambo ni moja kati ya Complicated Unseen Network In The Word.
 
Its life my sister, nothing new, nothing strange, neither is there anything new under the sun, the wisest man who ever lived said so, Now back to your issue i really wonder why people get very or so scared of HIV while there are more serious and life thretening uncurable diseases in this universe, take the case of cancer, most people discover they have cancer when it has reached that stage where it can neither be controlled or cured, on the other hand HIV is controlable, even an israel universtity has came up with a vaccine ( tho its now on clinical tails) which will engulf the hiv virus, and that means this virus will not be able to mutate, or spread neither will they be able to infect the white blood cells, WHAT GOOD NEWS IS THAT TO OUR FELLOW HUMAN BEINGS WHO HAVE HIV VIRUS, and once you get this vaccine, you stay for 10 years, no taking of medication, after 10 years you take another vaccine, you stay for another 10 years no taking of medications and so on till the lord calls you home.so in my own personal opinion hiv is not such a threat, there are other illness that are a major threat more than hiv. i think the stigma cames in that hiv is associated with sex, nothing else, keep on keeping on dear girl, enjoy your weekend
 
Hivohivo na mimi Misca alitakaga kuniua jamani? mtoto yule mume wake anajua alikufa kwa ngoma na yeye ana ngoma ananifuata eti nimuoe kweli?

Yaani siku hiyo Mungu tu alinisimamia!

wadada /wa kaka msiusambaze ukimwi kwa maksudi ili kutukomesha, kwa sababu tu, tuna elimu na kazi nzuri!
 
Huyo Misca ni jina la aidii hapa jeiefu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…