Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Hongera sana kwa kuwa na utu na pia kutulinda sisi wanaume. Mungu akutie nguvu
 
Death is no longer a threat to mankind.


Ukimwi uwepo au usiwepo... Ila matokeo yake (kifo) bado kitaendelea kuwepo hata bila ya ukimwi.

Ukimwi haupo hata kwenye top 5 ya vyanzo vya vifo duniani.

Kuhangaika kupambana na kitu ambacho hakizuiliki(kifo) ni sawa na kupoteza muda, nguvu na akili.


Life time ya hiv positive person ni miaka mingi saana ukifuata kanuni zake ikiwemo mazoez, chakula, afya checking n.k


Ikiwa now una miaka 40 kwa nini uofie kifo cha ukimwi wakati una uwezo wa kufika 40 mingine with hiv.
Ikiwa huna powwr ya kumiliki kifo.. Kwanini unajisumbua mwenyewe.



Enjoy huu muda kwa kile unachokiwaza.... Utahangaika na ndomu utakosa watoto alafu utakuja kufa kwa kipindupindu.

Utajinyima utamu, utatumia nguvu na pesa nyingi kuuukimbia, alafu anakuua mbu kizembe tu.
 
Jamani mwingine anaesoma chuo ambacho ukimaliza UE mwaka wa mwisho unaenda FIELD tujuane. Mi nasoma the UNIVERSITY hapa ukimaliza chuo unaenda field.
 
Kondom hajawahi kuwa rafiki wakudumu. Utamtumia mara 1 au 2 na kuachana nae kabisa.

Kwangu mimi naona bora nikanunue demu baa au kwenye danguro nitachukua tahadhali za kutosha kuliko mademu wa mtaani tunaoamini ni watilivu.
Usikariri,watu tunaenda mwaka wa 4 huu hatujala kavu
 
Pole sana dada yetu mimi naomba kufahamu kuhusu huu mjadala je kuna ukweli wowote eti baadhi ya walimu wa vyuo vikuu hapa nchini wanadai rushwa ya ngono ?
 
Matumizi ya ARV hupunguza makali ya VVU, pima mapema kujueni afya zenu!
Epuka ngono zembe.
Tafuta mpenziaminifu!
 
We mdada niseme kwa ufupi mkabidhi Yesu maisha yako okoka....utaishi kwa furaha na amani mbele za Mungu kama uko dar pastor katunzi wa eagt city center mbagala kwa aziz ally atakufaa kwa maombi,tabia za walimu wa chuo ni mbayasana pia tabia za wadada ogopa mwalimu ona ni kifo mbele yako.
 
Tangazo lako liko fasta[emoji16][emoji16][emoji1787]...
 
Mkuu hii ID ya zamani kutokana na uandishi nimeshaifahamu
Hii ID ya zamani itakuwa inatafutwa sana mithiri ya lile UA la utajiri.God forbid.

Hivi dada Demiss na richaabra wapo wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…