Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Hongera sana kwa kuwa na utu na pia kutulinda sisi wanaume. Mungu akutie nguvu
First, let me declare kwamba mimi ni member wa muda mrefu humu JamiiForums na nimependa kuja nah hii ID mpya ili kuweza kuficha utambulisho wangu wa hapo mwanzo, ili kuepeuka mambo kadhaa kutoka kwa member ambao nimebahatika kuonana/kukutana nao.

Naitwa Priscallia (si jina langu halisi) na umri wa miaka 29 na ni mtumishi wa serikali katika mamlaka fulani hapo nyumbani Tanzania kwa sasa nipo nchi X nikisomea shahada ya juu ya mambo fulani fualni pia ni muathirika wa virusi vya UKIMWI.

Anyway, kwa ufupi ilikuwa ni mwezi wa 6 mwaka 2014 kipindi nipo chuo mwaka wa mwisho ambapo nilianza kuhisi homa na mafua makali kwa muda wa wiki moja baadae nilienda hospitalini kufanya vipimo na baada ya vipimo ikagundulika niko na typhoid ambapo nilipewa dawa nikaanza dose na baada ya kumaliza zile dalili zote zilipotea.

Ila baada ya kumaliza UE mwezi mmoja baadae nilipokuwa field ile hali ya mafua na homa zikanirudia na safari hii kilichonishtua ni kuongezeka kwa baadhi ya dalili kama vile kupoteza hamu ya kula, kutapika na baadhi ya rashes katika baadhi ya sehemu ya mwili wangu, niliamua kutumia baadhi ya dawa na tubes kwa muda wa wiki kadhaa lakni sikuona mabadiliko yoyote nikaamua kwenda hospitali ili kuchukua vipimo upya, nakumbuka ilikuwa ni mwezi wa saba (7) mwishoni kuelekea wa nane (8) baada ya kuonana na daktari na kumueleza nilivyokuwa najisikia (consultation) daktari akaniandikia baadhi ya vipimo kama vile choo, mkojo na damu baada ya muda fulani majibu yalipotoka yote yalisoma negative.

Baada ya majibu hayo, dokta akataka kunichukua vipimo vya HIV na akaniuliza kwa upole “Kama nilishawahi kuchukua vipimo vya ukimwi hapo kabla?” nikamjibu kwa kujiamni kuwa nilipima mwaka mmoja nyuma baada ya kuachana na aliekuwa mpenzi wangu na majibu yalikuwa Negative.

Akaniuliza tena kwa sasa upo katika mahusiano nikamjibu kwa ufasaha kuwa "NDIO" nikaenda mbali zaidi nikamwambia mahusiano haya yana miezi mitano (5) sasa na mwanzo tulipoingia katika mahusiano tulikuwa tunatumia kinga ila tulipozoeana na baada ya mwenzangu kunihakikishia kuwa yuko sawa (HIV negative) tukajikuta tukishiriki tendo bila kutumia kinga kama ilivyokuwa hapo mwanzo.

Baada ya mazungumzo hayo na daktari nikakubali kuchukuliwa damu kwa mara nyingine ili kuweza kujua status yangu ya HIV, baada ya muda majibu yalirudi nikaitwa kwenda kuonana na daktari nilipokuwa naingia daktari alikuwa akinitazama kwa huruma na hakuonesha ule uchangamfu wa mwanzo nilipoingia ofisini kwake. Katika mazungumzo akaniambia kwa upole kuwa anashindwa afikishe vipi majibu yaliyoko mezani kwake kwangu hapo mapigo ya moyo yalibadilika na hofu ilianza kuingia ndani yangu, ndipo hapo akaniambia ya kwamba majibu yamerudi na kwa masikitiko makumbwa vipimo vinaonesha mimi ni muathirika wa virusi vya ukimwi.

Hakika ile siku ilikuwa mbaya sana katika maisha yangu, I go into shock. I did'nt think of anything rather than I’m going to die nililia sana siku ile, dokta alinimbeleleza sana siku ile akaniambia nisihohofu/nisijali kila kitu kitakuwa sawa na kwamba huo sio mwiosho wa maisha yangu. Siku ile nilijiuliza maswali mengi kichwani mwangu kwanini mimi? Kwanini imetokea kwangu? Tena kwa wakati huu ambapo nilikuwa ndio nimemaliza masomo yangu ya shahada nilijisika vibaya mno.

Baada ya hapo nilimpigia simu yule mwanaume ambaye pia alikuwa ni mwalimu wangu huku nikilia nikamwambia kila kitu, alionekana kusikitika/kushangaa na muda mwingi alikuwa akijichanganya sana katika mazungumzo na muda mwingine alikuwa hana cha kunijibu na kubaki kimya.

Nilimblock kwa muda wa miezi kadhaa hapo sasa nikawa nawaza nitawaambia nini wazazi wangu nikawa sina jinsi maana wao ndio familia yangu, baada ya siku 5 niliwambia kuwa kuna jambo nataka niwaeleze hivyo wakawa nashauku ya kujua baada ya chakula cha usiku nilivunja ukimya nikawaambia sikuwa na jinsi ya kuficha tena kuhusu hali yangu. Nakumbuka mama yangu na mdogo wangu wa kike walilia sana ila nashukuru hapo baadae waliamua kukubaliana na hali halisi ingawa Baba na kaka yangu walisikitika sana ila mwisho wa siku walinisamehe pia.

Ilinichukua muda sana kukubaliana na hali ile but mwisho wa siku ilibidi iwe hivyo. Because I knew now I am not going to die, in fact in pretty good health, more stronger, confidence and having a good life. Kufupisha story ni kwamba baadae, tuliwasiliana na huyo mwalimu wangu alikiri kuwa yeye ndio aliniambukiza nilimsamehe na nilikuja kugundua kuwa hata mke wake alimpteza kwa ugonjwa huo baada ya kuugua kwa muda mrefu pia na nikiri wazi alikuwa ana upendo wa dhati kwangu maana baada ya kuhitimu masomo yangu alinitafutia kazi katika mamlaka fulani ambapo nipo nafanya kazi hadi leo hii.

Mwisho, ningependa kuwaasa wadogo zangu waliopo vyuoni hasa hawa waliopo mwaka wa kwanza wasiwe wepesi kurubuniwa maana hawa ndio wahanga wakubwa maana mara nyingi ugeni wa chuo na exposure zinawachanganya sana hawa wadogo zangu na mwisho wa siku huishia kufanya mapenzi bila kutumia mipira na hivyo hujikuta wakiharibu afya zao.

Pia na kwa wale dada zao waliopo mwaka wa pili na kuendelea pia muwe makini sana, najua wengi wenu huwa mnaishia kuingia katika mitego ya mahusiano na walimu wenu wa chuo,mkumbuke hawa ndio waathirika wakubwa hivyo mjitahidi sana kabla ya kukutana kimwili mhakikishe mnapima kwanza afya zenu na ikiwezekana mtumie mipira maana huwezi kumjua muathirika kwa kumuangalia kwa macho.

Lastly, kuna vijana baadhi nilikutana nao humu ndani they were good guys lakni niligundua wengi wao hawajali afya zao na wanaongozwa sana na sexual desire, maana unakuta mwanaume mko nae faragha baada ya mzunguko wa kwanza from nowhere anataka muende peku au katikati ya tendo anavua mpira kwa makusudi, wanajijua watakuwa mashahidi nilikuwa nawakatilia katukatu maana nilikuwa nawajali sana.

All in all ukimwi upo, mjitahidi mlinde afya zenu maana Afya ni mtaji. Ahsanteni niwatakie mchana mwema.

Priscallia.
 
Death is no longer a threat to mankind.


Ukimwi uwepo au usiwepo... Ila matokeo yake (kifo) bado kitaendelea kuwepo hata bila ya ukimwi.

Ukimwi haupo hata kwenye top 5 ya vyanzo vya vifo duniani.

Kuhangaika kupambana na kitu ambacho hakizuiliki(kifo) ni sawa na kupoteza muda, nguvu na akili.


Life time ya hiv positive person ni miaka mingi saana ukifuata kanuni zake ikiwemo mazoez, chakula, afya checking n.k


Ikiwa now una miaka 40 kwa nini uofie kifo cha ukimwi wakati una uwezo wa kufika 40 mingine with hiv.
Ikiwa huna powwr ya kumiliki kifo.. Kwanini unajisumbua mwenyewe.



Enjoy huu muda kwa kile unachokiwaza.... Utahangaika na ndomu utakosa watoto alafu utakuja kufa kwa kipindupindu.

Utajinyima utamu, utatumia nguvu na pesa nyingi kuuukimbia, alafu anakuua mbu kizembe tu.
 
Jamani mwingine anaesoma chuo ambacho ukimaliza UE mwaka wa mwisho unaenda FIELD tujuane. Mi nasoma the UNIVERSITY hapa ukimaliza chuo unaenda field.
 
Kondom hajawahi kuwa rafiki wakudumu. Utamtumia mara 1 au 2 na kuachana nae kabisa.

Kwangu mimi naona bora nikanunue demu baa au kwenye danguro nitachukua tahadhali za kutosha kuliko mademu wa mtaani tunaoamini ni watilivu.
Usikariri,watu tunaenda mwaka wa 4 huu hatujala kavu
 
Pole sana dada yetu mimi naomba kufahamu kuhusu huu mjadala je kuna ukweli wowote eti baadhi ya walimu wa vyuo vikuu hapa nchini wanadai rushwa ya ngono ?
 
Matumizi ya ARV hupunguza makali ya VVU, pima mapema kujueni afya zenu!
Epuka ngono zembe.
Tafuta mpenziaminifu!
 
First, let me declare kwamba mimi ni member wa muda mrefu humu JamiiForums na nimependa kuja nah hii ID mpya ili kuweza kuficha utambulisho wangu wa hapo mwanzo, ili kuepeuka mambo kadhaa kutoka kwa member ambao nimebahatika kuonana/kukutana nao.

Naitwa Priscallia (si jina langu halisi) na umri wa miaka 29 na ni mtumishi wa serikali katika mamlaka fulani hapo nyumbani Tanzania kwa sasa nipo nchi X nikisomea shahada ya juu ya mambo fulani fualni pia ni muathirika wa virusi vya UKIMWI.

Anyway, kwa ufupi ilikuwa ni mwezi wa 6 mwaka 2014 kipindi nipo chuo mwaka wa mwisho ambapo nilianza kuhisi homa na mafua makali kwa muda wa wiki moja baadae nilienda hospitalini kufanya vipimo na baada ya vipimo ikagundulika niko na typhoid ambapo nilipewa dawa nikaanza dose na baada ya kumaliza zile dalili zote zilipotea.

Ila baada ya kumaliza UE mwezi mmoja baadae nilipokuwa field ile hali ya mafua na homa zikanirudia na safari hii kilichonishtua ni kuongezeka kwa baadhi ya dalili kama vile kupoteza hamu ya kula, kutapika na baadhi ya rashes katika baadhi ya sehemu ya mwili wangu, niliamua kutumia baadhi ya dawa na tubes kwa muda wa wiki kadhaa lakni sikuona mabadiliko yoyote nikaamua kwenda hospitali ili kuchukua vipimo upya, nakumbuka ilikuwa ni mwezi wa saba (7) mwishoni kuelekea wa nane (8) baada ya kuonana na daktari na kumueleza nilivyokuwa najisikia (consultation) daktari akaniandikia baadhi ya vipimo kama vile choo, mkojo na damu baada ya muda fulani majibu yalipotoka yote yalisoma negative.

Baada ya majibu hayo, dokta akataka kunichukua vipimo vya HIV na akaniuliza kwa upole “Kama nilishawahi kuchukua vipimo vya ukimwi hapo kabla?” nikamjibu kwa kujiamni kuwa nilipima mwaka mmoja nyuma baada ya kuachana na aliekuwa mpenzi wangu na majibu yalikuwa Negative.

Akaniuliza tena kwa sasa upo katika mahusiano nikamjibu kwa ufasaha kuwa "NDIO" nikaenda mbali zaidi nikamwambia mahusiano haya yana miezi mitano (5) sasa na mwanzo tulipoingia katika mahusiano tulikuwa tunatumia kinga ila tulipozoeana na baada ya mwenzangu kunihakikishia kuwa yuko sawa (HIV negative) tukajikuta tukishiriki tendo bila kutumia kinga kama ilivyokuwa hapo mwanzo.

Baada ya mazungumzo hayo na daktari nikakubali kuchukuliwa damu kwa mara nyingine ili kuweza kujua status yangu ya HIV, baada ya muda majibu yalirudi nikaitwa kwenda kuonana na daktari nilipokuwa naingia daktari alikuwa akinitazama kwa huruma na hakuonesha ule uchangamfu wa mwanzo nilipoingia ofisini kwake. Katika mazungumzo akaniambia kwa upole kuwa anashindwa afikishe vipi majibu yaliyoko mezani kwake kwangu hapo mapigo ya moyo yalibadilika na hofu ilianza kuingia ndani yangu, ndipo hapo akaniambia ya kwamba majibu yamerudi na kwa masikitiko makumbwa vipimo vinaonesha mimi ni muathirika wa virusi vya ukimwi.

Hakika ile siku ilikuwa mbaya sana katika maisha yangu, I go into shock. I did'nt think of anything rather than I’m going to die nililia sana siku ile, dokta alinimbeleleza sana siku ile akaniambia nisihohofu/nisijali kila kitu kitakuwa sawa na kwamba huo sio mwiosho wa maisha yangu. Siku ile nilijiuliza maswali mengi kichwani mwangu kwanini mimi? Kwanini imetokea kwangu? Tena kwa wakati huu ambapo nilikuwa ndio nimemaliza masomo yangu ya shahada nilijisika vibaya mno.

Baada ya hapo nilimpigia simu yule mwanaume ambaye pia alikuwa ni mwalimu wangu huku nikilia nikamwambia kila kitu, alionekana kusikitika/kushangaa na muda mwingi alikuwa akijichanganya sana katika mazungumzo na muda mwingine alikuwa hana cha kunijibu na kubaki kimya.

Nilimblock kwa muda wa miezi kadhaa hapo sasa nikawa nawaza nitawaambia nini wazazi wangu nikawa sina jinsi maana wao ndio familia yangu, baada ya siku 5 niliwambia kuwa kuna jambo nataka niwaeleze hivyo wakawa nashauku ya kujua baada ya chakula cha usiku nilivunja ukimya nikawaambia sikuwa na jinsi ya kuficha tena kuhusu hali yangu. Nakumbuka mama yangu na mdogo wangu wa kike walilia sana ila nashukuru hapo baadae waliamua kukubaliana na hali halisi ingawa Baba na kaka yangu walisikitika sana ila mwisho wa siku walinisamehe pia.

Ilinichukua muda sana kukubaliana na hali ile but mwisho wa siku ilibidi iwe hivyo. Because I knew now I am not going to die, in fact in pretty good health, more stronger, confidence and having a good life. Kufupisha story ni kwamba baadae, tuliwasiliana na huyo mwalimu wangu alikiri kuwa yeye ndio aliniambukiza nilimsamehe na nilikuja kugundua kuwa hata mke wake alimpteza kwa ugonjwa huo baada ya kuugua kwa muda mrefu pia na nikiri wazi alikuwa ana upendo wa dhati kwangu maana baada ya kuhitimu masomo yangu alinitafutia kazi katika mamlaka fulani ambapo nipo nafanya kazi hadi leo hii.

Mwisho, ningependa kuwaasa wadogo zangu waliopo vyuoni hasa hawa waliopo mwaka wa kwanza wasiwe wepesi kurubuniwa maana hawa ndio wahanga wakubwa maana mara nyingi ugeni wa chuo na exposure zinawachanganya sana hawa wadogo zangu na mwisho wa siku huishia kufanya mapenzi bila kutumia mipira na hivyo hujikuta wakiharibu afya zao.

Pia na kwa wale dada zao waliopo mwaka wa pili na kuendelea pia muwe makini sana, najua wengi wenu huwa mnaishia kuingia katika mitego ya mahusiano na walimu wenu wa chuo,mkumbuke hawa ndio waathirika wakubwa hivyo mjitahidi sana kabla ya kukutana kimwili mhakikishe mnapima kwanza afya zenu na ikiwezekana mtumie mipira maana huwezi kumjua muathirika kwa kumuangalia kwa macho.

Lastly, kuna vijana baadhi nilikutana nao humu ndani they were good guys lakni niligundua wengi wao hawajali afya zao na wanaongozwa sana na sexual desire, maana unakuta mwanaume mko nae faragha baada ya mzunguko wa kwanza from nowhere anataka muende peku au katikati ya tendo anavua mpira kwa makusudi, wanajijua watakuwa mashahidi nilikuwa nawakatilia katukatu maana nilikuwa nawajali sana.

All in all ukimwi upo, mjitahidi mlinde afya zenu maana Afya ni mtaji. Ahsanteni niwatakie mchana mwema.

Priscallia.
We mdada niseme kwa ufupi mkabidhi Yesu maisha yako okoka....utaishi kwa furaha na amani mbele za Mungu kama uko dar pastor katunzi wa eagt city center mbagala kwa aziz ally atakufaa kwa maombi,tabia za walimu wa chuo ni mbayasana pia tabia za wadada ogopa mwalimu ona ni kifo mbele yako.
 
We mdada niseme kwa ufupi mkabidhi Yesu maisha yako okoka....utaishi kwa furaha na amani mbele za Mungu kama uko dar pastor katunzi wa eagt city center mbagala kwa aziz ally atakufaa kwa maombi,tabia za walimu wa chuo ni mbayasana pia tabia za wadada ogopa mwalimu ona ni kifo mbele yako.
Tangazo lako liko fasta[emoji16][emoji16][emoji1787]...
 
Mkuu hii ID ya zamani kutokana na uandishi nimeshaifahamu
Hii ID ya zamani itakuwa inatafutwa sana mithiri ya lile UA la utajiri.God forbid.

Hivi dada Demiss na richaabra wapo wapi?
 
Back
Top Bottom