Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

HIV sii mwisho wa maisha binafsi mi nimetembea na wanawake 7 wenye maambukizi sikuweza kupata niliwahi tu kupizi

Tatizo ni kuchubuana na vijana mnaojivuna kumwaga na kukausha ndo shida ila mwanamke ukipiga kwa haraka kama huna kidonda unatoka salama

Jilindeni
 
Daah mkuu pole sana..ila UKIMWI umewekwa pabaya jamani! Msanifu wa uumbaji alikosea kidogo pa kuupachika maana aliye mzima ambaye hana hofu ya kuambukizwa ni yule ambaye ni marehemu tayari ila kwa sisi ambao hatujafa bado uwezekano wa kuupata ni mkubwa..kwa kua njia ni moja!
 
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44] so ushapigana mechi na jamaa kadhaa humu ?
 
Jamani ushauri huo
 
Na bado anasema kuwa aliye muambukiza ana upendo wa dhati......Nipo na mtafuta aliyesema mwalimu wa wanawake ni kipofu nimpe zawadi yake
 

Ushawah kupata mafua???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…