binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Hapana, sijasema hivyo. Good thing ni kwamba all of them ambao nimekutana nao wako vizuri sana kwa bed. They real know what a woman want. So kuepuka mambo fulani fulani sitaki kutoka nao tena.
Pole sana mkuu, mimi kitu cha cha kwanza kabla sijakugegeda lazma nikupime damu Aiseee.
na pia una ujasiri sana mdada, hivi mimi nikiambiwa muathirika si nitaanza kutembea uchi barabarani, inahitaji moyo wa ziada aisee
Mtu mwenye ukimwi hawezi kupata nguvu na ujasiri wa kuandika maneno yote haya Wala hawezi kujitangaza hadharani watu wamjue. UKIMWI usikieni tu mwenye nao hawezi kujianika hadharani hata siku moja..Wanaofanya hivyo ni promo tu lakini in real sense hawana so l guess mleta mada ni mtumishi katika idara ya kuzuia na kupambana na virusi vya UKIMWI kitengo cha uelimishaji wa maambukizi mapya ya VVU...Hapa amevaa uhusika kwa lengo la kutufikishia elimu ya matumizi ya kinga wakati wa kujamiiana, Tumshukuru sana kwa elimu aliyoitoa
HahahahaHornet we hata ukiwa nao, potelea mbali!!!
Are you serious mdogo wangu. Nakupenda sitaki upitie niliyo yapitia.Huko uraiani kuna wanaume wazuri na wenye afya njema. Tafuta mmoja uishi nae, utayafurahia maisha mpendwa.Niunganishe nao basi mamdogo. Hata mmoja tu.....
Btw, pole na hongera kwa kuwa muwazi, ni step moja kubwa sana ya kuiokoa jamii yako.
safari moja miaka ya 2009/10 hivi nikiwa katika safari ya kikazi nikitokea mikoa ya kusini kuelekea mkoa mmoja wa kaskazini niliweka kituo dar es salaam muda wa kurejea zangu kusini baada ya kukamilisha shughuli zangu.
baada ya kukosa kiajabu ajabu totoz la kunipoza kaskazini sasa dar ikawa ni lazima nipozwe, nilipata nyama choma mbuzi na castle lager kadhaa sasa pale pub nilipata totoz na hapo siku ya pili alfajiri ilikuwa nianze safari nikitokea pale stand ubungo kuelekea mkoani.
kwa uchu niliokuwa nao nilihakikisha hanipotei, nilimdhibiti vema na nikamnunulia vinywaji na chakula.
muda wa kufunga pub nikatoka nae haraka haraka hadi guest house nilipofikia, zana nilikuwa nazo lakini nafikiri zile pombe.
Round ya kwanza ilienda fresh, sasa round ya pili nikahisi raha zimeongezeka nikamaliza sasa ndio nashtuka kondom ilipasuka... dah
niliingiwa na hofu kubwa sana, sikulala hadi asubuhi na mapema nikadamka na kumpa pesa yake.
kwa kweli nilisafiri nikiwa na mawazo tele ukizingatia nilikuwa bado single.
hii hofu ilichangiwa na ukweli kwamba ilikuwa mara ya pili kondom kupasuka nikiwa mitungi na sikuacha namaliza. hii mara ya pili nili'conclude ninao.
baada ya kuishi kwa muda hofu na mashaka tele nikaamua kupima. sasa nilivyokuja kupima na kubaini sina maambukizi ooooh God. nilibadilika sana, hadi sasa nimebadili life style nina familia na watoto wawili.
kwa ufupi sana lkn unapokuwa na mashaka na hali yako kiafya ni vema ukapime
nope sijui ugonjwa unaitwa mafua toka nizaliwe magonjwa yaliyowahi kunisumbua ni pamoja na malaria na typhoid.Ushawah kupata mafua???
Naona R.I.P au ulimaanisha nini[emoji35][emoji35]
amekula vichwa ππππKumbe hata hapa JF umekula vichwa ila tatizo wanataka mbichi?
Mshamba Wewe St Joseph semester ya Mwisho mwaka wa Mwisho yoote fieldJamani mwingine anaesoma chuo ambacho ukimaliza UE mwaka wa mwisho unaenda FIELD tujuane. Mi nasoma the UNIVERSITY hapa ukimaliza chuo unaenda field.