safari moja miaka ya 2009/10 hivi nikiwa katika safari ya kikazi nikitokea mikoa ya kusini kuelekea mkoa mmoja wa kaskazini niliweka kituo dar es salaam muda wa kurejea zangu kusini baada ya kukamilisha shughuli zangu.
baada ya kukosa kiajabu ajabu totoz la kunipoza kaskazini sasa dar ikawa ni lazima nipozwe, nilipata nyama choma mbuzi na castle lager kadhaa sasa pale pub nilipata totoz na hapo siku ya pili alfajiri ilikuwa nianze safari nikitokea pale stand ubungo kuelekea mkoani.
kwa uchu niliokuwa nao nilihakikisha hanipotei, nilimdhibiti vema na nikamnunulia vinywaji na chakula.
muda wa kufunga pub nikatoka nae haraka haraka hadi guest house nilipofikia, zana nilikuwa nazo lakini nafikiri zile pombe.
Round ya kwanza ilienda fresh, sasa round ya pili nikahisi raha zimeongezeka nikamaliza sasa ndio nashtuka kondom ilipasuka... dah
niliingiwa na hofu kubwa sana, sikulala hadi asubuhi na mapema nikadamka na kumpa pesa yake.
kwa kweli nilisafiri nikiwa na mawazo tele ukizingatia nilikuwa bado single.
hii hofu ilichangiwa na ukweli kwamba ilikuwa mara ya pili kondom kupasuka nikiwa mitungi na sikuacha namaliza. hii mara ya pili nili'conclude ninao.
baada ya kuishi kwa muda hofu na mashaka tele nikaamua kupima. sasa nilivyokuja kupima na kubaini sina maambukizi ooooh God. nilibadilika sana, hadi sasa nimebadili life style nina familia na watoto wawili.
kwa ufupi sana lkn unapokuwa na mashaka na hali yako kiafya ni vema ukapime