Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Anyway kama ni zile haonekani sura nmeziona yuko healthy

2208175_45414131_2494631413887161_3290173068759.png



Dada mzuri kabisa alafu anasema ameathirika
 

2208175_45414131_2494631413887161_3290173068759.png



Dada mzuri kabisa alafu anasema ameathirika
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
@Goddess,Huyo Huyo mkuu profesa Ndiyo amempeleka huko nje Kusoma tena anafundisha chuo fulan hapa dar
 

2208175_45414131_2494631413887161_3290173068759.png



Dada mzuri kabisa alafu anasema ameathirika
Umefanya na picha zifutwe[emoji23] hv unann lakini
 

2208175_45414131_2494631413887161_3290173068759.png



Dada mzuri kabisa alafu anasema ameathirika
Mzuri sana..

Na ana sura ya ukweli sana pia
Screenshot_20191128-161402~2.jpeg
 
Priscallia, Binti,
Pole sana kwa yaliyokupata. Nafurahi ulivyo jasiri hata kueleza hali yako hata kama ni fake ID.

Umetoa ushauri mzuri sana pia kwa waliopo na wajao vyuoni. Tena wajue kabisa, vyuoni ndiko pia kumeoza.

Zidi kujisafisha mbele za Mungu. Hata kama hutapona basi akusamehe na kukurehemu.
 
Hahahahaha kavaa miwani mizuri

2208175_45414131_2494631413887161_3290173068759.png



Dada mzuri kabisa alafu anasema ameathirika
 
Kukubali hali uliyonayo ni hatua moja muhimu sana kuliko nyingine yoyote...Wewe ni shujaa kwa hilo

Usiache kushiriki katika maombezi ukiwa na imani kuu utapata tena kuwa mzima...
 
Back
Top Bottom