Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
T au C ndio -ve mkuu?
Point Ya Msingi, PLAY SAFEView attachment 1275454
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point Ya Msingi, PLAY SAFEView attachment 1275454
Mule unaweza kuta ID zingine wadada wanajielezea..
Kule kuna fekero kama zote 😁😁😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe?? Basi ndiyo maana wanajiachia hivyo sababu wanajua wanatumia fekero!!
Weee nyauu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... Alafu huyu purisilaaaa anataka kunifanya nikimbie ID yangu shwain[emoji35][emoji35]
Kikubwa hapa nikumpa maneno ya busara rikiboy
Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe milele
Kumbe humu mnakula kweli
Hazard falaa sanaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Oya nikaushieni bhasiii...
[emoji23][emoji23][emoji23]Anataka kuleta mazoeaaa... sijui kanifananisha na mshana
Hapana aiseee hata kama ana ya zamani[emoji23][emoji23][emoji23] Sijawahi kulaa mzigo toka Jf labda kanichanganya na boy mwinginee...
Taambia nini watu
nakushauri fuatilia kuhusu mada hii INNATE RESISTANCE TO HIV mkuu najua hii issue itawaumiza kichwa watu wengi na watabisha ningekuwa na direct way ya ku proove ningesha proove , na labda haukunielewa ila kinachotokea ni hichi mfano nika sex labda na hiv possitive sio kwamba sipati maambukizi hapana napata vizuri tu ila kutokana na seli hai zangu kukosa vipokezi wataalam huita receptor proteins kirusi huwa hakina uwezo wa kuingia ndani ya seli na kujigawa hivyo hubaki ndani ya damu tu na huondoka baada ya siku 110-120 kwa mujibu wa madaktari hivyo narudi kama mwanzo HIV NEGATIVE.Huo hauponi.
Asante sana. Wakati nakua nilivuka mikiki ya kutongonzwa na mibaba. Nilikuwa nakataa. Then baada ya muda wanaanza kuugua na kufa kumbe Ngoma. Namshukuru sana Mungu kwa kunipa hekima. Na nilipokuwa chuo boifrendi ni condom tu.
Wewe si siku moja ulifungua uzi humu ukijidai una professor wako na wanaume ukaanza kututolea mitusi au siyo wewe?Changamoto zilikuwa mwanzoni jamii itakupokeaje ila nashukuru mimi ni mtu wa mcheshi na mtu wa kupuuza vilevile kwa hiyo haikuwa shida sana kulikabili.
About kids I'm planing to conceive nikimaliza masomo yangu
Point Ya Msingi, PLAY SAFEView attachment 1275454