Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Pole sana na hongera kwa kutuelimisha apa jf ili wengne tujifunze

Asa waleee wenye uzi wa kula kimasihara.
. huo si mwisho wa kuishi ...zingatia yale anayopaswa kufuata mwny maambukiz,na utaish sn tu..

Uko na ujasiri, mwnyez Mungu akulinde na azd kukupa nguvu ktk ili jambo, ila usifanye bila ndom ili kuwaepusha na wngne wasiambukizwe mn utpt thawabu kubwa sn mbinguni.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utakoma shenzi wewe.
Wale akina Zero IQ sipati picha wanahali gsni
Weee nyauu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... Alafu huyu purisilaaaa anataka kunifanya nikimbie ID yangu shwain[emoji35][emoji35]
 
Sina mbavuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana aiseee hata kama ana ya zamani[emoji23][emoji23][emoji23] Sijawahi kulaa mzigo toka Jf labda kanichanganya na boy mwinginee...
 
Huo hauponi.
nakushauri fuatilia kuhusu mada hii INNATE RESISTANCE TO HIV mkuu najua hii issue itawaumiza kichwa watu wengi na watabisha ningekuwa na direct way ya ku proove ningesha proove , na labda haukunielewa ila kinachotokea ni hichi mfano nika sex labda na hiv possitive sio kwamba sipati maambukizi hapana napata vizuri tu ila kutokana na seli hai zangu kukosa vipokezi wataalam huita receptor proteins kirusi huwa hakina uwezo wa kuingia ndani ya seli na kujigawa hivyo hubaki ndani ya damu tu na huondoka baada ya siku 110-120 kwa mujibu wa madaktari hivyo narudi kama mwanzo HIV NEGATIVE.
 
Asante sana. Wakati nakua nilivuka mikiki ya kutongonzwa na mibaba. Nilikuwa nakataa. Then baada ya muda wanaanza kuugua na kufa kumbe Ngoma. Namshukuru sana Mungu kwa kunipa hekima. Na nilipokuwa chuo boifrendi ni condom tu.

IMG_1649.JPG


The most depressing photo of all media in TZ for the year 2019!

Kuna msichana kama wewe kamchoma huyu mzee namna hii!

Wanawake kweli ni makatili!

Mnyime uchi sio kumuua namna hii!

Nakupongeza hukufanya ukatili kama huu.

Uliwakataa bila kuwachomea!

Hua ndio uanamke!
 
Changamoto zilikuwa mwanzoni jamii itakupokeaje ila nashukuru mimi ni mtu wa mcheshi na mtu wa kupuuza vilevile kwa hiyo haikuwa shida sana kulikabili.

About kids I'm planing to conceive nikimaliza masomo yangu
Wewe si siku moja ulifungua uzi humu ukijidai una professor wako na wanaume ukaanza kututolea mitusi au siyo wewe?

Kweli mchagua naz huinukia koroma. Pole
 
Anajifanyaga kidume, kurusha nyuchi mara anakulaga kimasihara, haya ndio majibu ya masihara apime aanike majibu vinginevyo priscilla afunguke zaidi kuhusu @Rikboy
Muache bwana ameshasema hajala mtu humu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom