sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,639
- 5,767
Huu uzi baada ya kusoma kma page mbili na kupitia replies ikanibidi niende kugoogle dalili za UKIMWI nikaona sielewi, nikasepa moja kwa moja hospital, nikapima. Baada ya majibu ndio narudi sasa kifua mbele kuendelea kusoma kwa aman. Huu ugonjwa atar sana