Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Wapi huko??

IMG_0230.JPG
 
Duh pole mdada na Mungu akubariki kwa somo na vijana kwa wazee tujilinde sana.

Siwezi na haitatokea kugonga demu bila kucheki status za afya zetu japo sio njia sahihi kwa 100% ila itasaidia.
 
Ningekua Mimi baada ya hayo matokeo ningemuomba Mungu msamaha, ningeachana na zinaa na matendo machafu na kurudi ktk ibada , kitu ambacho wewe unaonekana bado hujafikiri Jambo hili
 
JinJF pekee ambapo watu wanaungama madhambi yao kwa uwazi.

Kwanini wasitoe hizi shuhuda makanisani? Au hata kwenye mkutano wa ccm.
 
Mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Poleni mliopita apo...

All in all wote tutakufa tu uwe nao au usiwe nao.......!



[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Weee umenijuliaa wapi mimi???? Sijawahii gonga demu wa jf hata kimasiharaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenichekesha sana.
Katika kula tunda kimasihara mkumbuke na kondom.
 
Huu ujumbe ulitakiwa uwe wa kwanza kabisa pale juu baada ya mtoa mada, shukrani sana Mama.
HIV sio kitu cha kunyoosheana vidole.
Haya maambukizi hayaangalii nani mzinifu au nani mwaminifu....
Kana watu hapa hawajawahi chepuka toka kwenye mahusiano yao lakini wameletewa na wenza wao ambao hawakua waaminifu na kuna vijana wengi pia wamezaliwa wakiwa HIV+ wako mashuleni na vyuoni wanaanzisha mahusiano na unapokutana nao unaweza dhani umepata kitu kipya kabisa kumbe maambukizi yapo.
Tukumbuke pia tunaweza tukawa hatuna maambukizi leo lakini usiku wa kuamkia kesho au kesho kutwa tukawa tumeshayapata sababu hatuwezi kumchunga mtu mzima au ukampiga kufuli asichepuke.
Kwa tulio negative tumshukuru Mungu kwa hilo, tuendelee kujilinda na tusiwanyanyapae waathirika...
na tulio positive tujitahidi kuwalinda wenzetu pamoja na kutunza afya zetu
Kama alivyosema mtoa mada kila mmoja ajitahidi kuitunza afya yake
 
Back
Top Bottom