USHUHUDA WANGU: Nilivyotembea na wake za watu vol 1

USHUHUDA WANGU: Nilivyotembea na wake za watu vol 1

Kuwatafuna wote hao ni pesa,mtoa mada yuko njema si haba,...ukiwa na pesa unatafuna mwanamke yeyote yule,halafu kingne wanawake watu wa ajabu sana huwa wanapenda kujaribu vitu vipya yaan kiufupi wanapenda vipya yaan kama hajawi kwenda kwa mpalange ukipangilia maneno ya kumshawishi anashawishika!
 
Kuwatafuna wote hao ni pesa,mtoa mada yuko njema si haba,..ukiwa na pesa unatafuna mwanamke yeyote yule,halafu kingne wanawake watu wa ajabu sana huwa wanapenda kujaribu vitu vipya yaan kiufupi wanapenda vipya yaan kama hajawi kwenda kwa mpalange ukipangilia maneno ya kumshawishi anashawishika!
Kwer kabisa ata size anapenda apate kubwa kias au ndogo kiasi ili ajaribu tu
 
Labda ulivyofanya hivyo mwisho wa siku ulifaidika nini hasa,au nini kiliongezeka?unaweza kutuambia pia.Maana ulivyoandika ni kama mtu anaye-promote biashara ya kufanya kinyume na maumbile kwa kuipandishia thamani.

Je ulifika mahali amabapo uliona nafsi yako imeridhika? au kila siku ulitamani kufanya tuu.Ni vigumu kuyatimiza mahitaji ya mwili,ukifikiri upya utaona uliishi kwa kuhatarisha zaidi maisha yako.

Nadhani Mungu bado anatupenda sote,shirikiana nami kumshukuru kwa kutuepusha na kifo.
 
Ukiendekeza sana kusoma mada kama hizi za motivational speakers wa kudinya, haki ya nani hutokuja kuoa! Maana utahisi wanawake wote hawaaminiki! Wanapigwa kirahisi! Nk. Wakati si kweli.

Ingawa siwezi kukataa kuna baadhi ya wanawake hata huelewi wanataka nini! Yaani anaweza akawa ana kila kitu/anatokea familia inayo jimudu! Lakini ukamkuta anapigwa pigwa tu hovyo na wachimba chumvi.
 
Kamanda hongera,
Ingawa wengiiii hasa sisi wanaume hapo juu wanakupinga,wanakuona hamnazo na Kila sifa mbaya wanakupa,waulize asie wahi kuzini ni Nani?
Waswahili sisi tuna unafiki Sana baadhi yetu.
Tunasubiri volume two,Maisha ndiyo haya haya,achana nao wanga hao,wewe sakata papuch tu,hata Mimi au mwanaume mwingine akipata papuch anaikula tu.
Shortly,wanakuona gere wanaokuponda.
 
Kesho mkuu navishusha nahisi zipo mpaka vol 4
Kamanda hongera,
Ingawa wengiiii hasa sisi wanaume hapo juu wanakupinga,wanakuona hamnazo na Kila sifa mbaya wanakupa,waulize asie wahi kuzini ni Nani?
Waswahili sisi tuna unafiki Sana baadhi yetu.
Tunasubiri volume two,Maisha ndiyo haya haya,achana nao wanga hao,wewe sakata papuch tu,hata Mimi au mwanaume mwingine akipata papuch anaikula tu.
Shortly,wanakuona gere wana
 
Inshu sio Kulaa ninkawaida


Inshu ni kua na biashara ya kupeleka Nguo na vitenge Minadani..alafu eti UTOE LAKI MBILI...ni uooooooooongo mkuu.


Biashara za minadan, harakaharaka ni zakuzunguka na mizigo, nahizi huwa mitaji yake ni kati ya Laki 5-1M.


Ndo utoe laki mbili??? Haaaaaaa


kweli upate kibarua cha BVR alafu utoe Laki mbili???.
 
Inshu sio Kulaa ninkawaida


Inshu ni kua na biashara ya kupeleka Nguo na vitenge Minadani..alafu eti UTOE LAKI MBILI...ni uooooooooongo mkuu.


Biashara za minadan, harakaharaka ni zakuzunguka na mizigo, nahizi huwa mitaji yake ni kati ya Laki 5-1M.


Ndo utoe laki mbili??? Haaaaaaa


kweli upate kibarua cha BVR alafu utoe Laki mbili???.
BVR ilikuwa ni issue ya siku nyingi sana mkuu wakati huo bado nabangaiza maisha.Pia issue ya mnadani nimeficha vyanzo vyangu baadhi kuhusu kipato changu mkuu.Unashangaa mtu kutoa 200,000?Unafikiri watu wote wanaoenda mnadani wana kipato duni? Pesa ndogo mno hiyo mtu akitoka mzunguko
 
Ukiendekeza sana kusoma mada kama hizi za motivational speakers wa kudinya, haki ya nani hutokuja kuoa! Maana utahisi wanawake wote hawaaminiki! Wanapigwa kirahisi! Nk. Wakati si kweli.

Ingawa siwezi kukataa kuna baadhi ya wanawake hata huelewi wanataka nini! Yaani anaweza akawa ana kila kitu/anatokea familia inayo jimudu! Lakini ukamkuta anapigwa pigwa tu hovyo na wachimba chumvi.
Hawa motivational speakers wana sumu hatari.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kuna watu wanaamini iki kitu kumbe, sawa mtoa mada hajafanya vyema ila aya maneno ya kua ukimfanyia mtu kitu na kwako kitakutokea huwa maneno ya kujifariji tu
Hao wanapooza machungu na kujifariji kwa njia hiyo.
 
Inshu sio Kulaa ninkawaida


Inshu ni kua na biashara ya kupeleka Nguo na vitenge Minadani..alafu eti UTOE LAKI MBILI...ni uooooooooongo mkuu.


Biashara za minadan, harakaharaka ni zakuzunguka na mizigo, nahizi huwa mitaji yake ni kati ya Laki 5-1M.


Ndo utoe laki mbili??? Haaaaaaa


kweli upate kibarua cha BVR alafu utoe Laki mbili???.
Mkuu mbona unamuonea wivu Baharia mwenzako,mbona wewe unaletaga visa kama hivi hatukupingi au ni chai?
 
Back
Top Bottom