USHUHUDA WANGU: Nilivyotembea na wake za watu vol 1

Goes around comes around
 
Wasukuma huwa washamba sana,mwanamke mpaka aamue kukuvulia nguo kakuheshimu sana ,sasa wewe unakuja tangaza humu
 
Mwenye uzoefu na biashara za mwenye gulio/ mnada naomba maarifa kidogo
 
Siku wakikufia ghafla ndo utajua mbivu na mbichi!! eti unalala siku tatu hujui wengine tayari ni mahiti zinazotembea??? tubu na onyo nakupa bure siyo ujanja wenzako tuliacha na miaka 20 muulize Mshana mambo yaliyo tukuta zamani.

kila utakapo muona mwanamke unalia halafu hiyo ni idadi ndogo sana< unaona sifaaaa
 
Umeoa mkeo lazima wabandue karma is bitch na haipoteagi address kwa ready...chunga usije ukanatiana siku moja?
 
Kutaja aina, kazi na mazingira ya maisha ya watu uliowahujumu ndoa zao ni kosa kubwa sana amefanya. Huenda wenye wake zao wako hapa. Itakuwaje?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Sidhani kama una miaka hiyo uliyosema hapo juu kwa hizi tabia ulizonazo hadi kuja kusimulia
ni ulimbukeni, ila sijashangaa. maana maeneo na hao wake za watu ni huko mikoani,tena kanda ziwa na vitongoji vyake
 
Mtoa mada naona unajisifu Sana kwa kazi yako japo sijui Kama una mke na watoto wa kike ili siku moja isiyo julikana utuletee ushuhuda .
 
Blaza Uzi wako nimeusoma kwa makini nimeuelewa vizuri sana nilikua nawaza hawa wanawake wanakuaje wanaliwa kizembe hvo sasa ndo nimejua All women are the same Point ni zile zilee kwa walio olewa na kwa ambao wanatafuta ndoa coz Hizo sifa umezitaja hapo chini baadhi wakonazo na wale ambao hawajaolewa so point ni ile ilee WOMEN ARE THE SAME [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…