Ushuru wa Maegesho: Sitaki kuamini kama uhuni huu wa TARURA una baraka ya Serikali

Ushuru wa Maegesho: Sitaki kuamini kama uhuni huu wa TARURA una baraka ya Serikali

Mtemi mpambalioto

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2015
Posts
3,436
Reaction score
7,955
Suala la Parking fee kwa kweli naanza kuamini kuna upigaji mkubwa!

Kitendo cha kutokuweka karatasi kwenye gari mara baada ya kupiga picha si kitendo cha uu gwana kabisa! tunaibiwa sana sana sana kupitia uhuni huu.

Hebu fikiria mtu anakupiga picha ukiwa kwenye FOLENI! kwenye foleni jamani kweli kabisa, kweli?

Nilikwisha enda kulalamika nikakuta nusu ya makato yote ni ya watu kukosea kukujazia na kukuibia kukiwemo! Gari ni CGH inaandikwa DHJ. ukilalamika wanasema watamkata aliyekuwekea kimakosa na wanaahidi kufuta kwako ila HAWAFUTI!?

Swali langu kwa wenye magari je hili linanipata mimi tu au na nyie wenzangu, Nini kimepelekea kupotezea kutoa risiti ili mtu ajue kama ameandikiwa maana hata hiyo app nilijiunga mtandaoni na haileti meseji kama umepigwa picha.

Swali kwa serikali je mmebariki wizi huu? Au ndio aina mpya ya tozo unakatwa juu kwa juu bila kujua kama ni halali au sio halali

Je, TARURA uhuni huu nyie mnaoona mnafaidika nao. Je, mmepewa baraka na nani? au ndio ILANI ya Chama tawala imeelekeza hivyo!
 
Sahiz ni halmshauri sio tarura tena. Si mliwapoapoa had wazir kawatoa na kawakabidh Kwa halmashaur
 
Pole sana Mkuu

Upo mtindo mwingine wa kuisajili gari katika malipo ya siku ya sh 2500 bila ridhaa wala kutaarifiwa

Unakuta ulipark mahala kwa muda mfupi, lakn mtu wa maegesho sijui kwa maksudi au kuhakikisha hesabu yake ya siku inatimia anakusajili ktk mfumo huo, hapo ina maana gari yk hata kama inasimama kwa muda tu na huwa waipark ndani (mathalani ofisi zenye maegesho yao) basi we bill inakuwa yaongezeka.

Mpaka siku ukimpata mtu wa maegesho muungwana anakwambia ndugu umesajiliwa ktk kifurushi cha siku cha 2500, unajua hilo? Unabaki unashangaa tu na mbaya zaidi huwezi kumjua aliekusajili na wao hawajuani hvy mpk uende ofisini nako huko kuna danadana bhasi taabu tu

Kwa kweli kumiliki gari kwa mjini changamoto si mafuta ila gharama ndogo ndogo ambazo hazipo hata katika hesabu yako kama hizi, bado maegesho si salama sana nk. Mamlaka husika zifanyie kazi haya
 
Mimi waliniijia nikawaambia siko Rural niko hapa Down town Keko, halafu nikampoza kwa buku.
 
unaweza ukampoza na buku ukigeuka anaipiga picha pesa umempa na picha kapiga
 
Pole sana Mkuu

Upo mtindo mwingine wa kuisajili gari katika malipo ya siku ya sh 2500 bila ridhaa wala kutaarifiwa

Unakuta ulipark mahala kwa muda mfupi, lakn mtu wa maegesho sijui kwa maksudi au kuhakikisha hesabu yake ya siku inatimia anakusajili ktk mfumo huo, hapo ina maana gari yk hata kama inasimama kwa muda tu na huwa waipark ndani (mathalani ofisi zenye maegesho yao) basi we bill inakuwa yaongezeka.

Mpaka siku ukimpata mtu wa maegesho muungwana anakwambia ndugu umesajiliwa ktk kifurushi cha siku cha 2500, unajua hilo? Unabaki unashangaa tu na mbaya zaidi huwezi kumjua aliekusajili na wao hawajuani hvy mpk uende ofisini nako huko kuna danadana bhasi taabu tu

Kwa kweli kumiliki gari kwa mjini changamoto si mafuta ila gharama ndogo ndogo ambazo hazipo hata katika hesabu yako kama hizi, bado maegesho si salama sana nk. Mamlaka husika zifanyie kazi haya
Tanzania ni nchi yenye mambo ya ajabu sana kwa sababu raia yake ni waoga wa kutupwa. Idhini yoyote ya kutoa fedha lazima iidhinishwe na mtoa fedha. Inakuwaje mtu anakuwa na uwezo wa kusajili makato ya mtu bila mhusika kukubali? BTW pamoja na maendeleo ya sayansi bado tu kunakuwa na sintofahamu kwenye malipo ya kupaki gari?
 
WANACHOTAKIWA HAWA SERIKALI SIJUI HALMASHAURI...KWENYE SUALA LA PARKING
MAENEO YOTE YANAYOTAKIWA WATU WA PARK MAGARI WAO WAYABORESHE +KUWEKA SIGNS
MTU AKI PARK GARI AJUWE KAPAKI SEHEMU HUSIKA
WASIPENDE KUDAKA PESA TU HUKU
SEHEMU ZA PARKING ZENYEWE HAZIKO RASMI

ova
 
Mkuu pole. Wahanga wa hili ni wengi. Mimi jamaa aliwahi nipiga picha parking kwa saa moja bila shaka ni gharama ni tsh 500 ila kwa sababu hakuwa na risiti baada ya dk kama 20 hivi nilipo cheki nikakuta ameniwekea 2000. Jamaa akawa hayupo tena lile eneo na hivyo ukabakia kuwa mzigo wangu kama ilivyo tozo.
Suala la Parking fee kwa kweli naanza kuamini kuna upigaji mkubwa!

Kitendo cha kutokuweka karatasi kwenye gari mara baada ya kupiga picha si kitendo cha uu gwana kabisa! tunaibiwa sana sana sana kupitia uhuni huu.

Hebu fikiria mtu anakupiga picha ukiwa kwenye FOLENI! kwenye foleni jamani kweli kabisa, kweli?

Nilikwisha enda kulalamika nikakuta nusu ya makato yote ni ya watu kukosea kukujazia na kukuibia kukiwemo! Gari ni CGH inaandikwa DHJ. ukilalamika wanasema watamkata aliyekuwekea kimakosa na wanaahidi kufuta kwako ila HAWAFUTI!?

Swali langu kwa wenye magari je hili linanipata mimi tu au na nyie wenzangu, Nini kimepelekea kupotezea kutoa risiti ili mtu ajue kama ameandikiwa maana hata hiyo app nilijiunga mtandaoni na haileti meseji kama umepigwa picha.

Swali kwa serikali je mmebariki wizi huu? Au ndio aina mpya ya tozo unakatwa juu kwa juu bila kujua kama ni halali au sio halali

Je, TARURA uhuni huu nyie mnaoona mnafaidika nao. Je, mmepewa baraka na nani? au ndio ILANI ya Chama tawala imeelekeza hivyo!
 
Mimi nadaiwa TSH 12600 nilishangaa Sana kuona hii TSH 600 imetokea wapi wakati gari yangu haujawahi kutoka nje ya DAR , Yule mdada anayekatisha risiti za parking akanipa ukweli wote juu ya wizi unaofanyika..
Bill ikikosewa inakuwa kama namba ya simu itaenda Kwa MTU asiyehusika.

Sometimes huwa wakiona gari inapita mbele ya mkatisha risiti anapiga picha na utajua mwenyewe mbele ya safari
 
Mimi nadaiwa TSH 12600 nilishangaa Sana kuona hii TSH 600 imetokea wapi wakati gari yangu haujawahi kutoka nje ya DAR , Yule mdada anayekatisha risiti za parking akanipa ukweli wote juu ya wizi unaofanyika..
Bill ikikosewa inakuwa kama namba ya simu itaenda Kwa MTU asiyehusika.

Sometimes huwa wakiona gari inapita mbele ya mkatisha risiti anapiga picha na utajua mwenyewe mbele ya safari

Gari yangu imepaki nyumbani na ni mbovu haitembei, lakini nashanga naletewa bill kama kwamba imekwenda mjini..dah wizi wa ajabu kabisa
 
Suala la Parking fee kwa kweli naanza kuamini kuna upigaji mkubwa!

Kitendo cha kutokuweka karatasi kwenye gari mara baada ya kupiga picha si kitendo cha uu gwana kabisa! tunaibiwa sana sana sana kupitia uhuni huu.

Hebu fikiria mtu anakupiga picha ukiwa kwenye FOLENI! kwenye foleni jamani kweli kabisa, kweli?

Nilikwisha enda kulalamika nikakuta nusu ya makato yote ni ya watu kukosea kukujazia na kukuibia kukiwemo! Gari ni CGH inaandikwa DHJ. ukilalamika wanasema watamkata aliyekuwekea kimakosa na wanaahidi kufuta kwako ila HAWAFUTI!?

Swali langu kwa wenye magari je hili linanipata mimi tu au na nyie wenzangu, Nini kimepelekea kupotezea kutoa risiti ili mtu ajue kama ameandikiwa maana hata hiyo app nilijiunga mtandaoni na haileti meseji kama umepigwa picha.

Swali kwa serikali je mmebariki wizi huu? Au ndio aina mpya ya tozo unakatwa juu kwa juu bila kujua kama ni halali au sio halali

Je, TARURA uhuni huu nyie mnaoona mnafaidika nao. Je, mmepewa baraka na nani? au ndio ILANI ya Chama tawala imeelekeza hivyo!
Hii mimi imenipata, nimekuta deni na gari ina mwezi gereji..Sijui imefatwa ikapigwa picha huko au??
 
Suala la Parking fee kwa kweli naanza kuamini kuna upigaji mkubwa!

Kitendo cha kutokuweka karatasi kwenye gari mara baada ya kupiga picha si kitendo cha uu gwana kabisa! tunaibiwa sana sana sana kupitia uhuni huu.

Hebu fikiria mtu anakupiga picha ukiwa kwenye FOLENI! kwenye foleni jamani kweli kabisa, kweli?

Nilikwisha enda kulalamika nikakuta nusu ya makato yote ni ya watu kukosea kukujazia na kukuibia kukiwemo! Gari ni CGH inaandikwa DHJ. ukilalamika wanasema watamkata aliyekuwekea kimakosa na wanaahidi kufuta kwako ila HAWAFUTI!?

Swali langu kwa wenye magari je hili linanipata mimi tu au na nyie wenzangu, Nini kimepelekea kupotezea kutoa risiti ili mtu ajue kama ameandikiwa maana hata hiyo app nilijiunga mtandaoni na haileti meseji kama umepigwa picha.

Swali kwa serikali je mmebariki wizi huu? Au ndio aina mpya ya tozo unakatwa juu kwa juu bila kujua kama ni halali au sio halali

Je, TARURA uhuni huu nyie mnaoona mnafaidika nao. Je, mmepewa baraka na nani? au ndio ILANI ya Chama tawala imeelekeza hivyo!
Nilidhani ni mie tuu kumbe ni tozo za siri. Hapa Arusha hawaweki risiti kwenye gari. Siku nyingine una kuta huja park lakini ukifika nyumbani ukiangalia deni kwenye m pesa una kuta una deni. Kuna wizi mkubwa sana una fanywa na hawa mawakala. Ccm hoyeee
 
Chukueni hizo risiti nendeni mahakamani muwashitaki hao halimashauri ili kuwaonyesha kuwa wanacheza na sheria za inchi. Kuweni wakali mimi sijawahi kukutana na huo upuuzi.
 
Chukueni hizo risiti nendeni mahakamani muwashitaki hao halimashauri ili kuwaonyesha kuwa wanacheza na sheria za inchi. Kuweni wakali mimi sijawahi kukutana na huo upuuzi.
Risiti ziko wapi? Hawaweki risiti hadi uangalie deni kwenye mtandao
 
Back
Top Bottom