Impaler
Senior Member
- Aug 1, 2012
- 163
- 75
Gari kutoka Zanzibar kwenda Bara, zimeongezewa ushuru maradufu... Ndugu zetu mnakusudia kuuwa biashara ya gari Zanzibar kama mulivyouwa biashara ya vitambaa?
Viongozi wetu mbona mpo kimya? Wapi tunaelekea?
Ikiwa nchi tofauti za Jumuiya ya Ulaya hazitwangani ushuru, iweje sisi nchi moja kuna ushuru wa kuuwa biashara?
kwa uchache Zanzibar kila gari moja huajiri watu angalau watatu, kuiuwa biashara hii kumefanya karibu nusu ya car importers nao waache kuzileta... Tanzania, hivi tunajenga au tunabomoa?
Viongozi wetu mbona mpo kimya? Wapi tunaelekea?
Ikiwa nchi tofauti za Jumuiya ya Ulaya hazitwangani ushuru, iweje sisi nchi moja kuna ushuru wa kuuwa biashara?
kwa uchache Zanzibar kila gari moja huajiri watu angalau watatu, kuiuwa biashara hii kumefanya karibu nusu ya car importers nao waache kuzileta... Tanzania, hivi tunajenga au tunabomoa?